Habari Njema: JF ina Jukwaa la kufichua maovu, Wafichuaji hawatajulikana

Kinachokuliza nini ?
 
Umeishiwa wewe huna Content unaleta mambo ya hamaki...Itoshe wewe ni Mzushi, kibaraka na wakala wa makaburu unaejinasibu kuwa ni Mwana CHADEMA....mtoa taarifa tu!


.
Utaishiwa machozi kulia lia bila sababu
 
Litumike vizuri kwa kazi kusudiwa tu, isiwe kuchafuliana watu majina.
 
Tunaotumia browser hatulioni hilo jukwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…