Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
πŸ’ Kuna uhakika zaidi ya asilimia 90 wa kufanya mapenzi na mwanamke wa rika, umri, uwezo na marital status yoyote endapo utakuwa na fedha nyingi au cheo kikubwa.

πŸ’ Women also cheat.

πŸ’ Ndoa sio institution tena, ndoa imekuwa status.

πŸ’ Hakuna kitu more powerful kuzidi pesa zaidi ya ngono.

πŸ’ Kama kawaida anguko kuu la mwanaume ni pale anapokuwa mshamba wa wanawake.

πŸ’ Wanaume wana watoto nje ya ndoa, Mwanamke ana watoto wa nje ya ndoa ndani ya ndoa.

πŸ’ Moja ya vitu hatari duniani ni fantasies za mwanaume mwenye pesa na imagination za mwanamke mwenye tamaa na njaa.

πŸ’ Mwanaume ni sex machine inayotembea. Anaweza akamla mtoto wa mfiwa siku ya matanga kwenye chumba alicholaziwa marehemu.
una akili KUBWA sana mkuu
 
Wewe ni mkomavu, mambo umeyaeleza kwa akili.

Na hilo la mwisho sijui maiti kufanyaje, mi nimeshuhudia huo mkasa.

Tumeweka kambi njiani kupumzika ili kesho tuendelee na msafara wa kusindikiza maiti tukielekea kwao kuzika, jamaa likamchukua mfiwa, yaani mke wa marehemu na kufanikiwa kwenda kumlala, huku maiti ya mume ikiwa ndani ya gari!

Hilo lilinifikirisha sana namna ya kuziweka kwenye uzani akili za mjane wa marehemu, kwamba alikuwa na utulivu gani wa akili kupelekea kuridhia kitendo hicho, au alikuwa na chuki na marehemu mumewe, sikupata jibu.

Hili la Baltasar naona ni cha mtoto, bila kufanya mambo ya kiGwajima asingelijulikana kudadeki.
Labda alikua anapunguza machungu ya msiba.

Ujue kila mtu ana opium yake.

Siungi mkono Ila nimejaribu kuwaza TU.
 
Binafsi na msifu sana. Hawa wasipo anikwa hivi ufuska hauta isha, ningeshauri kila mwanaume awarekodi ili ambao hawajafanya hivyo waogope au waache kabisa.

Hii inaweza kusaidia kupunguza maambukizi ya VVU, na hata magonjwa ya zinaa huko mbeleni ikiwa kitondo hicho kitawaogofya.

Hakuna aliye bakwa, na hakuna mtoto mdogo kati ya wanawake wote, tatizo nini/video?
Tatizo mnaoa Wanawake wenu alafu mnapenda kazi kupitiliza! Mnakula ovyo mnashindwa kutimiza majukumu yenu!
Kwenye sakata la Mwamba Baltazar Engonga nahisi wengi walikuwa wanalisaka rungu lake!
 
Naungana na wewe mleta mada. Mwamba hajabaka. Kapewa mbususu kiroho safi, asisumbuliwe.
Mwamba clip zote hakuna za under age. Hakuna aliyelazimishwa.
Hakuna za kishoga!
Nadhani tatizo ni lile rungu lake! NDIYO! Waliochapwa walikuwa wanasimulia wenzao!
Katika nchi ya watu 1.8M nadhani kuna upungufu wa marungu!
Nataka kuamini kuwa hao wanawake 400 ni walioonekana kwenye clip!
Pengine kuna wengi walitaka rungu lakini off-record!

Mwamba mgongaji Baltazar Engonga,
Dunia itamshangaa lakini apewe tuzo!
The MVP himself!
 
Jamaaa kapiga adi mke w kakake! kapiga mpwa wake! mke w mlinzi wake! mke wa mwanasheria mkuu! Mke wa mkuu wawalinzi wa rais! kapiga adi dadaka rais! mke wa mchungaji wake! Mawaziri kadhaa wake zao jamaa kapita nao! Bint wa mkuu wa polisi IGP uyu mwamba tutasikia kajiuwa mwenyewe akiwa rokap, kaumiza watu wengi sana
 
Kisa cha kigogo wa serikali ya Guinea ya Ikweta, Baltasar kuhusishwa na matukio ya kufanya ngono na zaidi ya wanawake 400 huku wengi wakiwa ni wake za wakuu ...
Baltasar hana makosa kwa sababu hiyari ilitumika baina ya wahusika hata kama ni wake za watu. Hilo suala ni mtu na mkewe namna watakavyomalizana kama mume atamsamehe mkewe au kumuacha. Pili ingawa amejirekodi lakini hakuzisambaza, mamlaka ndiyo imezisambaza. Kujirekodi alifanya kibinafsi kwa ajili yake tu kuziangalia.

