Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Wanawake ni viumbe wenye unafiki wa hali ya juu. Kila siku kwenye mitandao ya kijamii wanasifia wanaume weusi, warefu, na wenye mvuto (‘black, tall, and handsome’), huku wakiwakosoa wanaume wenye ngozi nyeupe kwa kila aina ya kashfa.

Lakini sasa ona yaliyotokea huko Guinea: yule jamaa Baltazar ni white na handsome, na amefanikiwa kutembea na wanawake wengi wenye hadhi – na hilo bila kutumia nguvu au mbinu yoyote ya kulazimisha nauhakika moja ya sababu iliyokuwa inawavutia wanawake hao ni white wake na handsome wake.

Nahakika kabisa kama angekuwa mweusi, asilimia 50 ya wanawake aliowapiga nao wangemkataa.

Sitakaa tena kuwa na imani na hivi viumbe wanawake wa Kiafrika. Kwa sababu wao ndio hao hao wapo bize wanaotumia vipodozi na mbinu zote kutafuta weupe, huku wakitupigia sifa wanaume ‘black, tall, and handsome.’
Kelsea Kuna swali la kujibu huku kuhusu TDH
 
Sahihi sana, nilikua najaribu kua kinyume na mtazamo wa mleta uzi kwamba mapenzi yale yalikua yamehamasishwa na pesa or cheo; % kubwa ya wale wanawake wanaotajwa waume zao wanazo pesa za kutosha na wana vyeo as well. Kuna mmoja ka katisha ziara yake from Dubai, mkewe kamnunulia gari 2, means the guy is not a poor man. Well, ila kuna watu hawaogopi aise, imagine unapita na mke wa IGP, AG na mkurugenzi wa usalama wa taifa plus mchungaji wake, hu ujasiri sio wa kawaida
Mtu wa system kitambo huyo hana cha kuogopa.
 
Hiyo ndo principle, akikosa kimojawapo ni lazima akitafute nje.

mfano:- unampa 1. hela ya kutosha, 2. unamgonga vizuri, 3. una mpa attention ila wewe ni boss na mtu wa vikao na unasafiri sana.

Kwa kukosa muda, mkeo atagongwa na dereva wake ambaye anamuona kila muda au atagongwa na shamba boy ambaye anakaa naye muda mwingi au atagongwa na mfanya kazi mwenziye ambaye toka asubuhi mpaka jioni wako pamoja.

kati ya hivyo 4 unadhani ni kipi unaweza kumpa na kipi umtoshelezi?
Attention tu haitoshi kumridhisha huyo kiumbe...
Bado Ni Ulongo, asipoamua mwenyewe kuridhika for nothing hawezi kuridhika for anything 😑
 
Kisa cha kigogo wa serikali ya Guinea ya Ikweta, Baltasar kuhusishwa na matukio ya kufanya ngono na zaidi ya wanawake 400 huku wengi wakiwa ni wake za wakuu wa utawala katika nchi hiyo na kisha kujirekodi video kimeistua dunia na habari zake kusambaa hapa Tanzania. Mbali na kuanikwa vibaya pia mamlaka za nchi yake zimeahidi kumfukuza kazi yeye na wote waliohusika.

Kiujumla ni kisa cha ajabu, kusikitisha, kuchefua na kuhuzunisha. Lakini kwa upande wa pili ni kisa kilichojaa uonevu mkubwa dhidi ya mhusika mkuu (Baltasar) na wahusika waliotendewa (wanawake).

Kosa la Baltasar ni lipi hasa?
Kosa ni kutembea na wake za watu au wake za watu kutembea na huyo jamaa? (Kidini na kimaadili sio sawa), je kisheria ni kosa?
Kosa ni kujirekodi akifanya ngono? Kimaadili sio sawa, je kisheria ni kosa?
Uhuru wa faragha wa wahusika umelindwaje? Nani mwenye mamlaka ya kuingilia uhuru wa faragha wa mtu mwingine?
Starehe na uhuni wao wa sirini unatuhusu nini sisi?

Kwanini video na picha za matukio ya wahusika zisambazwe mitandaoni mara baada ya mhusika kupekuliwa, kukamatwa na kutajwa hadharani?
Amefanya hayo matukio kwa kipindi kirefu bila kujulikana, amemiliki hizo video kwa muda mrefu bila kusambazwa, kwanini apekuliwe na kukamatwa halafu zisambazwe? Nani anazisambaza na lengo lake ni nini?

