Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hujafunguliwa chochote, inatakiwa Pdf ulisome mwenyeweAsante kipenz,at least mnatufungua taratibu mama♥️
Wabongo hata nyeti hatuzijui, et habari aliyoleta anaiita nyetiHawa wenye wajomba Oman ndio watetezi wakuu wa hii kampuni ya DP World humu ndani
Hizi bado ni simulizi za alinacha,hakuna data,ni hearsay TU,na porojo kama za mwamposa,sijaona data,,ni masimulizi kama ya mabeki tatu wakikutana kisimani kuchota maji,Vijana wa Kitanzania,
Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.
Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.
Huyo sio mtu mmoja.Huyu faiza foxy mchunguzeni ni jinsia Me alafu limekaa kidini dini sio mtu wa kuaminika
Wapuuzi kweli, hawajui nao ni miongoni mwa watumwa wanaopelekwa Dubai, yanashangilia tu kama mazuzu.Hawa wenye wajomba Oman ndio watetezi wakuu wa hii kampuni ya DP World humu ndani
MKATABA KWANZA..Cha msingi mkataba urekebishwe. Ile ya kusema uwe mkataba wa milele au kuwapa bure bandari zote za Tanganyika haifai.
🤣🤣Hawa wenye wajomba Oman ndio watetezi wakuu wa hii kampuni ya DP World humu ndani
Ndugu yangu, Uislam ulikuja kufuta ubaguzi. Soma Waislam tunsfundishwa. Nininkuhusu Wskristo (wa kweli) katika hii aya ya Qur'an 👇🏾Na sisi wagalatia tufanye nini..?
Sawa mkuuHapo hujafunguliwa chochote, inatakiwa Pdf ulisome mwenyewe
Mimi sina kiburi, connection ya kazi tuu hapo bandariniHayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao makasisi na wamonaki, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
Vijana wa Kitanzania,
Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.
Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.
Shukran Kwa taarifa hii muhimu..
Umesahau kimoja, wavivu wavivu hawatakua na chance kabisaa!maana watz wengu wavivu,hawafanyi, wamekalia majungu majungu tu!vivid examples - wafanyakazi wa serikaliVijana wa Kitanzania,
Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.
Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.
Calibre yenu ndio mnazidi angamiza Taifa!! Hata gas na rasilimali nyingine mliimba ngonjera kama hizi, leo gas tunaitafuta kwa tochi!!Vijana wa Kitanzania,
Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.
Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.
Kwa bahati niliyeongea nae kwanza, kijana mwenzangu wa zamani, maarufu sana Dar au niseme Tanzania nzima, kwani alikuwa ni mcheza mpira wa kusifika enzi hizo.
Baada ya salaam na kuulizana ya hapa na pale nikamuuliza kuhusu DP World kama ana connection yoyote, kwanza kacheka akanambia wewe mtu zaidi ya wa kumi kuniuliza. Kwa ufupi, alikuwa na mtu tena mwema sana. Akanambia atanipigia baadae kidogo nimpe muda kidogo amtafute. Baada ya kama nusu saa akanistukiza kwa video conference call, akiwemo na huyo kijana ambae yupo jikoni, ndani ya Dubai World, hawa Dubai World ndiyo "mama" wa DP World. Tukaongea mengi sana.
Vijana wa Kitanzania watakao bahatika kupata kazi na DP World watafaidika na mengi. Kwa uchache:
1) Kutakuwa na kila aina ya ajira, wenye ujuzi na wasio na ujuzi watachukuliwa.
2) Mafunzo ya kazi ya mara kwa mara, ndani na nje ya nchi, yatatolewa kwa watakao pata kazi.
3) Uhamisho wa kituo cha kazi wa mara kwa mara kwa watakao ajiriwa.
4) Hatastahimiliwi mfanya kazi ambae hafati muda wa kazi na deadlines za assgnments.
5) Wenye kujua Kingereza kwa kusoma, kuandika na kuzungumza ndiyo watakuwa na chance kubwa.
6) Wenye kujua kutumia kompyuta kiwepesi chance zitakuwa kubwa.
7) Ukiwa mwongo kwenye cv au vyeti au kazini, hata ukishaajiriwa utaikosa kazi.
8) Wana policies and procedures kwa kila hatua ya kazi, ukikiuka hata kidogo ujue hauna kazi.
9) Visingizio (excuses) havina nafasi kabisa.
10) Rushwa aina yoyote kwa anaetoa au kupokea, ni "mmediate termination" hata kwa anaejaribu kugusia au kuzungumzia tu, haina mjadala.
Nimechoka kuandika kwa sasa, kuna mengi sana ntakuwa nayajazilia kidogo kidogo.
Mbele huko ntajulisha mpaka namna ya kupata kazi. Wapi pa kuanzia.
Nayafanya haya kwa nia njema kabisa, sitaki malipo, wala sitafuti kiki, hakuna tunaejuana humu isipokuwa wachache sana, tena wa karibu sana kwangu.
Uliza chochote hapa hapa jukwaa la wazi, sijibu PM.
Mwenyezi Mungu awe nasi. Nita update baadae lakini napokea maswali muda wote.
FF
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Na sisi wagalatia tufanye nini..?