Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
jamaa no light skin ila katembea na wanawake wenye high profile wasomi, wenye hela .
kawachakaza vibaya mno
kawachakaza vibaya mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa lake ni tuhuma za matendo aliyojirekodi nayo.kosa lake li wapi
wenye kosa walio pekua nyumba yake na kompyuta yake wakavujisha
yeye alirekodi kuona kwa matumizi yake, walio kosa uadirifu wakavujisha
Yawezekana ni kurekodi bila idhini yao. Yaana mtu akuletee papuchi ya masihala, uichakate Kwa hiari yake na ukubali kurekodiwa Halafu iwe nongwa?! Kwa kweli kuna taabu Mahali fulani huko kwao…Hivi kisheria kosa lake ni lipi hasa kulingana na sheria zao?
Hahaa 54 anapiga mashine kuzidi gen Z 😀 😀 😀Ungetoa neno mzee,hivi umeona anavyozipuliza mkuu?
20s huyu hapa 🙌
Kosa lake ni tuhuma za matendo aliyojirekodi nayo.kosa lake li wapi
wenye kosa walio pekua nyumba yake na kompyuta yake wakavujisha
yeye alirekodi kuona kwa matumizi yake, walio kosa uadirifu wakavujisha
🤣🤣Anazipakia mate kabisa mkuu🙌Hahaa 54 anapiga mashine kuzidi gen Z 😀 😀 😀
Kunyandu na kurekodi wake za viongozi,mke wa mtu sumu!Hivi kisheria kosa lake ni lipi hasa kulingana na sheria zao?
Unajua hatimaye nimeziangalia hizo videos [shout out kwa Kindeena aliyeweka jina la group la Telegram].Yawezekana ni kurekodi bila idhini yao. Yaana mtu akuletee papuchi ya masihala, uichakate Kwa hiari yake na ukubali kurekodiwa Halafu iwe nongwa?! Kwa kweli kuna taabu Mahali fulani huko kwao…
Kuna mtu mmoja alikuwa anafanya kazi bandarini na tulikuwa tumepanga nyumba kule yombo dovya, jamaa alikuwa anawapangilia 8-10 Kwa siku za weekend, walikuwa wanapishana tu bila wao kujuana. Alisemaga hayo ndio mazoezi yake- Kuwachapa tu na hata Hilo fuvu sikuliona. Afya buheri tele.Daily unachapa mwaka mzima si utabaki FUVU tu?
Hahaha we mwalimu umenifanya nicheke peke yangu hapa nachek game ya simba,Ungetoa neno mzee,hivi umeona anavyozipuliza mkuu?
20s huyu hapa 🙌
Labda huko kwao hata kujirikodi kwa matumizi binafsi ni kinyume cha sheria.kosa lake li wapi
wenye kosa walio pekua nyumba yake na kompyuta yake wakavujisha
yeye alirekodi kuona kwa matumizi yake, walio kosa uadirifu wakavujisha
Ndio maana nikasema labda. Mamlaka itakuwa na kazi sana kumtia hatiani huyu jamaa.Unajua hatimaye nimeziangalia hizo videos [shout out kwa Kindeena aliyeweka jina la group la Telegram].
Katika hizo video, inaonekana kabisa akirekebisha camera/ simu huku wadada wakiwa wanamwangalia.
Sasa hapo ndo kurekodi bila idhini yao kweli?
Kujirekodi picha za utupu sidhani kama ni kosa kwa Sheria za huko. Mimi naona Serikali wanapoteza muda na rasilimali fedha za bure kabisa.Kosa lake ni tuhuma za matendo aliyojirekodi nayo.
Labda nikupe mfano, polisi katika upekuzi wa simu ama laptop yako, akaona clip umejirekodi unachinja mtu, hawatakushughulikia kwa sababu video hiyo ni praivace yako?
Hayo mengine ya nani aliyevujisha kwenye mtandao hakumpi kinga ya kuburuzwa mahakamani.
Aliyevujisha, naye atashughulikiwa kwa makosa yake.
Kama King Kong the movie…Hahaa 54 anapiga mashine kuzidi gen Z 😀 😀 😀
Mkuu katumia pesa za serikali kuonga baadhi ya wanawake.Ndio maana nikasema labda. Mamlaka itakuwa na kazi sana kumtia hatiani huyu jamaa.