DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Komaa.:
1. Hospitali haina jukumu la kufatilia majibu ulopewa ulete. Ni wajibu wako.
2. Huruhusiwi kutoa taarifa kwa wasiohusika. Na inaonekana alifanya hilo. Bora angekiri kwamba kiutunduutundu alitaka kuona kilichomo.
Niliposema kasahau ni wapi? Na kama kasahau,kasahau kwake haijabaki sospitali.
Wauguzi hawana uelewa. Hospitali nzima walikosa mtu wa kuwaelekeza?
Jeuri zenu ndo zinazopelekea matatizo kama hayo. Kikubwa narudia,humu kuna watu wenye uwezo mkubwa wa kumsaidia akapata tiba,ila kama kibri bado kipo pale pale,nenda kamsaidie
Kama na wewe upo kwenye field ya Utabibu basi badilikeni, acheni mazoea kama polisi ambao wanahitaji aliepata ajali kufuata PF3 ndipo akapate matibabu hospitali ila hawaoni umuhimu wa kuwepo kwa dawati inayohusika na PF3 huko hospitali.
Perekeni Sera zibadilishwe, achaneni na ubabe na mazoea...mgonjwa anaumwa ugonjwa inayoweza kusababisha ugonjwa wa kusahau au kupoteza fahamu alafu Daktari anamuuliza mgonjwa taarifa iliyotoka kwa Daktari mwenzie ambae kituo chake kinafamika.

Uko Uingereza tokea 1970 walishaunganisha maduka yote ya Madawa ili ukinunua dawa duka x taarifa zako naweza kuzipata kupitia duka y ili kujua ulinunua kwenda kuzifanyia nini na mgonjwa wako alikuwa nani na anaishi wapi.

Hiyo Wizara ya afya bure kabisa, yaani sijui walichofundishwa hawawezi kujiongeza kutokana na mazingira.
 
Dadeki.

Hii picha hapa, ya mtu mmoja.
Aliugua mda mrefu,akavimba tumbo. Alienda kwa doctor,tena private,akampima akasema ana tatizo la uvimbe kwenye milija ya uzazi,na alitakiwa afanyie upasuaji kwamba kalipia uvimbe unapasuka. Na ukipasuka anakufa.

Kwa kuwa operation ilikuwa ya haraka,walitumia ripoti hiyo wakaenda hospitali kubwa na wakamuona daktari bingwa wa wanawake.
Kuna vichekesho. Akatumia ile ripoti,akaangalia kwenye X-Ray,akamlaza na kesho yake akampasua kweli.
Alipopasuliwa, doctor huyo huyo aliyepokea ripoti na kuisoma na kupiga picha tena, eti alikuta siyo uvimbe kama alivyokuwa anaona,kumbe ni kiuvimbe kimelalia tu mirija ya uzazi.
Hapo alitakiwa ahusike doctor mwingine. Akawa yupo likizo. Wagonjwa wengi wana appointment yake. Huyu,tayali wameshampasua. Walifunga na kushona,akakaa na kidonda wiki nzima.
Baada ya wiki yule doctor kaja,nae kaongeza tundu,kufika ndani,eti kitu kilichopo hajawahi kukiona. Kumbuka nae kama daktari bingwa,amecheck picha za wenzie na kupiga zake.
Nchi nzima hakukuwa na doctor wa kumtibu,ilibidi ripoti itilewe wizara ya afya akasafilishwe kwenda India.
Bahati nzuli walikuwa na doctor mgeni,akaitwa kama mtaalam kwenye kikao,kabla ya kupitisha kupelekwa,kikao kilisitishwa kwa mda,akapiga picha zake, akaona anaweza kumtibu. Kikao kiliitishwa tena, ikapangwa siku akapasuliwa kwa mara ya tatu, kikatolewa.

