Habibu Anga: Yericko Nyerere ameniibia makala zangu Facebook huyu dogo ni mweupe na hana Elimu yoyote kama kama ilivyo kwa Mbowe

Unaijua Sheria copyright and patent right vizuri??
 
Dah watu mnachuki za kitoto sana
 
Kuna taarifa mtaani, Nyepesi nyepesi ...Ati, mji wa yeriko UNAPUMULIWA!...
 
Kama aliweza kukopi na kupest akapigwa hela huyu ni mjamja bro acheni chuki tafuteni mpunga
 
Mgongwa huyu wa akili anapiga hela wewe unabakia kupiga Majungu hizi no chuki za kitoto sana, mimi natofautiana na alichokifanya ila siwezi kubeza uwezo wake,
 
Kuna taarifa mtaani, Nyepesi nyepesi ...Ati, mji wa yeriko UNAPUMULIWA!...
Kama hatuna ushahidi, tafadhali tumtunzie heshima mwanaume mwenzetu...

Yericko ni mpuuzi na kila mtu anajua, ila tujitahidi kutoa shutuma za kweli.
 
Yericko Nyerere kakopi makala nyingi sana za Mzee Joseph Mihangwa aliyekuwa gazeti la Rai na baadae Raia Mwema. Ni mbobezi wa kuiba kazi za watu na kujimilikisha.
 
Wakili Matojo naye anasema aliandika mkakati ka ajili ya CHADEMA akampa Yericko, lakini Yeri ko akauchukua na kuufanya kitabu chake.

Kwa hiyo kuna mtu zaidi ya mmoja anatoa madai haya kwa Yericko.

Jamaa kafoji mpaka jina!
 
Kajitakia tu huyu jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…