Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
There you go!Kaweka mfumo wa usiri unaoendelea mpaka sasa kwa hiyo haepuki lawama.
Lawama za mambo ya kimfumo hqziishi mtu akifa.
Baba ukishindwa kuelimisha wanao, hata ukifa utabaki na lawama tu.
Kifo chako si mwisho wa lawama kwako.
Mkuu mambo mengine mimi nabaki kushangaa tu. Kweli akili za watanzania zina kasoro kubwa sana. Halafu tukisema hivi kuna wapumbavu wanasema tunaona wivu! Kwao watu wakifa na kuambukizana corona ni sawa tu. Jirani kwetu tumepata habari sasa hivi kuna dada mmoja kachukuwa mtoto wa jirani kaenda naye huko na wote wamefariki! Just imagine ni ujinga wa kiwango gani. Halafu watu kama hao unakuta wengi wameenda just for curiosity !Yani hii nchi miaka 60 ya uhuru ila ujinga ndo unaongezeka KWA kasi ya 5g licha ya kuwa na shule na vyuo. Hao wazee afya mgogoro na corona si wangetulia tu
Kwaio hapa kisheria anaweza kupatikana na hatia, si ndio?Polepole anahusika.. Jana alihamasisha wanaccm na wengine kujitokeza kwa wingi kwenda kuuaga mwili wa JPM... Umati niliouona leo kupitia TV 📺..sio ajabu hayo kutokea.
TANZIASalaam Wakuu,
Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli.
Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia.
Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya kujitambulisha tu, akanikatia simu. Hivyo nmeshindwa kujua Idadi kamili.
Hapa chini ni baadhi ya watu waliotajwa kupoteza maisha kenye msongamano Uwanja wa Uhuru Temeke Dar es Salaam
TANZIA!
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MWALIMU JANE NGONDE (MWALIMU MKUU WA S.M MGEULE) KILICHOTOKEA LEO MCHANA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA ALIPOKUWA AKISHIRIKI KUTOA SALAMU ZA MWISHO. TARATIBU ZA MAZISHI ZINAFANYIKA NA TUTAENDELEA KUJULISHANA. AIDHA TUNAITAARIFU KAMATI YA MAAFA- UVEMI KUENDELEA NA TARATIBU ZETU. R. I.P
Nyingine:
TANZIA: Mboka Nsobi Minga amefiwa na mkewe Lidia Shomari Minga ambaye leo tarehe 21/3/2021 asubuhi akiwa mzima wa afya alikwenda uwanjani kuaga mwili wa Hayati John Joseph Pombe Makufuli. Kifo chake kimesababishwa na kukanyagwa na umati wa watu uwanjani hapo. Mwili wake umehifadhiwa hospitali ya Temeke. Msiba upo Kilwa road Barracks
View attachment 1731031
Lidia Shomari
Mashuhuda wengine wamesema;
"Nilikuwa temeke hosp ninamgonjwa mama yangu mdogo, ambulance zilizoleta maiti pale ni zaid ya watu 40 aisee, kuna mama mjamzito kafa na watoto wake 2"
"Yan nilikuwa natetemeka tu ambulance zinaleta watu watatu watatu wengine mahututi wengine wamekufa Yan kweli magufuli tulimpenda Sana"
"Jamani pale Taifa umetokea mkanyagano wakati wa kuaga mwili wa JPM, watu wengi wamepoteza maisha..including two of my relatives.
Im worried hata kule Dodoma the crowd is not well managed, tutapoteza wengi."
"Sijui tuna kwama wapi.Kuna jirani yangu hapa ndugu yake kafiwa na mke na watoto wawili.Watoto wa nini kwenye crowd kama ile?[emoji2377][emoji2305][emoji2305]"
"Nina Rafiki yangu kafiwa na Mke na watoto wake 2 huko uwanjani"
Bado kuagwa mara 5Tulionya mapema tukaonekana haters
Curious for nonsenseMkuu mambo mengine mimi nabaki kushangaa tu. Kweli akili za watanzania zina kasoro kubwa sana. Halafu tukisema hivi kuna wapumbavu wanasema tunaona wivu! Kwao watu wakifa na kuambukizana corona ni sawa tu. Jirani kwetu tumepata habari sasa hivi kuna dada mmoja kachukuwa mtoto wa jirani kaenda naye huko na wote wamefariki! Just imagine ni ujinga wa kiwango gani. Halafu watu kama hao unakuta wengi wameenda just for curiosity !