Sasa,haya ni badhi ya makosa madaktari wanayoyafanya,ikiwemo kuaminiana na kutofanya uchunguzi wa kina,kisa daktari furani aliona hali fulani. Huyu angekuwa simple simple,alikuwa anaondoka kwa makosa ya watu. Japo huwezi jua kikao kimeamua nini,lakini kwa vyovyote wanasutwa na kupotezewa imani.
Kwa hiyo,ni mara chache taarifa za mgonjwa kuaminiwa na doctor mwingine
Huo ndo ukweli Mkuu We unafikir Huyo dada kama ataenda kushtaki kulipwa Fidia kwa kupasuliwa pasuliwa na kuharibiwa structure bila Kufanya vipimo yakinifu...
Si anamnyonya pesa daktari aliyemfanyia?
Ndo maana nikasema katika taaluma ya udaktari huwa ni ngumu sana na mara nyingi ukikuta anayeamini bila kuthibitisha ni mtu ambaye anamjua sana yaani kindakindaki ila sio tu imeandikwa bhasi anafanya..
 
Kama na wewe upo kwenye field ya Utabibu basi badilikeni, acheni mazoea kama polisi ambao wanahitaji aliepata ajali kufuata PF3 ndipo akapate matibabu hospitali ila hawaoni umuhimu wa kuwepo kwa dawati inayohusika na PF3 huko hospitali.
Perekeni Sera zibadilishwe, achaneni na ubabe na mazoea...mgonjwa anaumwa ugonjwa inayoweza kusababisha ugonjwa wa kusahau au kupoteza fahamu alafu Daktari anamuuliza mgonjwa taarifa iliyotoka kwa Daktari mwenzie ambae kituo chake kinafamika.

Uko Uingereza tokea 1970 walishaunganisha maduka yote ya Madawa ili ukinunua dawa duka x taarifa zako naweza kuzipata kupitia duka y ili kujua ulinunua kwenda kuzifanyia nini na mgonjwa wako alikuwa nani na anaishi wapi.

Hiyo Wizara ya afya bure kabisa, yaani sijui walichofundishwa hawawezi kujiongeza kutokana na mazingira.
Sasa hizo ndo proposol mnazotkiwa wananchi Kuziwasilisha wizara ya Afya..
Kudos sana 👏👏👏👏👏👏🎊🎊🎊
 
Watanzania tafuteni hela mjue huduma za afya ni gharama sana, la sivyo mtaendelea kulalamika kila siku. Matibabu siku hizi sio bure ni hela.
Regardless ya gharama lakini pawepo njia stahiki ya kuhudumia mgonjwa bila usumbufu...hakuna siku waTanzania watapata pesa wote kwa usawa.
Kama Wizara wanashindwa kuunganisha Hospitali zote za rufaa Tanzania ili taarifa za mgonjwa zisomane, sasa mgonjwa akiibiwa hizo hardcopy wakati wa kuja hospitali nyingine ndo asipate matibabu.
 
Ndo kitu nilichosema mimi kwamba Watamzungusha sana kwa sababi yeye mwwnyewe anaonekana ni mbishi..
Bila kupinga ni kwamba huyu jamaa kwanza kabishana nao na kuna uwezekano kaiweka CD kwenye computer hata kabla hajaenda hospitalini aone kumewekwa nini 🤣🤣
Inaonekana pia alikuwa janja janja kujifanya anajua na ndo maana wamempa hiyo njia ndefu🤣🤣
Hata madoctor ni binadam. Ukimwambia niliangalia kuna nini kwenye CD atakufanya nini?
Binafsi niliwahi kupiga picha sijui ya kitu kinaitwa MRI. Huku niliambiwa nina cancer. Na aliyeniambia ni Doctor.
Baada ya siku nne,niliitwa kuchukua ripoti na Cd. Niaambia nimpelekee doctor alieagiza. Mi si nilijua wa kufa tu! Bahasha niliifungua. Nikasoma ripoti yote na sikuelewa. Kasoro tu negativu. Ndo nikasema kumbe kama siumwi,acha niipeleke. Ila mpaka wa leo,kisuto nilichopewa,matusi niliyotukanwa,siwezi kurudia kufungua mzigo wa doctor pamoja na kwamba mgonjwa ni mimi.
Niliulizwa kwamba nina uhakika gani nimepewa bahasha ikiwa imefungwa?!kwa maana ya kwamba unaweza ukawaletea shida waliokufungia. Ukisema hawajafunga?! Au pengine umepewa isiyo ya kwako
 
