Habari ya Mgombea Urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu yaandikwa na waandishi 14

Habari ya Mgombea Urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu yaandikwa na waandishi 14

sopinta

Member
Joined
May 28, 2020
Posts
46
Reaction score
93
Katika gazeti la Mwananchi la tarehe 11/8/2020 yenye kichwa cha habari kinachosema "SIMPITISHI YEYOTE MATESO HAYA" habari hii yenye paragrafu 29 imeandikwa na waandishi 14, ambao ni Daniel Mjema, Bakari Kiango, Andrew Gasper, Mussa Juma, Rachael Chibwete , Twalad Salum, Rehema Matowo, Ernest Maghashi, Beldina Nyakeke, Anthon Mayunga, Sada Amir, Jesse Mikofu, Daniel Makaka, Robert Kakwesi.

Cha kujiuliza: Je, ni umakini katika uandishi kiasi kwamba habari ya mwanasiasa mmoja kuandikwa na waandishi wengi hivyo?
 
Utakufa ukiwa msaliti wa nafsi yako mwenyewe. Uliumbwa ukiwa binadamu na ukapewa Roho ya Munhu lakini ukaukama ubinadamu, ukaamua kuishi kama sangara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endeleeni kujipa moyo, Lissu will and won't be the President of this country never.
 
Hizi porojo haziondoi ukweli kwamba lissu ni msaliti wa Nchi na adhabu ya msaliti i wazi
Watanzania sasa kuua imekuwa jambo lisiloogopeka tena hadharani. Ingekuwa anayetaja ni wa upande fulani sijui balaa lake lingekuwaje
 
Hilo ni jambo la kawaida kwa waandishi zaidi ya mmoja kuchangia story!! Nyie mbwiga ndio mnaona nongwa ; angalia story kwenye magazeti ya wenzetu huko nje mara nyingi huandikwa na contributors zaidi ya mmoja ili story iwe credible!

Jiongezeni kwa kusoma nje ya mabox yenu!!!
 
Lipumba jikite kwenye Maslahi ya wakulima Korosho na wafanyakazi...Na wafanyabiashara example Bureau de change

Hivi ni Kwa nini Ukaguzi huru wa Mahesabau ya NSSF na PSSSF haifanywi na wafanyakazi kupewa ripoti? Kila mwaka..

Malipo ya Mafao (FAO LA KUKOSA Kazi/kujitoa) na FAO LA WAZEE. Kipindi hiki hayatoki...Watu wanasumbuliwa, miezi 3 mpaka 4..hadi 6.

Kipindi hiki wafanyakazi wanasumbuliwa, fao la kukosa ajira na wazee.

Pesa zimeenda wapi? Usikute mmeshafanya yenu Tena eeh
 
Back
Top Bottom