Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

Iraq ilishupaza shingo hivyo hivyo na ilikuwa na nguvu ikavamia Iran na Kuwait lakini US UK na Washirika wengine walitembeza kichapo cha haja hali kadhalika Iran itachapwa hivyo hivyo.

Nchi zote za Kiarabu hazimtaki Ayatolah zinasema anasambaza Uislamu wa Kishia.
We jamaa unaongea hata vingine hujui iraq alivamia lini iran na kuwait kwa wakati mmoja.
Pili iraq alipigana na iran huku iraq ya saddam ikiwa swahiba wa usa na Donald Rumsfeld alitua baghdad airport akienda kumpa support Saddam ila ndio sasa Saddam akakutana na vijana wa Khomein baada ya kupewa fatwa wao wanapigana tu wanasilaha wanamti mawe whatever wao ni mstari wa mbele kitu kimoja ambacho ni ngumu kuishida iran na imani iko embeded ktk uendeshaji wa serikali na maisha ya kila siku ya raia hapo kiongozi akisema ni sawa na maagizo ya kiimani kwa hiyo hawaquestion labda uwatoe kwenye imani hiyo huwezi kuwashinda basij more than 2millions youth brain washed to protect the state kama kweli usa watapeleka vita basi hii itakuwa vita vita haswa tutakaa na kula bisi tukienjoy mtinange.
 
Turkey ni Secular Government Iran ni Islamic Government hiyo ndio tofauti Iran lazima ivamiwe ili irudishwe kwenye Usecular kama ilivyokuwa kabla ya Maayatola.
Vipi afghanistan mwisho wake umekuwa nini na Yemen mwisho wake umekuwa nini vingine vimewashinda watu ,wanapigana generatipn hadi generation kama tu wapalestina from Arafat to akin Sinwar and on going.
 
Vipi afghanistan mwisho wake umekuwa nini na Yemen mwisho wake umekuwa nini vingine vimewashinda watu ,wanapigana
Afghanistan ni Tribal Land haina historia yeyote zaidi ya kupigana wenyewe ndio maana Mongols waliamua kuchinja Nchi nzima.
 
Afghanistan ni Tribal Land haina historia yeyote zaidi ya kupigana wenyewe ndio maana Mongols waliamua kuchinja Nchi nzima.
Message simple tu usianzishe vita isiyoisha hii ndio lesson from Afghanistan,more than 20years mnafight tu na mwisho mmewarudishia serikali walewale.
Na lesson from Iraq ni baniani mbaya kiatu chake dawa however bad was Saddam regime ila kumungusha ilikuwa makosa ya karne akina Netanyahu wanajutia mpaka kesho maana ndio wamempa nguvu zaidi muiran ameifanya iraq kuwa strong allies wake and they speak same language sio kama za Saddam Hussein. Hivo hivo they shouldnt wish the fall of Khamein since what will rise could be dangerous than tbe current regime which respect international laws.
 
Back
Top Bottom