GSM na Hersi mmekivuna mlichokitaka kwa Manara

Una maana Bwire na Kifaru?
 
Manara si mtu sahihi kupewa uongozi popote pale, kwa kifupi hafai.
 
Tokea lini hawa Uliowataja hapa wakawa / waliwahi kuwa na Akili? Wenye Akili ni Mo Dewji na Ahmed Ally pekee Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…