Gwajima akamatwe ahojiwe anajua mpango mzima.Mchungaji Gwajima alimwambia Lissu kuwa kama angeenda Dodoma basi angepigwa risasi.
Hiyo ilikuwa ni siku moja kabla ya Lissu hajapigwa risasi na baada ya kukaidi na kwenda Dodoma kweli akapigwa risasi.
Je, ulikuwa ni utabiri wa kiroho kwa Mchungaji Gwajima au kuna sehemu aliinasa?
Kuna haja ya kuendelea kumuamini Gwajima maana aliyotabiri yalitokea.
View attachment 2534571
Gwajima na Mungu wapi na wapi. Yule mhuni kama sisiKwamba Gwajima yeye anaoteshwa na Mungu?
Inawezekana pia ni muhusika katika hizo plots just saying!Mchungaji Gwajima alimwambia Lissu kuwa kama angeenda Dodoma basi angepigwa risasi.
Hiyo ilikuwa ni siku moja kabla ya Lissu hajapigwa risasi na baada ya kukaidi na kwenda Dodoma kweli akapigwa risasi.
Je, ulikuwa ni utabiri wa kiroho kwa Mchungaji Gwajima au kuna sehemu aliinasa?
Kuna haja ya kuendelea kumuamini Gwajima maana aliyotabiri yalitokea.
View attachment 2534571
Muhusika iweje amtaarifu mlengwa kuwa atashambuliwa Ili ajiokoe?Inawezekana pia ni muhusika katika hizo plots just saying!
Ni kweli, tuendelee kumuamini. Mskize tena hapa!Mchungaji Gwajima alimwambia Lissu kuwa kama angeenda Dodoma basi angepigwa risasi.
Hiyo ilikuwa ni siku moja kabla ya Lissu hajapigwa risasi na baada ya kukaidi na kwenda Dodoma kweli akapigwa risasi.
Je, ulikuwa ni utabiri wa kiroho kwa Mchungaji Gwajima au kuna sehemu aliinasa?
Kuna haja ya kuendelea kumuamini Gwajima maana aliyotabiri yalitokea.
View attachment 2534571
We chiziAgiza nakuja kulipa.
Kuna mahali aliinasa, hakuna Cha unabii! Ni leakage ya classified information.
Jamaa ni bonge la perfomer kama 2pac vile 🤣😂Askofu yuko field, kazi kwenu!
View attachment 2534626
common sense and critical thinking come to that conclusionKabisa Gwajima alijua kwamba Lissu anaenda kumiminiwa risasi ,alipewa info na hiyo cartel.
Sawa mkuuNi kweli, tuendelee kumuamini. Mskize tena hapa!View attachment 2535067
Mmawia kuna kitu kinaitwa coincidence. Watu walishajua kuwa Magufuli ni Muuaji and therefore kwa criticism alizokuwa anazitoa Lisu against magufuli, it is very much possible a coincidence to happen with one predicting what might be the consequence of Lisu's criticisms!!Sawa mkuu
Muhusika iweje amtaarifu mlengwa kuwa atashambuliwa Ili ajiokoe?
Unatumia KICHWA kipi kufikiri?
Mmawia kuna kitu kinaitwa coincidence. Watu walishajua kuwa Magufuli ni Muuaji and therefore kwa criticism alizokuwa anazitoa Lisu against magufuli, it is very much possible a coincidence to happen with one predicting what might be the consequence of Lisu's criticisms!!
Naona channel zinaingiliana hapo. Naona eneo lakiroho wanapigiwa chapuo wanasiasaAskofu yuko field, kazi kwenu!
View attachment 2534626