GSM umekuja kuwaliza Yanga na sio kuwainua. Time will tell

GSM umekuja kuwaliza Yanga na sio kuwainua. Time will tell

Status
Not open for further replies.
Umefungua uzi kuponda matajiri wenye pesa ni nini kama sio umaskini?

Ungekuwa na hela usingeniomba kura pm,
Sasa nani ana stress Kati yangu na wewe ulielilia kura pm kwangu nikakupa kwa kukuonea huruma?
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ
Tupo kwenye mpira mambo ya kura yashapita mkuu hahha au umekasirika..?
 
Tupo kwenye mpira mambo ya kura yashapita mkuu hahha au umekasirika..?
Mimi huwa sikasirki hii ndio style yangu, kumfanya mtu ajae upepo.na avimbe moyoni wala sina kinyongo na mtu huu ni utani wa soka.

Ila najibu kutokana na nilivyojibiwa..

Cool..
 
Mimi huwa sikasirki hii ndio style yangu, kumfanya mtu ajae upepo.na avimbe moyoni wala sina kinyongo na mtu huu ni utani wa soka.

Ila najibu kutokana na nilivyojibiwa..

Cool..
Gsm gang
 
mi naona ni suala dogo sana la kueleweshana tu lakini Simba wamelichukua tofauti sana maana ninachokiona ni ushindani wa kibiashara Kati ya GSM na Mentl ila Simba inatumika tu. tunahitaji ligi Bora na ligi Bora inahitaji uwekezaji sasa tunapowakatisha tamaa wawekezaji kama hawa kwa maslahi ya watu wachache sio poa maana tunaona kuna timu zinakosa hata nauli
 
Wewe ni mwehu kiwango cha juu kabsa ambae hutambui hata unaandika nn hapa. Kama huna hoja kalale na njaa zako.๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’. Kwendraaaahh
Watu waliokosa hoja na ku attack mtu badala atoe hoja
 
mi naona ni suala dogo sana la kueleweshana tu lakini Simba wamelichukua tofauti sana maana ninachokiona ni ushindani wa kibiashara Kati ya GSM na Mentl ila Simba inatumika tu. tunahitaji ligi Bora na ligi Bora inahitaji uwekezaji sasa tunapowakatisha tamaa wawekezaji kama hawa kwa maslahi ya watu wachache sio poa maana tunaona kuna timu zinakosa hata nauli
FB_IMG_16389448260428018.jpg
FB_IMG_16389448260428018.jpg
 
Wewe ni zwazwa hujielewi hata akili ya kufikiria kama nimesema kinyume huna. Yani sentensi yenyewe inajieleza. Akili zako ndogo sana hufai kuwa GT. Malaya mke wako kwanza nakupa cheo huna hadhi ya kuwa na mke, malaya demu wako.
Wewe kweli akili huna, GT waliosoma comment yangu wamenielewa.
 
mi naona ni suala dogo sana la kueleweshana tu lakini Simba wamelichukua tofauti sana maana ninachokiona ni ushindani wa kibiashara Kati ya GSM na Mentl ila Simba inatumika tu. tunahitaji ligi Bora na ligi Bora inahitaji uwekezaji sasa tunapowakatisha tamaa wawekezaji kama hawa kwa maslahi ya watu wachache sio poa maana tunaona kuna timu zinakosa hata nauli
Hakuna aliye katishwa tamaa mkuu, sababu sio mara ya kwanza ligi yetu kuwa na mdhamini mwenza ila hoja inatokea je ni kwanini alazimishe kuwepo kwenye jezi wakati kikanuni anatakiwa kuishia kwenye mabango, ana maslahi gani na Simba ?? .. msimu uliopita mdhamini mwenza alikuwa kcb bank je mlimvaa kwenye matambala yenu ??.
 
Udhamini unatolewa kwa kufuata taratibu wewe wawapi? Sio kwamba mambo yakiwekwa hadharani kuwa watu watakataa kinachosemwa umekielewa au ndio.ile kudandia gari usilojua linaenda wapi? Mkataba umesainiwa na TFF badala ya bodi ya ligi. Sheria haijasema mdhamini mwenza akae kwenye jezi za timu. Inakaa logo ya mzamini mkuu au unakichwa cha panzi
Sheria haijasema lakini pia haijazuia.
 
Wakuu wapenzi wa michezo na burudani na wasalimu kwa jina la kanuni na sheria za mpira.

Leo tarehe 07/12/2021 nimeona mijadala mingi mitandaoni inayohusu udhamini wa GSM na TFF ambao bado kisheria ni mkataba usio fuata taratibu za michezo kama zinavyooainishwa kuanzia FIFA na CAF na hata sheria za ndani za hao TFF na bodi ya ligi haziruhusu hu ujinga unaondelea.

Kingine mechi ya derby inakaribia afu TFF inakuja na ujinga ili kuivuruga timu moja (simba sc), hili halikubaliki na simba ina watu makini poleni. Narudia tena poleni (utopolo)

GSM ni mdhamini wa yanga na ndiye anasambaza jezj za utopwinyo, hivi hawa TFF na bodi ya ligi wanatumia sheria zipi ikiwa hizo walizo nazo wanashindwa kuzitambua? Yaani uweke ADIDAS na NIKE/PUMA/UMBRO kwenye jezi moja. Ni aibu gani hii kama taifa?

Ujumbe kwa TFF. jueni sisi ndio simba wakali wa kanuni na sheria tulimpiga utopwinyo huko CAS kwa Morrison sasa round hii itakua kubwa kuliko maana naona GSM anahangaika kutafuta tiketi ya kumrudisha utopwinyo ligi daraja la 2.

Nawasisitizia, simba ina watu makini.

Mwisho nawakumbusha utopwinyo time will tell.
Hovyo kabisa.Bilashaka hofu na njaa vinakusumbua kumbuka GSM ni kampuni.
 
Sheria zipo zinaeleweka. Kwanza wala hazijifichi yaani hii ishu hata ipelekwe ikaamuliwe uarabuni utopolo watakuja juta baadae
Sasa hapo Yanga anahusika vipi? Umesoma kweli wewe bilashaka utakuwa Chupli Chupli
 
Hakuna aliye katishwa tamaa mkuu, sababu sio mara ya kwanza ligi yetu kuwa na mdhamini mwenza ila hoja inatokea je ni kwanini alazimishe kuwepo kwenye jezi wakati kikanuni anatakiwa kuishia kwenye mabango, ana maslahi gani na Simba ?? .. msimu uliopita mdhamini mwenza alikuwa kcb bank je mlimvaa kwenye matambala yenu ??.
Kumbuka GSM ni kampuni siyo Yanga. TFF wameingia mkataba na kampuni ya GSM. Tujiulize mkataba walioingia ukoje baada ya hapo ndiyo tujadili vinginevyo unaweza ukawa unajadili jambo kimbumbumbu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom