Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Yeye ndiyo, tabia mbaya aliyoiacha wataficha kuwa hakuna mtu aliyekufa huku wanasifia walijaza Uwanja...na mmoja wa wanaosifia kujaza Uwanja ni wewe hapo!So sad!
Hili nalo lawama ni kwa Magufuli au?
Mkuu hoja yako haina mantiki mbele ya werevu, Wapi umeona cheti cha huyu anayeagwa sasa?Mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.
Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate
Baba yao aliwaruhusu Basi baba yao ajilaumuKumuaga Magufuli
Duh, marehemu ameshakufa usimtukane , washauri waliobakiViherehere vyao, na bado wapo wengi watakaokufa kwa covid 19 kwani walikuwa bado wanaamini msimamo wa kijinga wa marehemu kuwa tz hakuna corona
Pole sana hukujua kuwa ulikuwa kwenye himaya ya utemi😁Ooh sawa,
Nimekutana nalo sana hili jina haswa miaka hii 6
Hata serekali hawakutegemea haya yatatokea...ndo maana ya kua na standby task forceNi mimi bwashee nilitoa angalizo kwa kamati ya mazishi sidhani hata kama walitilia maanani.
Hivi hawana wanaume hawa wanawake maana majority wamevaa Madera wanaenda kutafta sifa za kijinga kuzurula na watoto wadogo. I'm sure hapo uhuru wamekufa wengi
Duuh...!
He! Marehemu ameshakufa? Hii ngumu kumesa, yaani kafa tena mara ya pili?Duh, marehemu ameshakufa usimtukane , washauri waliobaki
Nyerere alipokewa na kuagwa kwenye Uwanja huohuo na watu walikuwa wengi zaidi kuliko hao lakini hakuna waliokufa kwa sababu ya mipango mizuri ya maandalizi. Awamu ya Tano ni failings tupu kila wanachofanya!Tulionya mapema tukaonekana haters
Kwaio death certificate inatoka hapo hapo ukishafariki ?Mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamini taarifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.
Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate