Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Na yeye pia ni wa huko huko ikulu anatokea familia ya rais. Kidampa baki unaweza kupata vipi hiyo access.
Dah kinachoniuma zaidi kampelekea moto hadi cousin wake tena with some gangsta shit playing in the background, a mobb deep's survival of the fittest. On some damn public office's desk, while standing and whispering into her ears some nasty shit probably some insults to that lady's husband. Damn this nigga
Kataa ndoa
 
Huyo ME hana makosa. Mwenye maamuzi ya mwisho kukubali au kukataa kutongozwa ni hao KE.

Kwa nini utongozwe na ukubali kuliwa wakati unajua kabisa wewe ni mke wa mtu na umeolewa?

Hivi hao wanawake wangekataa kumpa mzigo angefanikiwa kuwala?

Si waliridhia kabisa kwa maamuzi yao kabisa na tamaa zao?

Sasa huyo mwanaume ana kosa gani hapo?

Kuna tofauti kubwa sana ya Malaya wa mtaani wasio na ndoa, familia au watoto.

Hao hata wakisex na kuliwa ni haki yao ya kikatiba na uhuru wao. Maana hawana impact yeyote kwa mtu yeyote.

Ila mtu umeolewa kabisa na unajua umeolewa una familia na watoto kwa nini unakubali kuliwa?

Mwenye maamuzi ya kukubali au kukataa kutongozwa ni nani?

Mwanaume au mwanamke?

Mwenye maamuzi ya mwisho kwenye uzinzi ni mwanamke.

Ukikataa kutongozwa na kutoa mzigo, Labda huyo mwanaume aamue kukubaka ndio atakuwa na makosa.

Tofauti na hapo makosa ni ya mwanamke.
Mkuu umetoa majibu sahihi na murua kbs...kosa la kuliwa mke wa mtu lawama zote zinapaswa kubebwa na mwanamke mliwaji na si vinginevyo.
 
Huyu jamaa bana hana makosa yoyote zaidi ya dhambi zake.
Wanawake wamerekodiwa kwa ridhaa yao na sio yeye aliyevujisha videos, kosa lake ni lipi mnieleweshe.
 
Huyo ngonga kagonga mke wa mchungaji wake, akagonga shemeji zake. Kila anaemkalia sawa anagonga tu.

Arsis, njoo tueleze, huyu siyo ukoo wako wa simba?
Kwa heshima yako tu. Huwa siependelei kuja kwenye nyuzi ambazo sijaanzisha mimi.

Kwa ufupi; Huyo ni simba na wote aliotembea nao ni wwa koo za simba au marafiki wa koo za simba. #Waume zao wanajuwa na wao wenyewe wanajuwa walikuwa wanarekodiwa, lakini leakage ni bahati mbaya tu.

Atakuwa salama kwenye hilo labda awe kawasaliti koo ya simba. Hapo atauliwa tum simba hukumu zao ni mbili tu, ya kwanza kukutenga, wakikutenga na ukatubu unabaki hai lakini umetengwa. Ya pili ni kuuliwa tu, kama hujahukumiwa kutengwa unauliwa. Hukumu hizo hazihusiani kabisa na ngono.

Simba kujamiina ni wajibu wao na sifa kwao. Na husifiwa na himaya na heshima yake hukuwa kwa kujamiiana.

Miezi michache nyuma alikua Tanzania na Rais wake. Alikutana na koo za simba za Tanzania na wakagongeana kama kawaida yao ya kuunganisha koo.
 
Huwa sielewi kwa nini watu wanapaka mate.

Watu huwa ni wakavu kiasi hicho?

Halafu mate yanachangia kutoa harufu mbaya.
Labda k zinakua kaukau.....

Sipendi hiyo tabia ya kupaka mimate, ni heri hata kuimwagia kitu cha aslay kama haina maji.
 
Jamaa ana elimu
Ana hela..
Ana mke mzuri...
Ana watoto sita...

Possible wanawake walikuwa wanaambizana...ila machine anaipiga hasaaaaaaaaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom