Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona alidai mkono ulioonekana haukuwa ni wa kwake? 🤣Hili alishakubali toka ile video ilipotoka kuwa ni kweli na haina shida kwake kwani ilidhihirisha kuwa yeye ni kidume.
NASHANGAA KWA NINI WANACHELEWA KUFANYA HIVO.Huyu bado kidogo watamnyang'anya kibali cha kanisa
What is a tacit admission?Or what if he is arguing in the alternative, that even if he indeed were the one, would that be wrong... that's what he implies...in my opinion. Not a tacit admission
Na misukule yake inashangilia!Kupinga maneno ya Baba askofu ni kutaka kupata dhambi za bure, sisi tunasema neno lake tumelishika warembo hawana ubaya wowote
HoyeeeKama baba askofu kasema warembo hawana ubaya we ni nani mpaka upinge.
Warembo hoyee.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Nafikiri Gwajima amehoji kuna ubaya gani kuleta hoja hiyo badala ya majibu ya maswali yake? Tulisema ili ku prove ujinga wa Gwajima uwekwe mdahalo! Sasa kaomba mdahalo mwenyewe, tuone mdahalo sasa badala ya kumjibu kwa kutumia Google na sites za chanjo.
Tukubali hizi chanjo hatujazitafiti wenyewe vya kutosha na kinachoogopesha zaidi kuhusu huu ugonjwa ni kuanzia kuzuka kwake hadi tulipo ni dhahiri kuna global ajenda ambayo Imejificha na ni bora tujiridhishe vya kutosha.
HahaaaHuyu askofu ni mchangiaji mzuri kwenye ule uzi wa kula tunda kimashala
Warembo wametikisa vichwaKama baba askofu kasema warembo hawana ubaya we ni nani mpaka upinge.
Warembo hoyee.
Kukili jambo bila kutamka."Ukikuta nakata kata majani ujue nimekubali we niangusage tuu"What is a tacit admission?
Hapa watu wanahoji kuhusu maadili ya ''askofu''. Hawahoji kuhusu chanjo. Wewe huoni mchanga kondoo kukiri kuwa anatafuna kondoo wake ni kinyume na maadali ya jamii na maandiko ya Mungu?Ndg nakuheshimu sana lakini nimekushangaa kuchukua kipande kimoja cha aliyoyasema Gwajima badala ya kuleta mjadala wa hoja alizomjibu waziri.
Nawashangaa mnaomshangaa Gwajima, mjibuni kwa hoja na si kuleta udaku!!
Si unajua hata kibaka umkamate live anaiba atakataa.Sasa mbona alidai mkono ulioonekana haukuwa ni wa kwake? [emoji1787]
Ila naye anapenda sana kiki.
Mkuu yale ni mandondocha. Hayana tena utashi wowote. Alishayapopoa akili zao zote. Ona sasa hata uasherati linakuwa jambo la sifa kwa mtumishi wa kondooMimi nachoshangaa ni waumini wake kushangilia kwamba hakuna ubaya.
Asee wajinga bado wengi Tanzania
Global ajenda ikawaathiri mpaka wao wenyewe?Nafikiri Gwajima amehoji kuna ubaya gani kuleta hoja hiyo badala ya majibu ya maswali yake? Tulisema ili ku prove ujinga wa Gwajima uwekwe mdahalo! Sasa kaomba mdahalo mwenyewe, tuone mdahalo sasa badala ya kumjibu kwa kutumia Google na sites za chanjo.
Tukubali hizi chanjo hatujazitafiti wenyewe vya kutosha na kinachoogopesha zaidi kuhusu huu ugonjwa ni kuanzia kuzuka kwake hadi tulipo ni dhahiri kuna global ajenda ambayo Imejificha na ni bora tujiridhishe vya kutosha.