GSM na Hersi mmekivuna mlichokitaka kwa Manara

GSM na Hersi mmekivuna mlichokitaka kwa Manara

Hata Hamisa mwenyewe hakupenda na hata Zaylisa pia ni kama amekwenda kwa shingo upande. Tatizo Haji aliipania sana ile event kwa wiki nzima iliyopita alikuwa anatamba kuwa atafanya show ambayo kama wangeanza wao siku yao basi Simba wangeahirisha tamasha lao ili wajipange upya. Ameweka mbwembwe nyiiiingi hadi kuwaboa wana Yanga wenyewe.
Hahaaaaa ni kweli jana alipania mwisho wa siku akawa anatoa boko tu.
 
nani manara?
Akili hana huyoo😂😂😂
 

Attachments

  • downloadfile-16.png
    downloadfile-16.png
    602.5 KB · Views: 4
Kiongozi hujafafanua ktk andiko lako. Wakati mwingine weka wazi hisia zako sio kuficha.
Samahani sana kiongozi, uzi uliwalenga kundi ambalo wanafuatilia sherehe za Yanga na wala haukuwa uzi wa simulizi.
 
Binafsi sikupendezwa na namna alivyomkashifu Mo kwa kumuiga kutambulisha dada yake kwa kejeli. Utani haupaswi kufikia level ya kuwakashfu wawekezaji.
Ndio utani wenyewe huo kama hadi makamu wa rais alisema kama wewe sio mwanachama wa klabu hii kaeleke jiwe huyo mo ni nani asihusishwe na utani?

Tatizo mnachukulia mambo siriazi sana na ni ya burudani.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwamba una uhakika kuwa alijua, kwa vigezo au uthibitisho upi? Kilichofanyika ni ujinga mno kuna mambo ya ovyo ovyo vinapoteza muda kama hayo. Mtu unalazimisha Mobeto Mobeto mara siondoki mpaka Pacme aje. Upuuzi mtupu mbaba mtu mzima akili za ovyo.
Tuhakikishie kuwa hakujua, una chuki binafsi na manara haya n mambo ya burudani ni kawaida na ndivyo wabongo walio wengi wanayapenda, ulitaka wawe siriazi sana kwani ni ibada ya mwamposa?
 
Unprofessional planned. Watu wenye akili timamu hamuwezi kufedheheshana mbele za watu waliopo uwanjani na wanaofuatilia. Acha kutetea ujinga, mimi ni Yanga kindaki ndaki ila lile tukio ni aibu ukiangalia hata wahusika wenyewe hawakuridhika nalo.

Aibu gani uliyoiona pale? Unajua nafasi ya Mobeto mpaka Ki kubaki Yanga? kwa mwanamke ile Nipple kuonekana ndiyo tatizo na hata walioendelea USA huko mwanamke akivawa kifua wazi wanaficha nipples tu....Sasa pale Mobeto alikuwa uchi kavaa kichupi?
 
Kuna siku azizi ataizira hii timu kisa ni kulazimishwa. Huyo bibi kizee ana MBEMENDA kijana wa watu.
 
Binafsi sikupendezwa na namna alivyomkashifu Mo kwa kumuiga kutambulisha dada yake kwa kejeli. Utani haupaswi kufikia level ya kuwakashfu wawekezaji.
Ukiona hivyo ujue bado hajapona, bila kuizungumzia simba anakuwa hana maana pale utopoloni 😁
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Sasa mlitakaje? hamisa ana shida gani? shida ya watu wa Yanga wengi ni wazee, tatizo Manara kuachiwa kifungoni imekuwa kero kwa wengi, mlitaka afe njaa ahadhirike mjini hapa?
Kwani KAZI IPO yanga pekee yake
 
Tuhakikishie kuwa hakujua, una chuki binafsi na manara haya n mambo ya burudani ni kawaida na ndivyo wabongo walio wengi wanayapenda, ulitaka wawe siriazi sana kwani ni ibada ya mwamposa?
Manara alikuwa sahihi sana, Wenye akili Yanga ni wachache. Na uyanga wangu lile tukio nimejisikia aibu hadi Azam wakatoka hewani. Pale kamfedhehesha hata Mobeto mwenyewe.
 
Manara alikuwa sahihi sana, Wenye akili Yanga ni wachache. Na uyanga wangu lile tukio nimejisikia aibu hadi Azam wakatoka hewani. Pale kamfedhehesha hata Mobeto mwenyewe.
Mobeto kafedheheka kwa nini na kuonekana kwake ndio kunampa pesa? Au wewe ndio mobeto?
 
Back
Top Bottom