GSM ingia kwenye biashara za vyakula. Nafasi ya mafanikio ni kubwa

GSM ingia kwenye biashara za vyakula. Nafasi ya mafanikio ni kubwa

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
GSM ilikuwa kampuni ambayo watu wengi atuijui zaidi ya mo. Na Azam lakini kwa sasa GSM imeshika kasi kubwa kwenye kujitangaza wangekuwa sasa na washauri wazuri ndio kipindi Chao sasa kuingia kwenye ushindani wa biashara za vyakula mfano ngano na biashara zingine naamini wala awahitaji nguvu kubwa kuitangaza bidhaa zao maana kwasasa tayali wamekamata anga la watanzania lakini shida awana bidhaa ambayo inawafikia watu moja kwa moja

Kwako Eng Hersi kazi kwako
 
Sure kabisa, unaweza ku Franchise mkuu ukapiga hela..
 
Hiyo biashara inafanywa na matajiri wenye level za ubilionea

Sasa una mshauri mjasiliamali huoni kama uzito mkubwa afu msuli mdogo?
 
True...kuna mtu nilimwambia hiv siku moja GSM sahv keshakua na fan base kubwa chochote naweza sukuma sokoni sahiv
 
GSM ilikuwa kampuni ambayo watu wengi atuijui zaidi ya mo. Na Azam lakini kwa sasa GSM imeshika kasi kubwa kwenye kujitangaza wangekuwa sasa na washauri wazuri ndio kipindi Chao sasa kuingia kwenye ushindani wa biashara za vyakula mfano ngano na biashara zingine naamini wala awahitaji nguvu kubwa kuitangaza bidhaa zao maana kwasasa tayali wamekamata anga la watanzania lakini shida awana bidhaa ambayo inawafikia watu moja kwa moja

Kwako Eng Hersi kazi kwako
Kwani coconut anazouza sio chakula??
 
Back
Top Bottom