HahahahaGwajima na mpira.
Mbona mnaanza kujihami mapemaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Gwajima wenu hajawahi kuishi uswahilini na hawajui watoto wa uswazi!Gwajima atampakazia nini Daimond mpaka ajisikie ovyo? Watoto wa uswazi wamefanya mengi ya ovyo bila mshipa wa haya utakachokuja kusema later in life hakina impact kwao as long my yao yamechange kiutamuutamu na moja ya good past time yao nikujikumbusha ujinga ujinga wao
Mnakazi kubwa mbeleWafuasi wa Bashite mna safari ndefu zaidi.
Ni kituo gani cha POLICE kimepokea taarifa juu ya uvamizi wa Office uliofanywa na kiongozi? au ni Mahakama gani kuna shitaka la uvamizi wa Office uliofanywa na kiongozi?Kwani viongozi tuliowachagua tuliwachagua ili wawe wavamizi wa ofisi za watu???
Kondoo leo wanataka kulishwa mbege wamechoka majani kila sikuGwajima "Lisha kondoo wako" Wakati mwingine mambo kama hayo ambayo sio spiritual related unaita press conference nje ya nyumba za ibada
Kwani Diamond angekaa kinya angetokewa na nn?,tatizo mnatka watu wapigwe makofi na wakae kmya wakjibu tu wanatumia vibaya knisa,yeye dimond katumia imbaj wae vzr?Siri gani Diamond anayo. Huyo Gwajima anatumia kanisa vibaya visasi tu
Diamond is a king
Hawa sijawahi kufikiria hata siku moja kama wanaweza. Ni watu wa kujipendekeza sana. Wanatutia aibu sisi, hatuko hivi. Nadhan DNA inahusika mkuuDah mi naumia makonda na magufuli ni miongoni mwa watu niliowakubali sana
Mmeingiza mguu kwenye mashine ya kusaga na kukoboaKwa hiyo Gwajima na Diamond nani maarufu, Gwajima umaarufu wake upo mijini tu wakati Diamond kila kona ya Tanzania na Afrika kwa ujumla.!
Sema mchungaji wa mateja na asithubutu kumgusa kipenzi cha watu diamondView attachment 492823
Salamaaa
Sina mengi zaidi ya kumwambia diamond kesho anunue ndimu pamoja na kinywaji kikali kwani mchungaji keshasema kesho anakuchambua nami ntakwenda kumsikiliza kwamaan umetapika sana kwenye wimbo wako huu mpya.
Kwakuwa uu mnafiki sana basi dawa yako imepatikana.
Sina mengi zaidi ya kukupa pole kwa huu mlango ulioingilia.
Kwani wewe unamzidi nini Gwajima mwenzako ana helkopta na sna mpango wa kununua train SG.Wanaosali hapo kanisani wapimwe akili....
Aliyerokodi nyimbo ya kipuuzi ndiyo kikiGwajima hii sasa kiki
WERRASON YAANI BADO UNAONGEZEA TU? MI NITAPASUKABishop sio mchungaji!!!