Gwajima: Eti nilikamatwa na mrembo, kwani warembo wana ubaya gani?

Gwajima: Eti nilikamatwa na mrembo, kwani warembo wana ubaya gani?

Kwa hiyo kama Askofu hakuona ubaya wa hilo alilolifanya.Kweli? Ikiwa hivyo kwa mti mbichi vipi kwa mti mkavu?
 
Kupinga maneno ya Baba askofu ni kutaka kupata dhambi za bure, sisi tunasema neno lake tumelishika warembo hawana ubaya wowote
Na misukule yake inashangilia!
Kwani kanisa limekuwa uwanja wa siasa?
 
Nafikiri Gwajima amehoji kuna ubaya gani kuleta hoja hiyo badala ya majibu ya maswali yake? Tulisema ili ku prove ujinga wa Gwajima uwekwe mdahalo! Sasa kaomba mdahalo mwenyewe, tuone mdahalo sasa badala ya kumjibu kwa kutumia Google na sites za chanjo.

Tukubali hizi chanjo hatujazitafiti wenyewe vya kutosha na kinachoogopesha zaidi kuhusu huu ugonjwa ni kuanzia kuzuka kwake hadi tulipo ni dhahiri kuna global ajenda ambayo Imejificha na ni bora tujiridhishe vya kutosha.
 
Mbona alikuwa amekubali ni yeye mara ilipotoka? Tena akasema yeye ni kidume kwani kuna nini cha ajabu. Ni yeye. Ni mapopomaa tu anaowadanganya huko kanisani ndiyo wanamshangalia kila kitu.

Ameshawateka akili kiasi ambacho haogopi tena wanaweza kumhoji chochote. Kwao uasherati ni sawa tu.
 
Nafikiri Gwajima amehoji kuna ubaya gani kuleta hoja hiyo badala ya majibu ya maswali yake? Tulisema ili ku prove ujinga wa Gwajima uwekwe mdahalo! Sasa kaomba mdahalo mwenyewe, tuone mdahalo sasa badala ya kumjibu kwa kutumia Google na sites za chanjo.

Tukubali hizi chanjo hatujazitafiti wenyewe vya kutosha na kinachoogopesha zaidi kuhusu huu ugonjwa ni kuanzia kuzuka kwake hadi tulipo ni dhahiri kuna global ajenda ambayo Imejificha na ni bora tujiridhishe vya kutosha.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Ndg nakuheshimu sana lakini nimekushangaa kuchukua kipande kimoja cha aliyoyasema Gwajima badala ya kuleta mjadala wa hoja alizomjibu waziri.


Nawashangaa mnaomshangaa Gwajima, mjibuni kwa hoja na si kuleta udaku!!
Hapa watu wanahoji kuhusu maadili ya ''askofu''. Hawahoji kuhusu chanjo. Wewe huoni mchanga kondoo kukiri kuwa anatafuna kondoo wake ni kinyume na maadali ya jamii na maandiko ya Mungu?
 
Nafikiri Gwajima amehoji kuna ubaya gani kuleta hoja hiyo badala ya majibu ya maswali yake? Tulisema ili ku prove ujinga wa Gwajima uwekwe mdahalo! Sasa kaomba mdahalo mwenyewe, tuone mdahalo sasa badala ya kumjibu kwa kutumia Google na sites za chanjo.

Tukubali hizi chanjo hatujazitafiti wenyewe vya kutosha na kinachoogopesha zaidi kuhusu huu ugonjwa ni kuanzia kuzuka kwake hadi tulipo ni dhahiri kuna global ajenda ambayo Imejificha na ni bora tujiridhishe vya kutosha.
Global ajenda ikawaathiri mpaka wao wenyewe?

Hamjafanya utafiti, huo uwezo wa kufanya hizo tafiti mnao? kama upo fanyeni mnasubiri nini?

Anataka mdahalo na wanasayansi, akiambiwa tafiti inapingwa kwa tafiti atajibu nini? au ataleta ngonjera zake za kuwafurahisha mashabiki wake.

Alisema Corona haitakuja nchini, ikawaje? now anajidai hataki kuchanjwa ili kuwazubaisha msio na kumbukumbu ya uongo wake.
 
Gwajima ni mchungaji nachelea kusema hana akili lakini unapooliza ukichanjwa huwez kuambukiza wengine? Nikuonyesha ujinga ulionao juu ya taaluma ya udaktari.
 
Back
Top Bottom