Watu waache wivu hasa wale wanaume wasio na nguvu sawasawa za kufanya mapenzi ndio wanaoongoza kwa kumshambulia.
 
Jamaaa kapiga adi mke w kakake! kapiga mpwa wake! mke w mlinzi wake! mke wa mwanasheria mkuu! Mke wa mkuu wawalinzi wa rais! kapiga adi dadaka rais! mke wa mchungaji wake! Mawaziri kadhaa wake zao jamaa kapita nao! Bint wa mkuu wa polisi IGP uyu mwamba tutasikia kajiuwa mwenyewe akiwa rokap, kaumiza watu wengi sana
Hao wanawake waliikuwa wanajua jamaa ni kiwembe na kawaida ya wanawake wanapenda watu wa aina hiyo, na ukiangalia umbile lake alivyo walikuwa wanampapatikia na hawakuoneana wivu wao kwa wao

Jamaa hawezi kujiua ajiue kwa nini. Na mahakamani atashinda tu serikali inachoweza kufanya ni kumfukuza kazi tu.
 
Kisa cha kigogo wa serikali ya Guinea ya Ikweta, Baltasar kuhusishwa na matukio ya kufanya ngono na zaidi ya wanawake 400 huku wengi wakiwa ni wake za wakuu wa utawala...
Wewe muonee huruma na mpongeze huo ujinga kaufanyia huko. ingekuwa ni huku bongo sasa hivi muda mwingi angekuwa ashapakwa futa lenye miksa vitangawizi huo huko akhera maana sio tu kumuua huyu wangehakikisha anakunya Figo au kongosho kwa kifiro
 
πŸ’ Kuna uhakika zaidi ya asilimia 90 wa kufanya mapenzi na mwanamke wa rika, umri, uwezo na marital status yoyote endapo utakuwa na fedha nyingi au cheo kikubwa.

πŸ’ Women also cheat.

πŸ’ Ndoa sio institution tena, ndoa imekuwa status.

πŸ’ Hakuna kitu more powerful kuzidi pesa zaidi ya ngono.

πŸ’ Kama kawaida anguko kuu la mwanaume ni pale anapokuwa mshamba wa wanawake.

πŸ’ Wanaume wana watoto nje ya ndoa, Mwanamke ana watoto wa nje ya ndoa ndani ya ndoa.

πŸ’ Moja ya vitu hatari duniani ni fantasies za mwanaume mwenye pesa na imagination za mwanamke mwenye tamaa na njaa.

πŸ’ Mwanaume ni sex machine inayotembea. Anaweza akamla mtoto wa mfiwa siku ya matanga kwenye chumba alicholaziwa marehemu.
Hahaha
 
KWA DANGOTE MBALI SANA MZEE,WABETIJI MIKEKA,MIKEKA IKITIKI KUANZIA 250000+ HUWAGA NI JUU YETU KULA WAFANYAKAZI WOTE WA KIKE WA KAMPUNI HUSIKA MPK MFAGIAJI AU KUWEKA TAMAA NYUMA NA KUCHAGUA KULA PISI MOJA INAYOELEWEKA WA KAMPUNI HUSIKA...SASA UKIWA NA STATUS ALAFU UNA B ZAKO MBILI TATU UNAKULA YOYOTE TANZANIA HII KASORO MAMA YAKO COZ HATA DADA YAKO ANAWEZA KUKUPEA VIZURI TU
Hahaha
 
πŸ’ Kuna uhakika zaidi ya asilimia 90 wa kufanya mapenzi na mwanamke wa rika, umri, uwezo na marital status yoyote endapo utakuwa na fedha nyingi au cheo kikubwa.

πŸ’ Women also cheat.

πŸ’ Ndoa sio institution tena, ndoa imekuwa status.

πŸ’ Hakuna kitu more powerful kuzidi pesa zaidi ya ngono.

πŸ’ Kama kawaida anguko kuu la mwanaume ni pale anapokuwa mshamba wa wanawake.

πŸ’ Wanaume wana watoto nje ya ndoa, Mwanamke ana watoto wa nje ya ndoa ndani ya ndoa.

πŸ’ Moja ya vitu hatari duniani ni fantasies za mwanaume mwenye pesa na imagination za mwanamke mwenye tamaa na njaa.

πŸ’ Mwanaume ni sex machine inayotembea. Anaweza akamla mtoto wa mfiwa siku ya matanga kwenye chumba alicholaziwa marehemu.
Hatari...ila mbususu tamu jamani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom