Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Wewe .Nani alikua muasisis wa huo wizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe .Nani alikua muasisis wa huo wizi?
Hawa jamaa mazymbukuku sana...Ni kweli makinikia yaendelea kusafirishwa nje?
Pascal Mayala nimekuwa nikijua wewe ni msomi kumbe ni wale wale.
Barrick wamelipa $100million kati ya $300m waliohaidi kulipa.
$100million imetokana na mauzo ya kwanza ya container 1600 za makinikia zilizokuwa zimezuiwa na serikali.
$200million zilizobaki wamehsidi kulipa ndani ya miaka 5. Yani kila mwaka ni $40mln.
Kupigwa kupo pale pale.
Kama safari moja ya container 1600 wamefanya mauzo nakupata faida ya zaid ya $100million. Jiulize kwa mwaka wanapeleke contsiner ngapi? Na kila mwaka tunaambulia $40m only!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Noah zetu bye bye!! Sasa ile tume ya akina Osoro, prof tusemeje sasa? Maana is either walidanganya au walikusudia kupotosha ukweli!Wanabodi,
Hatimaye Tanzania sasa tunaanza kufaidi rasilimali zetu za madini, ambapo leo, donge nono la dola za Marekani milioni 100, zimelipwa kwenye kile kibubu chetu pale kwenye ule mfuko Mkuu wa hazina ya serikali kama advance payment ya kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, ambacho baadae tulikigeuza kuwa ndio mahari kamili ya yule binti yetu makinikia.
Kiasi kilichobaki cha dola milioni 200, kitalipwa kwa mikupuo mitano ya dola milioni 40 kila mkupuo ambacho kitalipwa ndani ya miaka 5, kwa kila mkupuo kulipwa ndani ya mwaka mmoja mmoja.
Habari njema hii ni kwa mujibu wa Barrick,
Karibu ujisomee
Barrick Partnership with Tanzanian Government Delivers First Major Outcomes
Japo deni letu la makinikia ya Barrick lilikuwa Dola bilioni 190 ambazo zingetosha kumnunulia Noah kila Mtanzania, tukaahidiwa kishika Uchumba cha dola milioni 300!, lakini kufuatia majadiliano marefu, tulisamehe deni lote, na kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, tulikikubali kuwa sasa ndio mahari kamili, hivyo hili donge nono la dola milioni 100, ndio mwanzo wa utekelezaji wa makubaliano na Barrick.
Donge nono hili la dola milioni 100 ni nje ya gawio la hisa asilimia 16% za bure bure, ambayo Tanzania tumepewa kwenye kampuni mpya ya ubia wa Tanzania na Barrick, kampuni ya Twiga, na manufaa makubwa kabisa, manene na manono kabisa yanayosubiriwa kwa hamu, ni mgawo wa 50/50, yaani pasu kwa pasu ya manufaa ya Kiuchumi ya kila kinachopatikana kwenye madini yetu.
Huu ni ukombozi mkubwa sana kwa taifa letu. Hongera sana JPM.
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Hiyo ya kutumia benki zetu ni mhimu sana maana pesa zikiwa kwenye benki za Tz nasisi watu wachini tunazikopa na kufanya ujasiliamari.Lissu alisema tutapelekwa MIGA lakini Mh. Rais Magufuli kwanza amewafulumsha wezi Acacia pia sasa tunafanyakazi na Barrick na wameanza kutulipa pesa yetu bado faida ya madini yetu ya kila mwaka lazima pia tuzipate! Pesa zote zinawekwa hapahapa kwenye Benki zetu. Mungu atupe nini jamaniiii. Heko Rais wetu Magufuli.
Wanabodi,
Hatimaye Tanzania sasa tunaanza kufaidi rasilimali zetu za madini, ambapo leo, donge nono la dola za Marekani milioni 100, zimelipwa kwenye kile kibubu chetu pale kwenye ule mfuko Mkuu wa hazina ya serikali kama advance payment ya kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, ambacho baadae tulikigeuza kuwa ndio mahari kamili ya yule binti yetu makinikia.
