GSM na Hersi mmekivuna mlichokitaka kwa Manara

GSM na Hersi mmekivuna mlichokitaka kwa Manara

Kwamba una uhakika kuwa alijua, kwa vigezo au uthibitisho upi? Kilichofanyika ni ujinga mno kuna mambo ya ovyo ovyo vinapoteza muda kama hayo. Mtu unalazimisha Mobeto Mobeto mara siondoki mpaka Pacme aje. Upuuzi mtupu mbaba mtu mzima akili za ovyo.
Medulla oblongata ya jamaa haija balance
Jamaa ni kero
 
Kwamba una uhakika kuwa alijua, kwa vigezo au uthibitisho upi? Kilichofanyika ni ujinga mno kuna mambo ya ovyo ovyo vinapoteza muda kama hayo. Mtu unalazimisha Mobeto Mobeto mara siondoki mpaka Pacme aje. Upuuzi mtupu mbaba mtu mzima akili za ovyo.
Ndio maana mashabiki wa Yanga hawapendi kabisa kwenda uwanjani kwa urahisi.

Ni kwasababu ya upumbavu Kama huu.

Yaani huyo Sope sijui wanamng'ang'ania wa nini aisee
 
Manara hajawahi kuwa na weledi hata siku moja katika kauli zake, hajawahi hata kuonesha ni kama mtu mzima mwenye busara ni kama bado kijana wa under 18 anayejifunza baya kipi na zuri kipi. Kaharibu shughuli yote iliyokuwa imefana kwa uswahili aliuokuwa na hilo mmelifuga wenyewe GSM na Hersi Saidi na mbaya zaidi anapenda kulazimisha kujiona ndio kila kitu asitishwi wala asikii mpaka anachotaka yeye kitekelezeke.

Tukio la leo kuna wageni mbalimbali wengine walikuwa uwanjani wengine walikuwa wanafuatlia kupitia TV na mitandaoni, Manara alichokifanya hakihusiani na tukio la leo bali ni mambo binafsi ya faragha za watu sasa kumlea kwenu kuleta aibu kubwa kwa taasisi ya Yanga. Watu walipiga kelele sana kumpa nafasi huyo kirusi lakini hamkutaka kusikia sasa leo kaamua kuharibu image ya taasisi kwa tukio linalofatuatiliwa na watu wengi kwa leo.

Mnachokifuga ndicho hicho na bado
Kafanya nn kwani mbona unarukaruka kama maharage
 
Manara hajawahi kuwa na weledi hata siku moja katika kauli zake, hajawahi hata kuonesha ni kama mtu mzima mwenye busara ni kama bado kijana wa under 18 anayejifunza baya kipi na zuri kipi. Kaharibu shughuli yote iliyokuwa imefana kwa uswahili aliuokuwa na hilo mmelifuga wenyewe GSM na Hersi Saidi na mbaya zaidi anapenda kulazimisha kujiona ndio kila kitu asitishwi wala asikii mpaka anachotaka yeye kitekelezeke.

Tukio la leo kuna wageni mbalimbali wengine walikuwa uwanjani wengine walikuwa wanafuatlia kupitia TV na mitandaoni, Manara alichokifanya hakihusiani na tukio la leo bali ni mambo binafsi ya faragha za watu sasa kumlea kwenu kuleta aibu kubwa kwa taasisi ya Yanga. Watu walipiga kelele sana kumpa nafasi huyo kirusi lakini hamkutaka kusikia sasa leo kaamua kuharibu image ya taasisi kwa tukio linalofatuatiliwa na watu wengi kwa leo.

Mnachokifuga ndicho hicho na bado
Watanzania bado sama kujieleza, imagine ndo upi kwa daktari unaumwa na ndo unayoa maelezo yasiyoelewela kama haya. Eleza jambo as if unayemweleza hajui nn kimetokea!
Tumia 5W+ H, (what, where, who, why, when+ How)
 
Watanzania bado sama kujieleza, imagine ndo upi kwa daktari unaumwa na ndo unayoa maelezo yasiyoelewela kama haya. Eleza jambo as if unayemweleza hajui nn kimetokea!
Tumia 5W+ H, (what, where, who, why, when+ How)
Nilikuwaga na Demu mmoja kule Iringa anaitwa Twilumba ndio wewe nini?
 
Manara kalazimisha sana Hamisa aje uwanjani licha ya Aziz kuonekana hataki. Manara atafutiwe tu kazi nyingine kwa bosi wake GSM
Hata Hamisa mwenyewe hakupenda na hata Zaylisa pia ni kama amekwenda kwa shingo upande. Tatizo Haji aliipania sana ile event kwa wiki nzima iliyopita alikuwa anatamba kuwa atafanya show ambayo kama wangeanza wao siku yao basi Simba wangeahirisha tamasha lao ili wajipange upya. Ameweka mbwembwe nyiiiingi hadi kuwaboa wana Yanga wenyewe.
 
Hakunakitu kizuri kama kuheshimiana pia kuweka mipaka. Pia kilakitu ni kiasi
 
Kiongozi hujafafanua ktk andiko lako. Wakati mwingine weka wazi hisia zako sio kuficha.
 
Back
Top Bottom