Regardless ya gharama lakini pawepo njia stahiki ya kuhudumia mgonjwa bila usumbufu...hakuna siku waTanzania watapata pesa wote kwa usawa.
Kama Wizara wanashindwa kuunganisha Hospitali zote za rufaa Tanzania ili taarifa za mgonjwa zisomane, sasa mgonjwa akiibiwa hizo hardcopy wakati wa kuja hospitali nyingine ndo asipate matibabu.
Jamani,unalalama nini? Kasema tatizo kwake si pesa ya matibabu,bali aliona anapigwa mzinga. Maelekezo mengine kapata. Daktali si barmade unayemzubaza na kumtorosha kazi
 
Nimeshauli mimi akiacha kiburi akaomba msamaha,hata humu atapata msaada. Lakini akiendelea kuwa mbishi,ndo hivyo. Huenda alifika akatibuana na watu,sasa haemi ukweli
😅😅 Na hili swala la kutibuana nakuhakikishia kabisa Lilifanyika kulimgana na maelezo na Psychology ya anavyojibu watu nimefatikia humu..
Ni kwamba alikuwa akimwelekeza Daktari Kipimo kikoje na majibu ni nini na anataka afanywaje..
Dakatri alipomjibu kuna uwezekano walikwaruzana na mwisho wa siku akaamua kutoa maamuzi ya kisystem ambayo ni magumu kwa mgonjwa kufikia..
Maana yake kutumwa kwa IT ni...
CD ihakikiwe kuwa ni authentificated ones 😅😅😅
Kama haina Malware yoyote😅😅
Na kama ni invalid ..
Na hakukuwa na ulazima wa kufanya hivyo kwa sababu vyotw daktari anajua majibu yake il shida ni kiburi 🤣🤣🤣
Kuna kimsemo kimoja kipo sana kuwa Kwenye kiburi fnya negligence 🤣🤣🤣
 
Kama na wewe upo kwenye field ya Utabibu basi badilikeni, acheni mazoea kama polisi ambao wanahitaji aliepata ajali kufuata PF3 ndipo akapate matibabu hospitali ila hawaoni umuhimu wa kuwepo kwa dawati inayohusika na PF3 huko hospitali.
Perekeni Sera zibadilishwe, achaneni na ubabe na mazoea...mgonjwa anaumwa ugonjwa inayoweza kusababisha ugonjwa wa kusahau au kupoteza fahamu alafu Daktari anamuuliza mgonjwa taarifa iliyotoka kwa Daktari mwenzie ambae kituo chake kinafamika.

Uko Uingereza tokea 1970 walishaunganisha maduka yote ya Madawa ili ukinunua dawa duka x taarifa zako naweza kuzipata kupitia duka y ili kujua ulinunua kwenda kuzifanyia nini na mgonjwa wako alikuwa nani na anaishi wapi.

Hiyo Wizara ya afya bure kabisa, yaani sijui walichofundishwa hawawezi kujiongeza kutokana na mazingira.
Kwa hiyo,madaktari wenu ndo unawalinganisha na wa ulaya? Sasa wewe,msaada wako kulekebisha hilo ni upi?
 
Hata madoctor ni binadam. Ukimwambia niliangalia kuna nini kwenye CD atakufanya nini?
Binafsi niliwahi kupiga picha sijui ya kitu kinaitwa MRI. Huku niliambiwa nina cancer. Na aliyeniambia ni Doctor.
Baada ya siku nne,niliitwa kuchukua ripoti na Cd. Niaambia nimpelekee doctor alieagiza. Mi si nilijua wa kufa tu! Bahasha niliifungua. Nikasoma ripoti yote na sikuelewa. Kasoro tu negativu. Ndo nikasema kumbe kama siumwi,acha niipeleke. Ila mpaka wa leo,kisuto nilichopewa,matusi niliyotukanwa,siwezi kurudia kufungua mzigo wa doctor pamoja na kwamba mgonjwa ni mimi.
Niliulizwa kwamba nina uhakika gani nimepewa bahasha ikiwa imefungwa?!kwa maana ya kwamba unaweza ukawaletea shida waliokufungia. Ukisema hawajafunga?! Au pengine umepewa isiyo ya kwako
🤣🤣🤣 Ndo
liyofanya mwenzako sema yeye sasa kuna uwezekano kila alipojaribu kujittea ndo alipozidi kuharibu
 
