Gwaride la Watoto lamkosha Rais Samia mpaka kuinuka kwenye kiti na kusimama kwa tabasamu na furaha ya hali ya juu

Gwaride la Watoto lamkosha Rais Samia mpaka kuinuka kwenye kiti na kusimama kwa tabasamu na furaha ya hali ya juu

Hizo habari nani kakuzuia wewe kuzipost hapa? Acha uvivu wa kutumia akili na kukaa muda wote ukilalamika Hovyo hovyo tu.
Ushawwhi ona cheo hiki akapata mwanamke huko marekani? Ndio mana wanaona bora kumpa mwendawazimu tirampu kuliko mwanamke.
 
Hilo tabasamu lake linasaidia nini wakati watu wanatekwa na kuuwawa na yeye yupo tu? Bora ajiuzulu, hatuhutaji tabasamu lake katika kipindi kibaya kama hiki.

Hatoshi.

SAMIA MUST GO!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia utanzania wetu na utaifa wetu,tuna kila sababu ya kujiona fahari ya kuzaliwa Tanzania,tuna kila sababu ya kuona Taifa letu litaendelea kuwa salama na kisiwa cha Amani na kupigiwa mfano Barani Afrika na Duniani Kwote kwa ujumla wake.

Tuna kila sababu ya kuona Taifa la kesho lipo imara na madhubuti kwelikweli,tuna kila sababu ya kuona kuwa Taifa letu lina nguvu kazi ya kutosha kwa leo na hata kesho,tuna kila sababu ya kuona na kujivunia mipango endelevu ya kujenga uzalendo kuanzia kwa watoto mpaka wanakuwa katika kulilinda,kulitetea na kulipigania Taifa letu mpaka tone la Mwisho.

Leo Mkoani Kilimanjaro katika kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya jeshi la polisi. ambako mgeni Rasmi ni Mama yetu na RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kumetokea tukio la kugusa na kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.ambapo imeshuhudiwa Gwaride la watoto likipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu wetu kwa ukakamavu na umakini wa hali ya juu sana na mkubwa sana Utafikiri makomandoo na askari wa JWTZ au Mossad ya Israel au CIA kutoka Marekani.

Namna watoto hao wakike kwa wakiume walivyopita kishupavu na kikakamavu mbele ya Mama yetu kipenzi na Amiri Jeshi Mkuu imemfanya mpaka ainuke kwenye kiti chake cha heshima akiwa amejaa tabasamu na furaha ya hali ya juu sana. Furaha aliyokuwa nayo Rais wetu ilikuwa ni kubwa mpaka unaona namna akitamani aendelee kusimama kuendelea kuwaangalia watoto hao walioteka ,kukosha na kukonga mioyo ya wengi sana.

Kwa hakika Tanzania yetu ipo imara na itaendelea kuwa imara na salama kwa sababu kila anayezaliwa Tanzania na kupulizwa na upepo anajikuta yupo tayari kulipigania Taifa hili na kuwa na moyo wa uzalendo.ndio sababu huwezi wadanganya watanzania kulibomoa Taifa lao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Endelea kusifia mkuu, mwaka ndio huo unayoyoma tu
 
Hilo tabasamu lake linasaidia nini wakati watu wanatekwa na kuuwawa na yeye yupo tu? Bora ajiuzulu, hatuhutaji tabasamu lake kati kipindi kibaya kama hiki.

SAMIA MUST GO!
Kingekuwa ni kipindi kibaya ungepata wapi muda na nafasi ya kuja hata humu jukwaani kupost? CHADEMA wangepata wapi nafasi na muda wa kukusanyika pamoja na kufanya vikao vyao kwa amani na utulivu?

Umeona Marekani namna Trump anavyoendelea kukoswa koswa kuuwawa? Vipi ingekuwa ndio Tanzania?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia utanzania wetu na utaifa wetu,tuna kila sababu ya kujiona fahari ya kuzaliwa Tanzania,tuna kila sababu ya kuona Taifa letu litaendelea kuwa salama na kisiwa cha Amani na kupigiwa mfano Barani Afrika na Duniani Kwote kwa ujumla wake.

Tuna kila sababu ya kuona Taifa la kesho lipo imara na madhubuti kwelikweli,tuna kila sababu ya kuona kuwa Taifa letu lina nguvu kazi ya kutosha kwa leo na hata kesho,tuna kila sababu ya kuona na kujivunia mipango endelevu ya kujenga uzalendo kuanzia kwa watoto mpaka wanakuwa katika kulilinda,kulitetea na kulipigania Taifa letu mpaka tone la Mwisho.

Leo Mkoani Kilimanjaro katika kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya jeshi la polisi. ambako mgeni Rasmi ni Mama yetu na RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kumetokea tukio la kugusa na kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.ambapo imeshuhudiwa Gwaride la watoto likipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu wetu kwa ukakamavu na umakini wa hali ya juu sana na mkubwa sana Utafikiri makomandoo na askari wa JWTZ au Mossad ya Israel au CIA kutoka Marekani.

Namna watoto hao wakike kwa wakiume walivyopita kishupavu na kikakamavu mbele ya Mama yetu kipenzi na Amiri Jeshi Mkuu imemfanya mpaka ainuke kwenye kiti chake cha heshima akiwa amejaa tabasamu na furaha ya hali ya juu sana. Furaha aliyokuwa nayo Rais wetu ilikuwa ni kubwa mpaka unaona namna akitamani aendelee kusimama kuendelea kuwaangalia watoto hao walioteka ,kukosha na kukonga mioyo ya wengi sana.

