Group D Yanga ndio kibonde kuliko wote, Hatoboi

Aahaaaaaaaaa,
Wanatamani kusema kuwa Al Ahyl ni kibonde kuliko msimu uliopita,ila wakikumbuka kuwa wanaye hapa bongo tarehe 20/10/2023 nguvu za kukosoa wanakosa

Wamebakiza kubwatuka Ihefu Ihefu ahaaa
Na hiyo tarehe 20 hata niwe mgonjwa naenda kuwaangalia wanavyoshangazwa alafu sisi tutakuja kuishangaza hiyo hiyo Alhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…