Kumiliki demu mkali hakukufanyi uache kutamani pisi kali zingine 🤗Laikini mbona miongoni mwa hao wanawake waume zao walikuwa ni watu wakubwa tu na wenye vyeo vikubwa nchini kwao.
Tatizo ni pesa tu au Kuna lingine mbali na pesa!?
yule mwamba yeye ndo alikuwa ana record na kuset camera vzrMimi sidhani rekodi nyingi zinazovuja mitandaoni ni za wahusika kujirekodi, bali ni za kurekodiwa kwa siri ama kwa masharti ya kikombozi.
Mfn kama ile ya Gwajiboy alivyokuwa akisakata gozi hadi kufunga goli la mkono wakati kipa katulia kwa kusinzia, wadhani alijirekodi na kuirusha video yenye madhaifu ya namna hiyo, jibu ni hapana.
Watch your mouth.Unamaanisha hadi mrs prezidaaa?
Kwanini kajiua haraka wakati na sisi tunataka kuonja?Aombe msamaha Vipi mtu yupo lockup na mkewe yupo hospital kalazwa baada ya Hiyo scandal kulipuka akazimia . Though huyo Jamaa ana kesi nzito ya uhujumu uchumi (Money laundering) inasadikika kwamba walio leak hizo video clip ni usalama walipokwenda kumfuata walichukua pc yake mwisho wa siku ndio yamejitokeza hayo
Na tayari kuna victim mmoja kaamua kujiua baada ya video zake kuonekana Dunia nzima akiwa analiwa uroda na Huyo jamaa
🤣🤣 huyu hamna aseeHuyu sasa ndo amekula mbususu sisi wengine tunatania tu, huyu mwamba mbususu anazifukunyua haswa....
Zipo wapi hizo picNimeziona baadhi ya video sema jamaa kafaudu sana in bambo voice
Wee bwana mbususu tamu Wacha watu watu mie hela kuenjoy. Sasa hela unayo kwa nini usienjoy na warembo? Hayo ndio matumizi sahihi ya hela kuliko mtu ana unua magari ya mil700 yamepaki tuu. Huyu anasambaza hela kupitia hao wanawake wandu wengine nao wananufaikaKwa wanaofuatilia habari mbali mbali nadhani mmeona skendo hiyo ikitikisa bara letu la giza.
Pamoja na jambo hilo kuonekana la kushtusha,ila watu wa jinsi hiyo wapo wengi na hata hapa kwetu Tanzania wapo.
Wasichana na wanawake hawaoni tabu kutembea na mtu maarufu na wengine ili mradi walipwe pesa tu.
Kuna maafisa wanaoishi kwa utaratibu huo na wana wanawake idadi ya kutosha kwa vile wanaweza kuwahudumia.
Kuna kundi kubwa na wasichana wamehamia Dodoma kutega wakiamini huenda wakapendwa na maafisa hao wasijue kwamba watu kama hao ni watu hatari kutokana na kutoridhika kirahisi hata wanawake wakiwa 400.
Tabia hii ni hatari na ili angalau ipungue kwenye hizi ofisi za umma,viongozi wa juu wakemee vikali na kuchukua hatua kali zikiwemo za kuwafukuza kazi maafisa hao.
Hata hivyo nakiri kuwa hii ni ngumu sana kwa kuwa wanaotarajiwa kupeleka miswada ya sheria huenda ni wanaume hawa hawa tunaowaona ni hatari.
Wanawake acheni tamaa mbaya mnajidhalilisha sana. Ombeni Mungu awape roho ya utoshelevu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wanawake wengi hawajui wanachokitafuta.Kwa tabia hii najifunza kuwa kwa mwanamke pesa haijawahi kutosha.
Tafuta pesa tafuta jina tafuta wadhfa ila mkeo akiamua kugongwa anagongwa tu.
Ila wanawake hawa.Wanawake wengi hawajui wanachokitafuta.
Mtu anayekaa na kusikiliza ushauri wa mwanamke huyo ujue akili zimeyumba kiasi fulani
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kuna watoto wengi hapo wanaenda kuishi bila mama na baba pamoja maana kuna ndoa nyingi zinaenda kuvunjika hapoo!Aisee ogopa MUNGU NA TEKNOLOJIA (R.I.P RUGE)Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, Baltasar Ebang Engonga, amenaswa kwenye kashfa nzito na kubwa zaidi ya ngono nchini humo. Inayohusisha zaidi ya video 400 za ngono.
Wanawake waliomo kwenye video hizo ni pamoja na wake za viongozi wengi mashuhuri, mke wa kaka yake, binamu na dada wa Rais wa Equatorial Guinea, ambao walikuwa na mahusiano ya kingono bila kutumia kinga.
Mwanasheria Mkuu amesema mfanyabiashara huyo atafanyiwa vipimo ili kubaini kama ana magonjwa ya zinaa.
=========
The serving Director General of the National Financial Investigation Agency (ANIF) of Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, has been caught in one of the country’s largest sex scandals.
Baltasar was caught on tape engaging in sexual intercourse with his brother’s wife, cousin, and a sister of the President of Equatorial Guinea.
He is currently embroiled in the largest scandal in Equatorial Guinea.
During an investigation by the country’s security authorities for alleged fraud, over 300 tapes of Baltasar with various women, including married women, were recovered, and they are currently circulating online.
These encounters took place in his office, hotels, and toilets, with all scenes being recorded with the participants’ consent.
He was initially arrested on corruption charges, but during the investigation, authorities discovered the tapes on his computer and leaked them to the public.
Popular social critic Martins Ortse, also known as VeryDarkMan, disclosed videos of this via his Instagram page.
Source: Ahora EG
Wengine wanasema mwanamke alipewa Pandora box 📦. Akaifungua akaleta matatizo duniani yani kila kitu mwanamke 😂😂.Wanawake wengi hawajui wanachokitafuta.
Mtu anayekaa na kusikiliza ushauri wa mwanamke huyo ujue akili zimeyumba kiasi fulani
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app