digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Vipi ile barua yenu kwa mkuu wa umoja wa mataifa mmeshaipeleka?We will see
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ile barua yenu kwa mkuu wa umoja wa mataifa mmeshaipeleka?We will see
Hayo tutayafanya baada ya kupeleja virago Chato na kumkaribisha Rais Tundu Antipas Lissu Ikulu.Vipi ile barua yenu kwa mkuu wa umoja wa mataifa mmeshaipeleka?
Je Sheria inasemaje kuhusu kufungiwa waandishi wote walioandika hiyo habari?Wameandika wote ili iwe ngumu kwa Mamlaka kuwashtaki watu wote hao,angekuwa kaandika Mmoja ingekuwa rahisi kumpa onyo na vitisho.
Hio ni hofu na dhahili mmekubali kushindwa.Jogoo awike au asiweki,hii nchi kamwe hatakabidhiwa kwa viwavi jeshi
Tunaongelea 14 kama script ya Bongo movie..Hilo ni jambo la kawaida kwa waandishi zaidi ya mmoja kuchangia story!! Nyie mbwiga ndio mnaona nongwa ; angalia story kwenye magazeti ya wenzetu huko nje mara nyingi huandikwa na contributors zaidi ya mmoja ili story iwe credible!
Jiongezeni kwa kusoma nje ya mabox yenu!!!