Kwa hakika Tanzania yetu ipo imara na itaendelea kuwa imara na salama kwa sababu kila anayezaliwa Tanzania na kupulizwa na upepo anajikuta yupo tayari kulipigania Taifa hili na kuwa na moyo wa uzalendo.ndio sababu huwezi wadanganya watanzania kulibomoa Taifa lao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukiweka unafiki pembeni, ukiweka uchawa pembeni, utakubaliana na ukweli mchungu kwamba Jeshi la Polisi la Tanzania pamoja na Tiss ndio taasisi ambazo raia wengi zaidi hawana imani nazo kabisa, hazikubaliki Kamwe na raia wa kawaida kutokana na taasisi hizo kushukiwa moja kwa moja na vitendo vya utekaji, utesaji na mauaji vinavyoendelea hapa nchini.
 
Mimi sisifii bali naongea uhalisia tu.
Unasifia sana hata ishu ambazo hazifai kusifia, kijana wa kitanzania anaejitambua hayupo kama wewe Bora hata ungekuwa kama mwijaku au baba levo, Kila siku Huwa nakueleza kuwa humu unapoteza muda tu.....fursa za ccm hazitafutwi kwa kusifia hovyo hovyo Kila kitu...jaribu kutizama background za wote waliopata uteuzi mfano mkuu wa wilaya au ukuu wa mkoa mfano bwana mtanda wa mwanza amechangia katika miradi mingi ya serikali ndio maana Leo hii unamuona yuko pale alipo..
 
Watoto wa makanyaboya hao
Wazazi wao wale pangu pakavu
Mzazi anayejielewa hawezi kumuweka mtoto wake hapo akawa anapiga ngondi

Ova
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia utanzania wetu na utaifa wetu,tuna kila sababu ya kujiona fahari ya kuzaliwa Tanzania,tuna kila sababu ya kuona Taifa letu litaendelea kuwa salama na kisiwa cha Amani na kupigiwa mfano Barani Afrika na Duniani Kwote kwa ujumla wake.

Tuna kila sababu ya kuona Taifa la kesho lipo imara na madhubuti kwelikweli,tuna kila sababu ya kuona kuwa Taifa letu lina nguvu kazi ya kutosha kwa leo na hata kesho,tuna kila sababu ya kuona na kujivunia mipango endelevu ya kujenga uzalendo kuanzia kwa watoto mpaka wanakuwa katika kulilinda,kulitetea na kulipigania Taifa letu mpaka tone la Mwisho.

Leo Mkoani Kilimanjaro katika kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya jeshi la polisi. ambako mgeni Rasmi ni Mama yetu na RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kumetokea tukio la kugusa na kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.ambapo imeshuhudiwa Gwaride la watoto likipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu wetu kwa ukakamavu na umakini wa hali ya juu sana na mkubwa sana Utafikiri makomandoo na askari wa JWTZ au Mossad ya Israel au CIA kutoka Marekani.

Namna watoto hao wakike kwa wakiume walivyopita kishupavu na kikakamavu mbele ya Mama yetu kipenzi na Amiri Jeshi Mkuu imemfanya mpaka ainuke kwenye kiti chake cha heshima akiwa amejaa tabasamu na furaha ya hali ya juu sana. Furaha aliyokuwa nayo Rais wetu ilikuwa ni kubwa mpaka unaona namna akitamani aendelee kusimama kuendelea kuwaangalia watoto hao walioteka ,kukosha na kukonga mioyo ya wengi sana.

Kwa hakika Tanzania yetu ipo imara na itaendelea kuwa imara na salama kwa sababu kila anayezaliwa Tanzania na kupulizwa na upepo anajikuta yupo tayari kulipigania Taifa hili na kuwa na moyo wa uzalendo.ndio sababu huwezi wadanganya watanzania kulibomoa Taifa lao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
hakika,
wameonyesha ukakamavu wa kizalendo wa kiwango cha juu kabisa dah !👊👊👊💪💪

ukiwatazama vizuri,
unaweza kuona inafaa hata wasambazwe maeneo tofauti tofauti nchini kudhibiti maandamano haramu ya Chadema na itapendeza Zaidi na inaonekana wanaweza kabisa
 
Ukiweka unafiki pembeni, ukiweka uchawa pembeni, utakubaliana na ukweli mchungu kwamba Jeshi la Polisi la Tanzania pamoja na Tiss ndio taasisi ambazo raia wengi zaidi hawana imani nazo kabisa, hazikubaliki Kamwe na raia wa kawaida kutokana na taasisi hizo kushukiwa moja kwa moja na vitendo vya utekaji, utesaji na mauaji vinavyoendelea hapa nchini.
Tuwe na subira wakati huu ambao vyombo vyetu vinaendelea kufanya uchunguzi wa kina kumaliza viyendo hivyo kwa kuwakamata watu wote wanaohusika na kujihusisha na Vitendo hivyo.
 
hakika,
wameonyesha ukakamavu wa kizalendo wa kiwango cha juu kabisa dah !👊👊👊💪💪

ukiwatazama vizuri,
unaweza kuona inafaa hata wasambazwe maeneo tofauti tofauti nchini kudhibiti maandamano haramu ya Chadema na itapendeza Zaidi na inaonekana wanaweza kabisa
CHADEMA ni lazima wafahamu ya hawana nafasi ya kufanya vurugu katika Taifa letu.
 
Back
Top Bottom