Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Mimi sidhani rekodi nyingi zinazovuja mitandaoni ni za wahusika kujirekodi, bali ni za kurekodiwa kwa siri ama kwa masharti ya kikombozi.

Mfn kama ile ya Gwajiboy alivyokuwa akisakata gozi hadi kufunga goli la mkono wakati kipa katulia kwa kusinzia, wadhani alijirekodi na kuirusha video yenye madhaifu ya namna hiyo, jibu ni hapana.
yule mwamba yeye ndo alikuwa ana record na kuset camera vzr
 
Aombe msamaha Vipi mtu yupo lockup na mkewe yupo hospital kalazwa baada ya Hiyo scandal kulipuka akazimia . Though huyo Jamaa ana kesi nzito ya uhujumu uchumi (Money laundering) inasadikika kwamba walio leak hizo video clip ni usalama walipokwenda kumfuata walichukua pc yake mwisho wa siku ndio yamejitokeza hayo

Na tayari kuna victim mmoja kaamua kujiua baada ya video zake kuonekana Dunia nzima akiwa analiwa uroda na Huyo jamaa
Kwanini kajiua haraka wakati na sisi tunataka kuonja?
 
Kwa wanaofuatilia habari mbali mbali nadhani mmeona skendo hiyo ikitikisa bara letu la giza.

Pamoja na jambo hilo kuonekana la kushtusha,ila watu wa jinsi hiyo wapo wengi na hata hapa kwetu Tanzania wapo.

Wasichana na wanawake hawaoni tabu kutembea na mtu maarufu na wengine ili mradi walipwe pesa tu.

Kuna maafisa wanaoishi kwa utaratibu huo na wana wanawake idadi ya kutosha kwa vile wanaweza kuwahudumia.

Kuna kundi kubwa na wasichana wamehamia Dodoma kutega wakiamini huenda wakapendwa na maafisa hao wasijue kwamba watu kama hao ni watu hatari kutokana na kutoridhika kirahisi hata wanawake wakiwa 400.

Tabia hii ni hatari na ili angalau ipungue kwenye hizi ofisi za umma,viongozi wa juu wakemee vikali na kuchukua hatua kali zikiwemo za kuwafukuza kazi maafisa hao.

Hata hivyo nakiri kuwa hii ni ngumu sana kwa kuwa wanaotarajiwa kupeleka miswada ya sheria huenda ni wanaume hawa hawa tunaowaona ni hatari.

Wanawake acheni tamaa mbaya mnajidhalilisha sana. Ombeni Mungu awape roho ya utoshelevu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mkasa wa huyu Jamaa kutoka Guinea ya Ikweta unatufanya tuendelee kushindwa kumuelewa kiumbe wa kuitwa ‘Mwanamke’ hatujui anataka nini kwenye maisha

orodha ina Wake wa Vigogo na Wazito mno (VIP Wives) ambao hatuamini kama hela ni tatizo kwao ila Mwana kapita nao, hili ni fumbo kubwa sana kwenye maisha kujua nini wanahitaji maishani.

Pia, Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Kama orodha ina Wanawake 400 maana yake kwenye taifa la Guinea ya Ikweta ambalo lina watu Million 1.8 huyu kwa lugha nyepesi amezigusa familia 400, hapo unaweza kupiga hesabu ya kawaida kuwa ana Ubaba flani wa Taifa hilo😀

Tubaki palepale tu Wanangu, tutafute hela kwa ajili ya kukimbia Ufukara sio kwamba hela zitamfanya Mwanamke atulie, tafuta pesa uishi maisha ya ndoto yako na Watoto wako, tafuta hela ili ubadili hali ya maskani, pesa haiwezi kununua hisia za Mtu ama akili zake hilo sahau.

KATIBU MKUU.

1730806928575.jpg
 
Kwa wanaofuatilia habari mbali mbali nadhani mmeona skendo hiyo ikitikisa bara letu la giza.

Pamoja na jambo hilo kuonekana la kushtusha,ila watu wa jinsi hiyo wapo wengi na hata hapa kwetu Tanzania wapo.

Wasichana na wanawake hawaoni tabu kutembea na mtu maarufu na wengine ili mradi walipwe pesa tu.

Kuna maafisa wanaoishi kwa utaratibu huo na wana wanawake idadi ya kutosha kwa vile wanaweza kuwahudumia.