Kiasi kilichobaki cha dola milioni 200, kitalipwa kwa mikupuo mitano ya dola milioni 40 kila mkupuo ambacho kitalipwa ndani ya miaka 5, kwa kila mkupuo kulipwa ndani ya mwaka mmoja mmoja.
Habari njema hii ni kwa mujibu wa Barrick,
Karibu ujisomee
Barrick Partnership with Tanzanian Government Delivers First Major Outcomes
Japo deni letu la makinikia ya Barrick lilikuwa Dola bilioni 190 ambazo zingetosha kumnunulia Noah kila Mtanzania, tukaahidiwa kishika Uchumba cha dola milioni 300!, lakini kufuatia majadiliano marefu, tulisamehe deni lote, na kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, tulikikubali kuwa sasa ndio mahari kamili, hivyo hili donge nono la dola milioni 100, ndio mwanzo wa utekelezaji wa makubaliano na Barrick.
Donge nono hili la dola milioni 100 ni nje ya gawio la hisa asilimia 16% za bure bure, ambayo Tanzania tumepewa kwenye kampuni mpya ya ubia wa Tanzania na Barrick, kampuni ya Twiga, na manufaa makubwa kabisa, manene na manono kabisa yanayosubiriwa kwa hamu, ni mgawo wa 50/50, yaani pasu kwa pasu ya manufaa ya Kiuchumi ya kila kinachopatikana kwenye madini yetu.
Huu ni ukombozi mkubwa sana kwa taifa letu. Hongera sana JPM.
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Nadhani Wewe ndo hazikutoshi kabisa. Yaani unabariki wizi wa mbowe kwa kusema eti unawaathiri vp watanzania? Are you serious? Au ndo mahaba yamekuzidi. Ile pesa ni ya walipa kodi kupitia ruzuku ambayo Chadema wanapokea kila Mwezi . Piga hesabu 50 mil kila mwezi kwa mwaka ni sh. Ngapi? Halafu piga kwa miaka 5. Unajenga barabara na zahanati halafu unasema zinawaathiri vp watanzania? Ungekua karibu ningekulapua makofi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una akili sawa sawa wewe kweli? Milioni 50 anazolipwa mbowe zinawaathiri vipi Watanzania ukilinganisha na 2.7 trillions zilizoibiwa hazina.
Na kwa taarifa yako CAG alikagua mahesabu ya Chadema hakuona tatizo lolote kuhusu malipo kwa Mbowe na hivyo kutoa HATI SAFI.
Ripoti ya CAG Assad ya 2017/2018 1.5 trillions imeibiwa hazina na ripoti ya CAG Kichere ya 2018/2019 1.2 trillions iliibiwa hazina.
Fuatilia kwa kina yanayojiri Nchini acha KUBWETEKA ili utafuniwe kila kitu.
Kwani Leseni zinapatikana peponi? Laki 2 tu leseni unapata within 3 days,hilo siyo tatizo kabisa tena EUna leseni?
Mkuu ameogopa mtasababisha ajali nyingiKwani Leseni zinapatikana peponi? Laki 2 tu leseni unapata within 3 days,hilo siyo tatizo kabisa tena E
Basi atupe ya bicycles tu kama vipiMkuu ameogopa mtasababisha ajali nyingi
Hapa naendelea kuielewa dhana njema kwa TaifaWanabodi,
Hatimaye Tanzania sasa tunaanza kufaidi rasilimali zetu za madini, ambapo leo, donge nono la dola za Marekani milioni 100, zimelipwa kwenye kile kibubu chetu pale kwenye ule mfuko Mkuu wa hazina ya serikali kama advance payment ya kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, ambacho baadae tulikigeuza kuwa ndio mahari kamili ya yule binti yetu makinikia.
Kiasi kilichobaki cha dola milioni 200, kitalipwa kwa mikupuo mitano ya dola milioni 40 kila mkupuo ambacho kitalipwa ndani ya miaka 5, kwa kila mkupuo kulipwa ndani ya mwaka mmoja mmoja.
