Cecil J
JF-Expert Member
- Oct 12, 2023
- 434
- 1,024
Aisee, inaonekana wanawake mnamhusudu sana!Aje tz kwa usalama wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, inaonekana wanawake mnamhusudu sana!Aje tz kwa usalama wake
Hututakii mwema sie wanaume tuliooa...aje kutugegeda wake zetuAje tz kwa usalama wake
Wamependa de liboloz lake itakuwaAisee, inaonekana wanawake mnamhusudu sana!
Bibilia imeagiza kuishi nao kwa akili. Hakuna aliyelazimishwa na waliovujisha video hizo ni wale waliozichukua walipomkamata kwa tuhuma za ubadhirifu. Hao ndio wakosaji kuzisambaza siri za watu za faragha.View attachment 3148355
Tips;
a) Hana kesi ya kujibu.
b) Hana magonjwa ya zinaa.
c) Wale wanawake wote ni watu wazima.
d) Walikubaliana kuingia katika mahusiano ya faraga na kupiga picha.
e) Hakuna mwanamke aliyejitokeza hapo kabla ili kushitaki kurekodiwa.
f) Wanaume wa wanawake waliohusika wameanza kuachana na wake zao kwa tukio hilo.
g) Wanaume wenye wake waliopata dhahama, wamekasirika kuachwa huru kwa huyo mwamba.
h) Loading...
Hofu imerudi mtaani...😂Mtaalam anarejea tena mtaani.
Dili linamfaa vinginevyo akibak hapo kwao watamuuaAombe uraia Marekani akajiunge na kampuni ya pHONE.HUB
Hapana, Tanzania siyo salama kwake, atapakwa mafuta chapAje tz kwa usalama wake
Ana kesi nyingine ya ubadhirifu. Ni ngumu kuhamaAnapaswa sasa ahame nchi kwa usalama wake