Serikali na CCM ilikosea ilipoanza kuwahusisha watu kama Gwajima katika siasa na mipango nyeti.
Madhara yake ni haya.
Unaweza kutafsiri kuwa Gwajima anaogopwa na serikali, chama na vyombo vya dola.
Hata hivyo, yawezekana Gwajima ana intelijensia Kali kuliko tunavyofikiria, (ukimnukuu Lema wa Chadema kuwa siku moja kabla Lisu hajashambuliwa Gwajima alimuonya kuwa akienda Dodoma atashambuliwa).
Haya mambo yaweza kuwa makubwa kuliko tunavyofikiria.
Madhara yake ni haya.
Unaweza kutafsiri kuwa Gwajima anaogopwa na serikali, chama na vyombo vya dola.
Hata hivyo, yawezekana Gwajima ana intelijensia Kali kuliko tunavyofikiria, (ukimnukuu Lema wa Chadema kuwa siku moja kabla Lisu hajashambuliwa Gwajima alimuonya kuwa akienda Dodoma atashambuliwa).
Haya mambo yaweza kuwa makubwa kuliko tunavyofikiria.