Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Corona si mchezo mkuu
 
Dah
 
Mipango mibovu huzaa maafa na simanzi. Kama wakubwa wanaoratibu hawakutafakari na kutathmini kutokana na matukio haya basi tutegemee wengi kuathirika na kuagwa kwa mpendwa wetu.
 
mleta mada tuwekee vyeti vyao vya vifo tuamani tasrifa zako kama vinasomeka wamekufa kwa msongamano.

Si vizuri kutangaza kifo cha mtu bila kuambatanisha death certificate
Wazee wa kuficha maradhi kazini, halafu kifo kina waumbua.
 
Hv unadhn ana akili huyu zombi????
Kwa hiyo ajali zikitokea barabarani polisi wakitoa taarifa huwa na death certifacate?

Watu walioko eneo la tukio au ndugu zao wasiseme neno mpaka death certificate?
 
Hv unadhn ana akili huyu zombi????
Jamaa lina roho mbaya na kikatili katili sana. Ukimsoma hapo analalamika why taarifa za waliokufa au kuumizwa zitangazwe? Anaamini ktk usiri ili aje awalaumu wanyetishaji huku akigombea maiti ambayo alificha maradhi yake! Yehodaya Atakuwa Madelu huyu siyo bure.
 
Kweli Watanzania, tunajijua wenyewe....., utakuta hapo pia walikuwepo wazazi wanawapeleka pia watoto wao, mtu unabana wenzako, unakimbia na kuwakanyaga eti ili uende kuaga mtu aliyeondoka..., si kwanza uwaage hawa unaowakanyaga ?
 
@GENTAMICINE alionya hapa mchana akitumia neno inaweza tokea stampede na kusababisha vifo naona maneno yake yametimia.
 
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Mimi nilishangaa kina Mama na watoto huko kwenye misongamano
Kuna mmoja jana alikuwa na kichanga kama cha miezi miwili, walimkandamiza, yaan ni aliminywa firigisi na utumbo mi nilijua anakufaa haloo usiombe [emoji848][emoji848] mi na rafiki yangu tukamnyang'anya mtoto..alivyochoropoka hapo tukamnasa vibao vitatu tukamrudishia mtoto wake, alikuwa anatafuta upenyo wa kurudi home, maana si kwa ukunga ule kwa mminyo wa kufa mtu
 
Kuna mmoja jana alikuwa na kichanga kama cha miezi miwili, walimkandamiza mi na rafiki yangu tukamnyang'anya mtoto..alivyochoropoka hapo tukamnasa vibao vitatu tukamrudishia mtoto wake, alikuwa anatafuta upenyo wa kurudi home
Hivi hawana wanaume hawa wanawake maana majority wamevaa Madera wanaenda kutafta sifa za kijinga kuzurula na watoto wadogo. I'm sure hapo uhuru wamekufa wengi
 
Stampede! kulikuwa na Dalili zote watu wanasombwa na Maloli huku uwanja mdogo

Sasa maambukizi wanaenda mitaani kwenye misiba 🙁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…