Haijalishi. Bandiko kuu lishabadilishwa, hapo ndipo ungeelewa nilimaanisha nini. Itoshe mimi kusema "mleta taarifa " haikuwa na maana ya "Taarifa" per se.
Umeleta mfano mzuri tu, kwamba kuna ambao hawazifahamu taarifa zilizopo-wewe hufahamu Makonda aliwaita CHADEMA 'watoa taarifa' ? au unajiondoa ufahamu? Kumbuka mleta mada ni mwana CHADEMA yaani ni piiipoozz kindaki ndaki
Watanzania wengine bhana, kurukia rukia tu
Na kwa taarifa yako, ndio sikupendezwa na bandiko lake kuu na hatahivyo lishabadilishwa, kwahiyo unaweza fikiria unachoeza.