Kuna kundi kubwa na wasichana wamehamia Dodoma kutega wakiamini huenda wakapendwa na maafisa hao wasijue kwamba watu kama hao ni watu hatari kutokana na kutoridhika kirahisi hata wanawake wakiwa 400.

Tabia hii ni hatari na ili angalau ipungue kwenye hizi ofisi za umma,viongozi wa juu wakemee vikali na kuchukua hatua kali zikiwemo za kuwafukuza kazi maafisa hao.

Hata hivyo nakiri kuwa hii ni ngumu sana kwa kuwa wanaotarajiwa kupeleka miswada ya sheria huenda ni wanaume hawa hawa tunaowaona ni hatari.

Wanawake acheni tamaa mbaya mnajidhalilisha sana. Ombeni Mungu awape roho ya utoshelevu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wee bwana mbususu tamu Wacha watu watu mie hela kuenjoy. Sasa hela unayo kwa nini usienjoy na warembo? Hayo ndio matumizi sahihi ya hela kuliko mtu ana unua magari ya mil700 yamepaki tuu. Huyu anasambaza hela kupitia hao wanawake wandu wengine nao wananufaika
 
Hayo mambo yapo ni ya wakaida sana
, sema tatizo la mwamba ni teknolojia tu.
 
Kwa tabia hii najifunza kuwa kwa mwanamke pesa haijawahi kutosha.

Tafuta pesa tafuta jina tafuta wadhfa ila mkeo akiamua kugongwa anagongwa tu.
Wanawake wengi hawajui wanachokitafuta.
Mtu anayekaa na kusikiliza ushauri wa mwanamke huyo ujue akili zimeyumba kiasi fulani

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake wengi hawajui wanachokitafuta.
Mtu anayekaa na kusikiliza ushauri wa mwanamke huyo ujue akili zimeyumba kiasi fulani

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ila wanawake hawa.
Ni viumbe vya ajabu, eden ilikuwa tulivu ila alipoingia Hawa/Eva mambo yakawa mambo, kukukawa na kashkash. 😂
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, Baltasar Ebang Engonga, amenaswa kwenye kashfa nzito na kubwa zaidi ya ngono nchini humo. Inayohusisha zaidi ya video 400 za ngono.


Wanawake waliomo kwenye video hizo ni pamoja na wake za viongozi wengi mashuhuri, mke wa kaka yake, binamu na dada wa Rais wa Equatorial Guinea, ambao walikuwa na mahusiano ya kingono bila kutumia kinga.

Mwanasheria Mkuu amesema mfanyabiashara huyo atafanyiwa vipimo ili kubaini kama ana magonjwa ya zinaa.

=========

The serving Director General of the National Financial Investigation Agency (ANIF) of Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, has been caught in one of the country’s largest sex scandals.

Baltasar was caught on tape engaging in sexual intercourse with his brother’s wife, cousin, and a sister of the President of Equatorial Guinea.

He is currently embroiled in the largest scandal in Equatorial Guinea.

During an investigation by the country’s security authorities for alleged fraud, over 300 tapes of Baltasar with various women, including married women, were recovered, and they are currently circulating online.

These encounters took place in his office, hotels, and toilets, with all scenes being recorded with the participants’ consent.

He was initially arrested on corruption charges, but during the investigation, authorities discovered the tapes on his computer and leaked them to the public.

Popular social critic Martins Ortse, also known as VeryDarkMan, disclosed videos of this via his Instagram page.

Source: Ahora EG
Kuna watoto wengi hapo wanaenda kuishi bila mama na baba pamoja maana kuna ndoa nyingi zinaenda kuvunjika hapoo!Aisee ogopa MUNGU NA TEKNOLOJIA (R.I.P RUGE)
 
Wanawake wengi hawajui wanachokitafuta.
Mtu anayekaa na kusikiliza ushauri wa mwanamke huyo ujue akili zimeyumba kiasi fulani

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wengine wanasema mwanamke alipewa Pandora box 📦. Akaifungua akaleta matatizo duniani yani kila kitu mwanamke 😂😂.
Ingekuwa mbaya kama jamaa angekuwa amewabaka au kuwaingilia kwa nguvu.
Ila wanashiriki asilimia zote hahah kwamba walikuwa wanajua wanachokifanya kwa ridhaa yao.
Hivi viumbe hivi duh.
 
mi mwenyewe na vimia mbili vyangu ila nawala vibaya mno sembuse huyo mwandamizi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom