'Gynaecologists' mlioko hapa JamiiForums hili tatizo la 'Tamu' nyingi Siku hizi Kutema sana inatokana na nini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na hili tatizo la Tamu nyingi Kutema limeanza hasa hasa miaka hii ya karibuni ila Tamu za miaka ya kuanzia 1999 kurudi nyuma ilikuwa ni Nadra kuzikita "zikitema' ila za kuanzia miaka ya 2000 hata kabla hujazila tayari zinakukaribisha kwa 'Kutema' Kwake.

Hebu tusaidieni tafadhali ili litatulike.
 
Mtu ameliza swali vizuri ambalo linaweza pia kusaidia wenye matatizo husika.

Japo sijawahi kukutana na mwanamke anayetoa harufu sehemu za siri lakini nimewahi kusikia malalamiko kama haya kwa watu mbalimbali nadhani hii inatokana na utofauti wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

Wengine kama sisi Pua inafikaje maeneo hayo? ila kuna wengine pua lazima ifike kwasababu ya matumizi ya mdomo kwenye lile tendo.

naamini matabibu husika watafika kusaidia.
 
Umekula ugolo,sigara mixer k vant unazama chumvini huku umepaka mkongo kwenye mjegejo k lazima iteme
 
kuna ugonjwa unaitwa PID.... umekuwa kama ilivyo UTI
 
Magonjwa ya zinaa.na sijui wanayapataje
Na wengi hawayatibu.
Kuna discharge Fulani inatoka na kutua juu ya chupi.ambayo ikikaa baada ya mda inatoa harufu mbaya kama uozo
Imagine binti wa miaka 15 kaambukizwa gono.
 
Kizazi cha 1998 kuja 2010 huku ni shida.,... Kwanza miili yao tuu inatosha kuwafanya wanuke....

Leo hii ladies wa 1980-1990 ukikutana nao wana miili ngangari kuliko hawa wa 1998-2010, hawa madogo wana utipwatipwa usio na faida hata kidogo..

Pia malezi nayo yamechangia kuwafanya manyama uzembe na pia hawana elimu ya miili yao kabisa.... Japo ladies wa miaka hiyo wengi wamekeketwa lkn pia walikuwa wanapewa elimu ya kujitunza vizuri.

Sasa hivi visichana vya siku hizi hawajapewa darasa kabisa, na vingi vinajifanya much-know kwa kuwa wana access na google.
 
Nyingi kwa idadi gani kati ya ulizokutana nazo?
swali zuri,ulizichakata ngapi za hivyo?

Hata hivyo kama zipo ni kwasababu za kitaalam;
1.Nasikia wanatumia sabuni kali au madawa kusafisha huko.Mambo hayo hayatakiwi huko.
2.Kwa wale wavivu wa kunywa maji mengi pia ati husababisha hali hiyo.

Lakini ngoja wataalam waje kwa msaada zaidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…