When somebody proclaims foolishly that he can resurrect the dead, and you believe in his free speech-or sermon for that matter, it's obvious who the next fool is, on the line.Well,that is what referred as prophetic intelligence.
According to our constitution, each person has freedom to give opinion I,and this proves on variation in thoughts, the thought/opinion of majority is regarded as the best opinion and it must be followed ,but those with different views as those of many must be listened.
Sometimes I remember the comment the late president of Kenya and the father of that nation once said that "you have a freedom of expression but I can not assure your freedom after speech" .
Sir.maganga.
Anaweza, hakuna mtu aliyelazimishwa kwenda kanisani kwake.Huwezi kuyafanya mahubiri ya kanisani kama kichaka cha upotoshaji na wakati mhubiri mwenyewe wakati fulani ndiye pia alikuwa muumini wa kauli hii inayotumiwa mara nyingi na wanasiasa hata out of context: 'Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu' (Warumi 13:1). Waumini wengine ni askofu Gamanywa, Kakobe, Mzee wa Upako etc.
Hiyo staili ya Kikwete, ana mmaliza hasimu wake huku akicheka!Gwajiboy hii mbungi kashinda tena kapiga hat trick. Ikiwa juzi pale Tegeta Maza aliuliza mnachanja hamchanji na wapiga kura wa Gwajiboy wakamjibu kwa ufasaha kabisa kuwa hawachanji naye kwa bashasha akasema Gwajiboy oyeee mara mbili, jee kama Maza anamkubali Gwajiboy kwa kiwango hiki wewe ni nani wa kumpinga Gwajiboy? Popote ulipo Gwajiboy vimba mwanangu wakati wako huu hakuna simbilisi yoyote wa kukugusa nchi hii
Ni nzuri lakiniHiyo staili ya Kikwete, ana mmaliza hasimu wake huku akicheka!
Huwezi kuyafanya mahubiri ya kanisani kama kichaka cha upotoshaji na wakati mhubiri mwenyewe wakati fulani ndiye pia alikuwa muumini wa kauli hii inayotumiwa mara nyingi na wanasiasa hata out of context: 'Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu' (Warumi 13:1). Waumini wengine ni askofu Gamanywa, Kakobe, Mzee wa Upako etc.
Hiari is a diplmatic way ya kusema , chanjo ni muhimu.Mamlaka imesema chanjo ni HIARI.
HIARI ni kwamba ANAYEHAMASISHA KUCHANJWA Au KUTOCHANJWA; na ANAYECHANJWA au ASIYECHANJWA WOTE WANA HAKI SAWA.....
Na gwajima ametumia hiyo nafasi kuwaeleza waumini wake kwanini ni hiari.
Kiimani kama Chanjo ingekua SHURTI gwajima alitakiwa kuwajibishwa na Mungu na mamlaka pia kwa kukosa utii
Hukumu ni ngumu hapa😅😅😅😅
Hiari is a diplmatic way ya kusema , chanjo ni muhimu.
Tukumbuke ofisi nzima ya Magufuli kule Ikulu ilipukutika!
Hata Mwinyi aiwahi kusema ushauri wa mzee au mtu wa mamlaka inakuwa sheria usipoitekeleza.
Naona hujafiwa na ndugu aliyepata korona.Serikali ikiwa unawajua watanzania walivyo inashindwa nini kusema chanjo ni lazima kwa usalama wa wananchi wake??
Kwanini kuna ukakasi kwenye hilo? Kumbuka agizo la serikali ni sheria..... sasa wameshasema ni HIARI wananchi wamepokea na wanatekeleza kwa HIARI huku wakiwasikiliza viongozi wao wa imani wana muelekeo gani
Naona hujafiwa na ndugu aliyepata korona.
Omba yasikukute!
Naona wewe ndio una ukungu wa kuelewa ushauri.Unasoma lakini huelewi🙄 jaribu kujua kelewa mzizi wa jambo kabla ya kulalamikia matokeo
Tofautisha HIARI na SHURTI, elewa maelekezo na sheria kisha urudi tena kwenye mjadala
Roho mtakatifu wako ndiye alikuagiza upeleke kura feki vituoni kwenye mabegi ukisaidiwa Na Polisi??
"Niliitwa na Kamati ya Maadili ya Bunge wiki iliyopita nilipotoka wengi mliniuliza kimejiri nini na nikasema sitosema hadi Kamati iseme kwanza na kwasababu Kamati imeshaongea acha nami nizungumze”
“Sababu ya kuongea ni kwasababu wameniongelea kama Mtu mbaya sana, Jitu baya sana ambalo kama lipo kama lilivyotajwa basi halitakiwi hata kuwa Kiongozi wa Kanisa”
“Mimi Mchungaji wa muda mrefu sana hapa tu Ubungo nipo kwa miaka 25, nilipoitwa kwenye Kamati yale niliyoitiwa ni kuhusu mahubiri ya Kanisani, Mimi nikawaambia sidhani kama Kamati mmefanya vizuri maana yote nimeongea Kanisani na hakuna mwenye Mamlaka ya kuuliza maswali juu ya Ibada ya Kanisani na imani za Watu na nikasema kwenye hili Kamati mmekosea”
“Niliwaambia Kamati mmesema mmesikia nimewaambia Watu wasichanjwe nikasema hiyo haibadiliki milele, nikaweka wazi kwamba sisi Ufufuo na Uzima chanjo ni hiari na sisi tumechagua hatuchanji sikupindisha nilisema hatutowaruhusu Waumini kuchanja na sababu zetu ni hatujapata taarifa za kutosha juu ya madhara ya chanjo ya muda mfupi, siku zijazo na siku nyingi”
“Kwahiyo kama nimeitwa mkorofi ukorofi wangu ni huo na kama huo ndio ukorofi basi ni ukorofi kwelikweli kwenye eneo hilo, wakaniambia jitetee nikasema sina la kujitetea, siwezi kujitetea kwa mahubiri niliyohubiri yanatoka kwa roho mtakatifu, nimefafanua ili mjue Gwajima sio mkorofi ”———-Askofu Gwajima
My Take
Bunge hapa lilichemka. Labda lingempiga pini kwenye chama
Walipe VIP treatment kama waliyompa Mtikila , wamalize kaziWalifukuze tu huko CCM bila hivyo litawavuruga sana.
Nyinyi mnaoikubali chanjo mbona hamchanji? Au unataka kutuambia kuwa watanzania karibia wote wakiwemo nyumbu wenu wanamsikiliza Gwajima? Hushangai idadi ya waliochanga haifikii laki nne?Hiari is a diplmatic way ya kusema , chanjo ni muhimu.
Tukumbuke ofisi nzima ya Magufuli kule Ikulu ilipukutika!
Hata Mwinyi aiwahi kusema ushauri wa mzee au mtu wa mamlaka inakuwa sheria usipoitekeleza.
Naona wewe ndio una ukungu wa kuelewa ushauri.
Kupata korona ni hiari ya kila mjinga!
Tujulishe unakosali ili tukutembelee tuone kiongozi wako kama ni mtakatifu kama malaika.Tapeli la mitaani hili li Gwajima.
Atuonyeshe aliowafufua kwa roho mtakatifu wake.
Kazi mnayoWalifukuze tu huko CCM bila hivyo litawavuruga sana.