Habari njema hii ni kwa mujibu wa Barrick,
Karibu ujisomee
Barrick Partnership with Tanzanian Government Delivers First Major Outcomes
Japo deni letu la makinikia ya Barrick lilikuwa Dola bilioni 190 ambazo zingetosha kumnunulia Noah kila Mtanzania, tukaahidiwa kishika Uchumba cha dola milioni 300!, lakini kufuatia majadiliano marefu, tulisamehe deni lote, na kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, tulikikubali kuwa sasa ndio mahari kamili, hivyo hili donge nono la dola milioni 100, ndio mwanzo wa utekelezaji wa makubaliano na Barrick.
Donge nono hili la dola milioni 100 ni nje ya gawio la hisa asilimia 16% za bure bure, ambayo Tanzania tumepewa kwenye kampuni mpya ya ubia wa Tanzania na Barrick, kampuni ya Twiga, na manufaa makubwa kabisa, manene na manono kabisa yanayosubiriwa kwa hamu, ni mgawo wa 50/50, yaani pasu kwa pasu ya manufaa ya Kiuchumi ya kila kinachopatikana kwenye madini yetu.
Huu ni ukombozi mkubwa sana kwa taifa letu. Hongera sana JPM.
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Nadhani Wewe ndo hazikutoshi kabisa. Yaani unabariki wizi wa mbowe kwa kusema eti unawaathiri vp watanzania? Are you serious? Au ndo mahaba yamekuzidi. Ile pesa ni ya walipa kodi kupitia ruzuku ambayo Chadema wanapokea kila Mwezi . Piga hesabu 50 mil kila mwezi kwa mwaka ni sh. Ngapi? Halafu piga kwa miaka 5. Unajenga barabara na zahanati halafu unasema zinawaathiri vp watanzania? Ungekua karibu ningekulapua makofi.
Hiyo 1.5T unayoingolea tayari Kamati ya Bunge ya PAC ambayo inaongozwa na Chadema ilitoa taarifa yake bungeni kwamba hakuna fedha yoyote iliyopotea. Sasa wewe kajamba nani kwa kukosa hoja bado unang'ang'ania taarifa za kukaririshwa. Walioanzisha hiyo hoja kina Zitto wameshaachana nayo baada ya ukweli kujulikana. Huwasikii wakiiongelea tena.
Halikadhalika 1.2T ni hoja iliyotolewa na mbunge wenu Anatropia Theonest akazomewa bungeni kwa kupotosha, nyinyi huko mitandaoni mmeidaka ili mpotoshe. Ukienda kwenye taarifa za PAC ambao ndo wanachambua taarifa za CAG hiyo hoja haipo. PAC inaongozwa na Chadema, maana ingekua inaongozwa na CCM mngesema wamechakachua taarifa ya CAG.
Nakushauri uwe unafuatilia mambo kwa kina uache ushabiki maandazi wa mitandaoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani Wewe ndo hazikutoshi kabisa. Yaani unabariki wizi wa mbowe kwa kusema eti unawaathiri vp watanzania? Are you serious? Au ndo mahaba yamekuzidi. Ile pesa ni ya walipa kodi kupitia ruzuku ambayo Chadema wanapokea kila Mwezi . Piga hesabu 50 mil kila mwezi kwa mwaka ni sh. Ngapi? Halafu piga kwa miaka 5. Unajenga barabara na zahanati halafu unasema zinawaathiri vp watanzania? Ungekua karibu ningekulapua makofi.
Hiyo 1.5T unayoingolea tayari Kamati ya Bunge ya PAC ambayo inaongozwa na Chadema ilitoa taarifa yake bungeni kwamba hakuna fedha yoyote iliyopotea. Sasa wewe kajamba nani kwa kukosa hoja bado unang'ang'ania taarifa za kukaririshwa. Walioanzisha hiyo hoja kina Zitto wameshaachana nayo baada ya ukweli kujulikana. Huwasikii wakiiongelea tena.
