Habibu B. Anga (The Bold) Mungu akupe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate your writings brother. All the best

Naiomba
 
Jaribu na wewe kunakili Google tuone.
 
Sina interest ya kuleta humu ndani ila jua na access nyingi tu za kupata hizo information zilizochambuliwa kwa kina zaidi mnazoleta humu ndani kwa wadau.
Ndio ukae kimya sasa kama hauna interest
 
Ndio ukae kimya sasa kama hauna interest
Tuko pamoja sana. Tatizo la rafiki yako ni mlaghai mno tofouti na wewe, unaweza kuwa mdogo kwake ila una ustaraabu kiasi fulani tofouti na yeye ajifunze kwako hili.

Huwa nakuona ukianzisha simulizi zinaisha vizuri tena kwa wakati tofouti na yeye, amefanya stori zake kuwa chuma ulete kwa baadhi ya member's humu ndani..

Sijaona umuhimu wa yeye kuanzisha simulizi kama hii halafu atokomee kusikojulikana akisubilia michango ya wadau.
 
Sote Tupo hapa Jamiiforums kupashana habari/kufundishana/kujulishana na sio kuumbuana/kukomoana/kuzodoana
 
Bado upo nyuma sana kwenye Kufuatilia simulizi zake. Kaa na watu vizuri wakupe viatu vya kutembelea simulizi zilipo..
 
Jana tu nilijikwaa nikaanguka badala nipewe pole ndo nasikia sauti inaniambi kaka wa watu tafuta hela si unaona hata mawe hayakupendi yanakuangusha tu!.. mwishowe yaje yakuuwe..[emoji28]

Niendelee au niongeze sauti..??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…