Bora hata aende mtu mzima peke yake. Anachukuwa na mtoto wa miaka sita anaenda naye! Kwanza mila za makabila mengi haziruhusu watoto kwenda msibani.Curious for nonsense
Salaam Wakuu,
Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli.
Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia.
Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya kujitambulisha tu, akanikatia simu. Hivyo nmeshindwa kujua Idadi kamili.
Hapa chini ni baadhi ya watu waliotajwa kupoteza maisha kenye msongamano Uwanja wa Uhuru Temeke Dar es Salaam
TANZIA!
TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MWALIMU JANE NGONDE (MWALIMU MKUU WA S.M MGEULE) KILICHOTOKEA LEO MCHANA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA ALIPOKUWA AKISHIRIKI KUTOA SALAMU ZA MWISHO. TARATIBU ZA MAZISHI ZINAFANYIKA NA TUTAENDELEA KUJULISHANA. AIDHA TUNAITAARIFU KAMATI YA MAAFA- UVEMI KUENDELEA NA TARATIBU ZETU. R. I.P
Nyingine:
TANZIA: Mboka Nsobi Minga amefiwa na mkewe Lidia Shomari Minga ambaye leo tarehe 21/3/2021 asubuhi akiwa mzima wa afya alikwenda uwanjani kuaga mwili wa Hayati John Joseph Pombe Makufuli. Kifo chake kimesababishwa na kukanyagwa na umati wa watu uwanjani hapo. Mwili wake umehifadhiwa hospitali ya Temeke. Msiba upo Kilwa road Barracks
View attachment 1731031
Lidia Shomari
Mashuhuda wengine wamesema;
"Nilikuwa temeke hosp ninamgonjwa mama yangu mdogo, ambulance zilizoleta maiti pale ni zaid ya watu 40 aisee, kuna mama mjamzito kafa na watoto wake 2"
"Yan nilikuwa natetemeka tu ambulance zinaleta watu watatu watatu wengine mahututi wengine wamekufa Yan kweli magufuli tulimpenda Sana"
"Jamani pale Taifa umetokea mkanyagano wakati wa kuaga mwili wa JPM, watu wengi wamepoteza maisha..including two of my relatives.
Im worried hata kule Dodoma the crowd is not well managed, tutapoteza wengi."
"Sijui tuna kwama wapi.Kuna jirani yangu hapa ndugu yake kafiwa na mke na watoto wawili.Watoto wa nini kwenye crowd kama ile?🤷🏾♂️🙆🏾♂️🙆🏾♂️"
"Nina Rafiki yangu kafiwa na Mke na watoto wake 2 huko uwanjani"
Polepole hahusiki ,hivi MTU umeshafika Hadi uwanjani si tayari umeshaaga? Kwani ni lazima ukaone? Mbona waliosimama mabarabarani wamepunga mikono na wameridhika?. Hii ni shughuli ya kitaifa hivyo wingi WA watu hauepukiki. Wafanye taratibu mbadala.Polepole anahusika.. Jana alihamasisha wanaccm na wengine kujitokeza kwa wingi kwenda kuuaga mwili wa JPM... Umati niliouona leo kupitia TV 📺..sio ajabu hayo kutokea.
Watoto walienda kufanya nini?.TANZIA
Habari za jioni Mates mwenzetu Mbasa Mtua amepata msiba mkubwa sana kwa kumpoteza mwanae mmoja watoto wa mdogo wake watatu na mtoto wa kaka yake mmoja baada ya kukanyagwa uwanja wa Taifa walipokwenda kumuaga JPM,na hadi sasa hawajui house girl yuko wapi,watoto waliongozana na mke wa mdogo wake,msiba uko kimara nyumbani kwao,tuwaombee wako kwenye wakati mgumu sana,mwenyezi mungu awapumzishe kwa Amani[emoji120]
Kumuaga MagufuliWatoto walienda kufanya nini?.
Jamani, jamani watu wamelala uwanjani. Hakuna alietaka kuwakilishwa kila MTU kaenda front.Kumuaga Magufuli
Tayari mbona.Unaanzaje kulaumu maiti?
Vyombo vya usalama havikujipanga vizuri.
Nadhani hata wao hawakutegemea umati mkubwa hivyo!!