Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hyo tar 20 ndo mchukue notice how to beat ahly,mkifeli hapo ndo basi tena mtatoka bila hata kapointAahaaaaaaaaa,
Wanatamani kusema kuwa Al Ahyl ni kibonde kuliko msimu uliopita,ila wakikumbuka kuwa wanaye hapa bongo tarehe 20/10/2023 nguvu za kukosoa wanakosa
Wamebakiza kubwatuka Ihefu Ihefu ahaaa
Aaaahaaa,yetu machoSasa hyo tar 20 ndo mchukue notice how to beat ahly,mkifeli hapo ndo basi tena mtatoka bila hata kapoint
Bahati tena!!?Huku hakuna kugeuza kauli. Mkitoboa itakuwa ni bahati kwenu, ila tarakimu haziwapi hiyo nafasi.
Bahati tena!!?
Al ahly tushampiga taifa wakati wewe upo kijijini kwenu na akaponea chupuchupu kutolewa ardhi ya kwao isingekuwa bahanuzi kukosa umakini tulikuwa tunamfurusha,sisi hatujawahi kwenda misri kinyongeSasa hyo tar 20 ndo mchukue notice how to beat ahly,mkifeli hapo ndo basi tena mtatoka bila hata kapoint
Mda wa kubadili ID umefika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tayari Ushamnasa mzee wa kutoa maboko [emoji23]
Odds hazicheziSasa kama takwimu hazikupi nafasi tunaitaje?
Mhindi mwenyewe akuwekea odds ya 5 hadi 8 [emoji23]
Tunautunza hii risitiYanga na mediama ndo wageni hapo .
Warabu wa misri na algeria watajipigia tu hao .
Muda utaongea.Hata akiroga kuanzia Januari mpaka Disemba hatoboi
Hahahah Mimi kama Katibu wako ntakukumbusha mwakani... Wakati huo watakua wakisema "uto ana bahati ya kupangiwa vibonde.. [emoji1787]Muda utafika[emoji3][emoji3]