Ila Mh rais alisema tujenge kinu cha uchenjuaji hapahapa na si kusafirisha, nani anasafirisha? Na haoni kusafirisha ni kupingana na rais?Hiyo uliyomalizia mwisho ilikuwa zamani. Makinikua yanaoekekwa kwa utaratibu maalum kuanzia upakiaji.
Sent using Jamii Forums mobile app