Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Mkuu katumia pesa za serikali kuonga baadhi ya wanawake.
Kuna mwanamke mmoja amesema alikuwa anawapa usd 10,000 to 43,000.

Ishu kubwa ni corruption
Kwa hiyo ni money Laundering case ambayo haihusiani na kuchakata.
Vipi kama kipato chake kilikuwa kina mruhusu na vipi Kama hiyo pesa kwao ni msaada wa mboga au mafuta ya usafiri? Ni wengi sana watakamatika hata humu bongo ikitokea hiyo.
 
kwamba kosa lake ni kujirekodi akizagamuana

mara ngapi video zinavuja za watu wazito na wasanii tena wengine wanavujisha wenyewe
 
Mfano wako hauingii hapa mkuu. Yeye na hao wanawake wamekubaliana, hajabaka. Kurekodi kwa matumizi yao wenyewe kosa lao/lake ni lipi? Kwa maana ya kisheria sioni kosa lake, issues za maadili labda. Unatolea mfano wa kuua/kuchinja mtu? Hiyo si jinai kaka? Jamaa ana shinda hiyo kesi asubuhi tu; sema usalama wake uraiani ndio mtihani. Yaani kapiga mke wa IGP, mkurugenzi wa TISS, AG, mawaziri na mke wa mchungaji? Khaa. Hivi alikua haogopi? Hao watu (except mchungaji ) wanaweza kumuua
 
Video 400 sio wanawawake 400. Kuna mshangazi karekodi nao video kama 10 hivi, mshanganga wa nguvu huo hakuna mwanaume anaruka.
Kuna mshangazi Moja ,
Anafanya mpk mapenzi ya jinsia Moja na video zipo kama 9 hivi na zingine kama zaidi ya 8 kafanya na jamaa.

Video nyingi amerudiarudia mwanamke 1 sehemu tofauti.

Video 400 na sio wanawake 400
 
Kwa hiyo ni money Laundering case ambayo haihusiani na kuchakata.
Vipi kama kipato chake kilikuwa kina mruhusu na vipi Kama hiyo pesa kwao ni msaada wa mboga au mafuta ya usafiri? Ni wengi sana watakamatika hata humu bongo ikitokea hiyo.
Hiyo ndo kesi alivyokuwa nao.
Afu pia inategemeana na Sheria ya nchi
 
Kosa lake ni nini? Aliyevujisha ambao ni maafisa wa Serikali ndio washitakiwe! Serikali za Afrika hazina na hazijui haki wala nidhamu ya faragha ya raia wake.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…