Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

Mara nyingi mitazamo huonekana kama kitu sahihi Kwa muhusika, unachokiongea ni mtazamo ambao unautoa Kwa sababu tu hujawahi kupewa hata taasisi kuiongoza.
 
Mara nyingi mitazamo huonekana kama kitu sahihi Kwa muhusika, unachokiongea ni mtazamo ambao unautoa Kwa sababu tu hujawahi kupewa hata taasisi kuiongoza.
Kipi ni mtazamo exactly? Kitaje hapa tukichambue kwa kina usiseme mambo juu juu tu.
 
Nashukuru Mungu huyu anaye itwa kichaaa kutuletea umeme kijijini kwetu Kyela ngonga.mungu ambaliki huyu anaye itwa kichaaa na huyo kibendera Mungu atampiga tuu pamoja nawaliomtuma watu wana hasira na kufariki shujaa Magufuli yy anamwitakichaa ok ok Dua zinaendelea kumuombea amani huko aliko huyo anae itwa kichaa ili Mungu amlinde
 
Mfuateni huko Jehannam
 
Mara nyingi mitazamo huonekana kama kitu sahihi Kwa muhusika, unachokiongea ni mtazamo ambao unautoa Kwa sababu tu hujawahi kupewa hata taasisi kuiongoza.
Unavyosema Nyerere alirithi tabia za kikoloni, huo ni mtazamo wako unaposema Mabaya ya Magufuli ni matokeo ya Mabaya Nyerere vilevile ni mtazamo wako na weledi wako unapoishia ndiyo maana nikakwambia huwezi hata kuingiza taasisi, hivi unafikiri unaweza kufanya mabadiliko kwenye mfumo Kwa siku, mwezi au week? Imagine unataka kumhandle mtu aache araibu wa jambo fulani unafikiri litakuwa jambo la siku Moja tu, So ukitaka Nyerere abadilishe mifumo ya waingereza ndani ya muda mfupi tuu? Katiba tunayoitumia Hadi Leo ni ya kikoloni wamepita Marais wangapi wakashindwa kuibadilisha??
 
Sizonje...hahaha
 
I wholeheartedly agree with you
 

Hata Hitler alifanya mengi huko Germany. Stalin alifanya makubwa huko Rusia .... hiyo haionfoi ukweli kuwa walikuwa ni madikteta na wakatili.
 
Kichaa alifanya mengi sana mpaka wenye akili wanaweweseka kila siku.
 
Yaani hii mijitu inayomnanga jembe alafu sasa hivi yanayotokea hawayaoni sioni wakipiga kelele kila siku ivi kwa nini uyo sijui ndo kibendera atoe kitabu cha mama abduli au yanayofanyika kwenye hichi kipindi chake hawayaoni wanahangaika na mtu aliyepumzika😡😡😡
 
Alifurahia kutukuzwa kama Mungu. Mungu wa kweli ana wivu, akamchomoa na kwa kufanya hivyo tukapona.
Mmepona mbona kina sativa wanapigwa risasi za taya bila kosa watu wanatekwa hadharani wanauwawa vp mmepona wapi

Bandari kauziwa mwarabu mmepona wapi?
Bidhaa zimepanda bei mmepona wapi?
Huduma mbovu kwenye ofisi za kiserikali hauhudumiwi kwa wakati hata kama ni haki yako mmepona wapi?
Hebu nieleweshe nikuelewe
 
Heshima kwa JPM daima sumu.
 
Hakuna kitu alikuwa ananifurahisha yule kichaa kama jinsi alivyokuwa anawatumbua vigogo wenye akili timamu
 
Maokoto mkuu hupofusha sana!!
 
Hata Hitler alifanya mengi huko Germany. Stalin alifanya makubwa huko Rusia .... hiyo haionfoi ukweli kuwa walikuwa ni madikteta na wakatili.
Udikteta ndiyo uongozi bora duniani.
 
Natamani nikufanyie magu alichomfanyia Lissu na beni
Una uhakika kwa unachokisema?.
Vipi ikaja bainika ni FAM wenu huyo?.
Sura yako utaiweka wapi?.
Linda kinywa chako kwa mambo ambayo bado ni giza
 
Hakuna kitu alikuwa ananifurahisha yule kichaa kama jinsi alivyokuwa anawatumbua vigogo wenye akili timamu
Watanzania wengi kama wewe ni sadists, na ndiyo maana mlimpenda sana rais wenu kichaa kwa sababu alikuwa sadist in chief.

Nyie hamkujali utawala wa sheria, vita dhidi ya umasikini, demokrasia etc.

Mlitaka kuona watu wanatumbuliwa tu.

Kwq style yenu pendwa ya "Nitumbueeee nisitumbueeeee?"

Mnajibu "Tumbuuuaaaaa".

Basi hapi roho kwaaatu.

Na rais wenu aliwajulia na kuwapa show ya sadism mliyoitaka.

Ndiyo maana hamuwezi kutoka kwenye umasikini.

Mnaweza kushikiwa akili kirahisi sana kama watoto wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…