Kama hosipitali ya rufaa ya mkoa haiiaminiki na hosipitali ya rufaa ya taifa? Yaani wa mkoa waweke virusi kuishambulia ya taifa! Ili iweje, haitatokea maishani.
Mkuu pole sana,jamaa katolea mfano tu,kua hackers wanaweza wakadukua taarifa za hata kiongozi anatetafutwa,aka-black mail.Lengo la mchangiaji ni kusema kua kuwe na msomano wa mifumo,kuepusha hiyo ya kama wewe kutembea na CDs.
 
Nina maswali kwako
Je uliambiwa kulipia hiyo fedha kwa mtu au kwa control number?
Je uliuona uongozi wa hospital kuulizia kuhusu uhalali wa malipo hayo?
 
Wapo kibao unakuta mgonjwa kaingia anchukua saa kutoka...anatype herufi moja moja anasababisha que kubwa...
Na wengi ni sisi wazee wa Zamani tuliopitwa na wakati 🤣🤣
Sasa mnatakiwa muwe up to date.. mfano mie nipo huku ktk sekta ya Maswala ya Anga, nikiwa juu katika altitude flani situmii nguvu nyingi ku land, kuna mifumo automated mfno ILS ktk viwanja vichache like JNIA hapo.. naset autopilot chuma kina descend chenyewe mpk touchdown zone.

Huko ktk Sekta ya Afya matumizi ya AI ni muhimu yaan unavyomhoji Mgonjwa kuna syntax za voice detection ambazo zinabadiri speech kwenda kwenye text yaan Speech to text functionality.. hupotezi muda kuhoji na kuandika..

Narud pale pale.. Hatuna wataalamu wenye upeo na kama wapo basi wamebweteka.
 
Dactari anatakiwa asome picha .. hatakiwi kutegemea report kutoka level ya chini

kwanza anaesoma picha sio daktari ni radiologist but huko mgonjwa alikopigwa CT scan kuna radiologist tiyari
 
Hiyo niliwaomba wakanipa nayo nikauwasilisha kwa dakitari cha ajabu bado wanataka iingizwe kwenye mfumo wa Muhimbili! Na uzuri hiyo CD iko kwenye mfumo wa DVD na ni rahisi kufunguka kwenye DVD yoyote.

basi wanataka isomwe upya kwa system ya muhimbili sababu system yao huwa iko vizuri sana ukilinganisha na za hospitali za chini
 
kwanza anaesoma picha sio daktari ni radiologist but huko mgonjwa alikopigwa CT scan kuna radiologist tiyari
Medical school madaktari wanafundishwa kusoma picha na anatakiwa ajue kusoma hizo picha ... Radiologist anajua kupiga na kusoma .. daktari anatakiwa ajue kusoma ...
 
Sasa mnatakiwa muwe up to date.. mfano mie nipo huku ktk sekta ya Maswala ya Anga, nikiwa juu katika altitude flani situmii nguvu nyingi ku land, kuna mifumo automated mfno ILS ktk viwanja vichache like JNIA hapo.. naset autopilot chuma kina descend chenyewe mpk touchdown zone.

Huko ktk Sekta ya Afya matumizi ya AI ni muhimu yaan unavyomhoji Mgonjwa kuna syntax za voice detection ambazo zinabadiri speech kwenda kwenye text yaan Speech to text functionality.. hupotezi muda kuhoji na kuandika..

Narud pale pale.. Hatuna wataalamu wenye upeo na kama wapo basi wamebweteka.

Dah umenipa wazo kubwa sana ngoja nitafute watu wa It tufanye intergration
 
Medical school madaktari wanafundishwa kusoma picha na anatakiwa ajue kusoma hizo picha ... Radiologist anajua kupiga na kusoma .. daktari anatakiwa ajue kusoma ...

medical school wanasoma basics tu na common cases but for rare cases na complicated cases lazima radiologist atoe report yake ndo maana radiology ni specialty
 
Back
Top Bottom