Habari njema: Bei ya umeme kushuka kutoka Sh.600/= hadi Sh. 35/= kwa unit moja bwawa la Nyerere likikamilika

Habari njema: Bei ya umeme kushuka kutoka Sh.600/= hadi Sh. 35/= kwa unit moja bwawa la Nyerere likikamilika

Daah, these bastards !!! Kwakweli kama watatuhujumu Tanganyika kwa kiasi hiki na wasishushe bei ya umeme hata baada ya kuingiza Megwati 2,100 kwenye gridi, ukijumuisha na kuuzwa kwa bandari, Uchaguzi mkuu 2025 yanaweza kutokea ya Rwanda 1994, maumivu ya watu wengi yakilipuka huwa yanalipuka vibaya sana
Nope usicheze na Propaganda.., wewe unajua haya na mimi najua lakini watu mtaani hawajui..., Miaka yote tumekuwa tukilaumu mitandao ya Simu kwamba ndio wezi wanakata makato makubwa kumbe ni Serikali; Petroli ina matozo lukuki ya Serikali ila watu wanajua ni Bei za huko pengine ndio inaleta shida.....

Kwahio hawa jamaa wataendelea kuongoza sababu watu ni un-informed..., lakini bomu wanalotengeneza vitukuu vyao vitakuwa vimezungukwa na vitukuu vya wengine ambao ni mafukara wa kutupwa watauliza hivi inakuwa nchi ya kwangu naishi kama mkimbizi...; kwahio wasipobadilika na hali ikiendelea hivi na hili gap la walionacho na wasionacho..., Tanzania ya kesho itakuwa inatisha (na huenda French Revolution ikawa ni Historia kwetu kwa nini kitatokea watu wakijisahau)...., Na kama tunawashindwa vijana wadogo tu wachache Panya Road ije kuwa timu ya watu waliokata tamaa ambao hawana cha kupoteza !!???

Ingawa hili sio leo wala kesho Tanzania bado ni tajiri na opportunity bado zipo ingawa zinapungua by the day...
 
A847C462-7C48-485B-9E8F-3CA6E32D3E75.jpeg


Eti mnabana pua kuwa hatushushi bei hata bwawa likikamilia, kwani bwawa la baba yenu hilo? TANESCO
 
Megawatt 3700 zitarnda wapi bila kushusha bei ya umeme? Au wataruhusi maji yamwagike bure bila kuzalisha umeme?
 
Battery za kuhifadhi umeme zitapatikana wapi ukizingatia hawatashusha bei za umeme?
 
Megawatt 3700 za umeme zitaenda wapi bila kushusha bei ili zitumike zote? Au mtaruhusi maji yamwagike bure kama wachawi?
 
Huyu huyu maharage si alisema pia gharama hazitashuka hata kama bwawa likikamilika?
 

View: https://www.instagram.com/reel/CxkxrEitPXL/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==

==========================


Itafika mahala tutagundu kwamba haya mafuriko yanayotokea huko mbugani maji yake yana thamani sana, hii ni kwa sababu nguvu ya maporomoka ya hayo maji kuelekea baharini inauwezo wa kuzalisha umeme mwingi sana na wagharama nafuu.

Tunajua kwamba kuna watu wamewekeza pesa nyingi kwenye miradi ya gesi, na pia wapo watu huko msoga wana mirijanyao kwenye gesi, ila kwa sasa tunaomba muwe na uzalendo, kuweni na huruma na waTz wenzenu jamani. Viwanda haviwezi kukua au kuzalisha bidhaa za ushindani kwa umeme wa ghali namna hii, tukumbukenkwamba viwanda ndio dawa ya kudumu ya tatizo la ajira. Tuhurumieni, tupo chini ya miguu yenu.

Video inamaelezo zaidi.



========================



=========================



=========================



==========================
Update: 28/05/2023
Maharage Chande - “Bwawa la Nyerere likianza gharama za uzalishaji umeme zitashuka sana, ila umeme kushuka bei ni sisi ndio tutaona busara ikoje”.
Hivi huyu jamaa ana akili sawa sawa kichwani kweli?

Hajui multiplier effect ya umeme kushuka bei na viwanda kukua na kuzalisha ajira na kukuza uchumi? Hajui?!



===========================
Update: 29/05/2023


Mkuu kwa hii habari yako ya kuungaunga (kusadikika) conclusion yake ni nini hasa?
 
Hitimisho ni kuwa bei ya umeme haitashuka na badala yake itapanda ili kuanza kulipia mkopo uliojenga bwawa!
Malengo ya kujenga Bwawa yalikuwa ni kushusha bei ya umeme ili kuchagiza ukiajixwa viwanda, ajira na kukuza uchumi, ili kupitia kukua huko kwa uchumi wa viwanda ndio deni lilipwe kwa haraka zaidi. Hoja ni hiyo.
 
Malengo ya kujenga Bwawa yalikuwa ni kushusha bei ya umeme ili kuchagiza ukiajixwa viwanda, ajira na kukuza uchumi, ili kupitia kukua huko kwa uchumi wa viwanda ndio deni lilipwe kwa haraka zaidi. Hoja ni hiyo.
Iliandikwa wapi au nani alitamka? Ambatanisha clip video!
 
Back
Top Bottom