ANGALIZO
Sio sawa hata kidogo kujirekodi au kutazama video za ngono, na sio sawa kutembea na wake za watu au kufanya ngono ovyo ovyo.
Noma sana!
 
Ni kweli ukiwa na muonekano SO CALLED MZURI kwa wanawake kuwala ni tani yako tu hawapindui especially wakiona unabadilisha sana wanawake ndo wanakujaa kibao
 
Ila alichokifanya Bartazary lazima kituumize kichwa wote kwa kufikiria hii gender ni kitu gani haswa wanakihitaji???
 
Wanajukwaa habari!

ANZA HAPA: Baltasar Engoga na Clips za ngono 300+

Yale mabandiko ya "kataa ndoa" yalionekana kuwa ya ovyo sana yalipoanza kutangazwa, kwa upande mmoja watu wengi walifikiri uwenda wasambazaji wa huo ujumbe wa kataa ndoa uwenda hawakuwa vizuri vichwani mwao. Kukataa ndoa kulipingwa na watu waliokuja na hoja kwamba ndoa ni chanzo cha furaha, unapata mke wako mmoja safi na mambo mengine yanaendelea.

Hivi karibuni asilimia kubwa ya majibu yaliyokuwa yakitolewa kwenye nyuzi za kusalitiwa kwa wanaume na wapenzi wao kulikuwa na majibu haya "Tafuta hela kijana", "Mwanamke hawezi kukaa na mwanaume apeche, jisake kijana" na majibu mengine mengi yanayoendana na hayo.

Kulikuwa na imani ambayo ilianza kujipatia mashiko kwamba ukitaka mwanamke angalau atulie jisake usiishi kwa kipato cha kuunga na gundi na vitu vingine vinavyoendana na hivyo kama kuhakikisha unafanya good s3x n.k

Lakini kwa siku hizi za karibuni amekuja GOAT 🐐 kutoka Guinea ya Equator (Equatorial Guinea) huko kwa jamaa anaitwa Nguema, huku amepatikana mhuni ambaye huko jamii ya Twitter (kwasasa X) amepewa jina la Solomon ambaye amekutwa na clips za minyanduano zaidi ya 300 akifanya ngono na wanawake kadhaa (Idadi haifahamiki). Ila kwenye list kuna.
1. Marafiki 15 wa kike wa mdogo wake wa kike
2. Mke mjamzito wa mjomba wake
3. Mke wa bodyguard (mlinzi) wake
4. Mke wa mchungaji wake
5. Wake wa mawaziri kadhaa akiwemo waziri mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Oboru.
The list goes on

Reaction pekee gavoo ya EG imechukua ni kuiminya WhatsApp kuzuia kusambaa kwa video clips, kwasasa nani anategemea sana WhatsApp wakati kuna tons of methods kusambaza kitu.

Source: BBC wauelezea mkasa wa Engonga Baltasar
 
Mtu wa system kitambo huyo hana cha kuogopa.
😀😀😃😄😁😅 hata kama bro, ndio apige wake za mabosi wake? Yaani mkuu wa system mkewe kapita nae, mke wa IGP nae kapiga nae show; halafu alivo mwehu hadi mke wa AG, angepiga wake za mawaziri pekee yake ningeelewa, sio hao kaka. Hivyo vyeo vinatisha ujue
 
ili mwanamke akuvulie nguo si PESA tu anaangalia kuna vitu vingi sana anaangalia

kumbuka jamaa alikua anawa record na wote wanajua na wanakubali hii inakupa picha gani?

kabla hajamla mwanamke yeyote Jamaa ni LOYAL sana,Muhudumiaji,Mkarimu,Ana madini kichwani

ambayo akiyatolea mdomoni mwanamke akiyasikia anamuona mume wake kama house boy aliechangamka

ki ufupi Jamaa ana TALENT zaidi ya PESA maana hajala omba omba wa mtaani amekula PISI zilizonyooka

ambazo naamini kimtaa mtaaa ukipishana nayo itakupandisha na kukushusha,lakini Mwamba kaikula

kala wanawake wenye waume wenye PESA sana nadhani yawezekana hata kumzidi yeye ila kawakula

means what? Jamaa kama alivyosema MC MADEVU kanyimwa vyote ila akikupiga sound hata kama unaenda leba few minutes later unaweza ghairi kwanza umpe akunyooshe ndo uende LEBA.

Mwacheni mwamba maaana ANA kitu na atafika mbali.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom