Habari ya Mgombea Urais kupitia CHADEMA ndugu Tundu Lissu yaandikwa na waandishi 14

Wameandika wote ili iwe ngumu kwa Mamlaka kuwashtaki watu wote hao,angekuwa kaandika Mmoja ingekuwa rahisi kumpa onyo na vitisho.
Je Sheria inasemaje kuhusu kufungiwa waandishi wote walioandika hiyo habari?
 
Tunaongelea 14 kama script ya Bongo movie..
 
Hii Serikali ya kishetani ya ccm ishindwe kwa Jina la YESU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…