Halikadhalika 1.2T ni hoja iliyotolewa na mbunge wenu Anatropia Theonest akazomewa bungeni kwa kupotosha, nyinyi huko mitandaoni mmeidaka ili mpotoshe. Ukienda kwenye taarifa za PAC ambao ndo wanachambua taarifa za CAG hiyo hoja haipo. PAC inaongozwa na Chadema, maana ingekua inaongozwa na CCM mngesema wamechakachua taarifa ya CAG.
Nakushauri uwe unafuatilia mambo kwa kina uache ushabiki maandazi wa mitandaoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wana matatizo ya vifuaBasi atupe ya bicycles tu kama vipi
Nadhani Wewe ndo hazikutoshi kabisa. Yaani unabariki wizi wa mbowe kwa kusema eti unawaathiri vp watanzania? Are you serious? Au ndo mahaba yamekuzidi. Ile pesa ni ya walipa kodi kupitia ruzuku ambayo Chadema wanapokea kila Mwezi . Piga hesabu 50 mil kila mwezi kwa mwaka ni sh. Ngapi? Halafu piga kwa miaka 5. Unajenga barabara na zahanati halafu unasema zinawaathiri vp watanzania? Ungekua karibu ningekulapua makofi.
Hiyo 1.5T unayoingolea tayari Kamati ya Bunge ya PAC ambayo inaongozwa na Chadema ilitoa taarifa yake bungeni kwamba hakuna fedha yoyote iliyopotea. Sasa wewe kajamba nani kwa kukosa hoja bado unang'ang'ania taarifa za kukaririshwa. Walioanzisha hiyo hoja kina Zitto wameshaachana nayo baada ya ukweli kujulikana. Huwasikii wakiiongelea tena.
Halikadhalika 1.2T ni hoja iliyotolewa na mbunge wenu Anatropia Theonest akazomewa bungeni kwa kupotosha, nyinyi huko mitandaoni mmeidaka ili mpotoshe. Ukienda kwenye taarifa za PAC ambao ndo wanachambua taarifa za CAG hiyo hoja haipo. PAC inaongozwa na Chadema, maana ingekua inaongozwa na CCM mngesema wamechakachua taarifa ya CAG.
Nakushauri uwe unafuatilia mambo kwa kina uache ushabiki maandazi wa mitandaoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo mpumbavu usiejitambua. Naona umehamisha magoli, umeshindwa kutetea uzushi wenu wa kipuuzi eti 2.7T hazijulikani zilipo.Wizi na ufisadi wa kutisha wa pesa za walipa kodi lakini MPUMBAVU wewe huwezi kutia neno.
Tanzania's House Speaker, Job Ndugai's treatment in India sets the world record as the most expensive EVER for a single medical procedure! - JamiiForums
Wewe ndo mpumbavu usiejitambua. Naona umehamisha magoli, umeshindwa kutetea uzushi wenu wa kipuuzi eti 2.7T hazijulikani zilipo.
Halafu, Unanitag na habari isiyo na source unadhani nammi ni nyumbu mwenzio? Ndugai hata kama alitibiwa, alitumia Health Insurance yake. Sasa hapo wizi na ufisadi uko wapi? Nenda kamuulize mbowe pesa za michango ya wabunge wenu alizokwapua kwa ajili ya kumtibu lissu wakati walipata ufadhili. Mjinga mmoja wwe..
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Wewe ndo mpumbavu usiejitambua. Naona umehamisha magoli, umeshindwa kutetea uzushi wenu wa kipuuzi eti 2.7T hazijulikani zilipo.
Halafu, Unanitag na habari isiyo na source unadhani nammi ni nyumbu mwenzio? Ndugai hata kama alitibiwa, alitumia Health Insurance yake. Sasa hapo wizi na ufisadi uko wapi? Nenda kamuulize mbowe pesa za michango ya wabunge wenu alizokwapua kwa ajili ya kumtibu lissu wakati walipata ufadhili. Mjinga mmoja wwe..
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app