Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Kwani alitombania juu ya mapazia au kitanda kilitandikwa mapazia?
Net ya kitanda in zamabarau, mapazia ni ya cream, ila yule sio Gwajima, nimepima size ya pua zinatofautiana sana, sio mwenyewe Duniani wawili wawili mwacheni Baba askofu apige Injili.
 
Kwani hapo anaechafuka ni nani UKRISTO AU GWAJIMA??
 
Sijawahi kuwaamini hawa wanaojiita wachungaji,manabii,wafalme,ni majizi tu,majasiliamali ya kutumia dini.
Na wahanga wakubwa ni wanawake.
Wanayotenda Manabii wa kidigitali, mapadre, mashehe n.k nyuma ya pazia ni ya kuogofya
 
Kwanza gwajima mwenyewe siyo fala kiasi hicho ajirekodi tena anafanya mapenzi tu.

Actually picha ya juu na chini kuna utofauti mkubwa sana hata wa physical appearance ya hao watu
Oanisha paji la uso wa picha ya juu na chini utaona tofauti kwa picha ya juu paji la uso limepanda juu na refu tofauti na picha ya chini paji la uso ni mviringo.

Labda tuseme picha ya chini ni photoshop but i dont see any...
 
Sasa mwenyewe kakiri alifanya hayo ila kipindi hajaokoka we ni nani wa kusahihisha hilo?
 
Picha alokaa kifua wazi kwenye mapazia Kuna hadi rangi ya zambarau halafu kwenye ile anayomwaga miuno mapazia hayana rangi ya zambarau,so yawezekana ni feki!
Sasa unajuaje kama ni siku mbili tofauti. Kwani we ukituma picha zako zote leo hii zitakuwa za location moja?
 
picha nyingine kuna pazia bluu picha nyingne pazia jeupe.picha za edit hizo turudishieni mduda acheni upuuzi huo
 
Kwani hata hili la Mtumishi likichukua wiki, ndio watu watasahau mtu aliyetekwa?
Hili la pili ni jepesi sana. Kwanza limeshafutika. La Mdude litabaki tu hakuna namna Labda arudishwe.
 
I expected this
 
Mkuu mdude ndio nani?
 
Mbona mnaleta porojo nyingi?Hio video iko wap?
 
Kwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.
Analipa sh ngapi na mimi nianze kumtetea kua sio yeye?
 
Hivi kile kipande cha 705kb na kile chenye 16MB vimerekodiwa sehemu moja kweli.Au ndiyo vile watu tukiamua kubeba jambo.Kwa macho ya kawaida mimi naona ni venue tofauti kabisa na ni kitu ambacho kinaashiria kuwa "technology innovation" ndiyo imetumika kufanya "manipulation"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…