Gwajima amcharukia Diamond

Kesho kinyago cha mpapule lazima ajifiche nyuma ya fuvu liliko kwenye studio yake..Baba mchungaji lazima amtie ngeu kesho
 
Inaonekana masikio hayasikii vizuri. Rudia tena kuusiliza. Hujanishawishi mimi ambaye nimeusilikiza full. Gwajima ametajwa mwanzo wa wimbo.
 
Huyu jamaa ni mnafiq tena anawawaibiatu waumini, sijawahi ona mchungaji wa sampuli hii kabisa! Ila akae akijua atamalizia kubaya!.
 
Hii thread inatembea fasta zaidi ya matokeo ya uchanguzi mkuu wa rais 2015
 
Yaani pale anaposema amefanya utafiti,
 
Nadhani ajajua kuwa kabla ya hili mondi kashapitia vizingiti vingi

Kushindana Na mswahili utapata shidaa
 
Hiyo heading nimeipenda mkuu, unafaa kuwa mhariri wa gazeti![emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…