Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

Labda hicho chuo cha juu ya ghorofa huku chini fremu na vyumba vya kuishi wapangaji.

Chuo chenye strong system kama UDSM, MZUMBE, DARTU, SUA ama UDOM huwezi kuingilia mfumo wa SARIS.
Kalaghabaho hamna mkate mgumu ndgu yangu.

Vijana wanahack vizuri tu, hiyo mifumo yao inayoscruch scruch au huna taarifa??

Kina Joni kisomo hamuwezi kuwajua hackers vyuoni, ila wapo sana na vijana wa hovyo wanawatumia mno kufix matokeo yao.
 
Ni kweli kabsa 😊 Binafsi wakati tunamaliza chuo tuliandika barua na kupelekea TCRA ili tupate baraka zao katika shughuli yetu nzima ya kutengeneza mfumo wa kuzuia na kushika hawa watu wa tuma kwenye namba hii. AISEE tulipewa jibu moja takatifu nikasema kwa uchungu sana Tanzania tuna viongozi was****e sana! Jitu lilisoma barua ndani ya dakika tano eti linasema mfumo hauna mashiko.
 
Labda hicho chuo cha juu ya ghorofa huku chini fremu na vyumba vya kuishi wapangaji.

Chuo chenye strong system kama UDSM, MZUMBE, DARTU, SUA ama UDOM huwezi kuingilia mfumo wa SARIS.
Mwaka 2022 wajanja waliingilia suasis wakajilipia ada, wakapata ticket ya mtihani. SUA mifumo yao ya kizembe sana.

Mtu ana Disco, anakula boom mwaka mzima sababu system zimefeli kumtoa.

Hapo ni SUA na hayo yamefanyika nikiwa mwanafunzi pale.
 
Vijana wenzako wakibaki jobless furaha yako inakuwa ni ipi? , maana huwezi zuia bodaboda kwasababu ya ajali moja
 
Niliibiwa simu yangu, wezi wakabadikisha password zangu na kuiba hela.

Hadi Leo makampuni ya simu yameshindwa kuelewa pin zangu za.M Pesa na Tigo Pesa zilibadiloshwaje?

Wanashirikiana na watu wa makampuni ya simu
Makampuni ya simu ni genge la wanyang'anyi tu.. Nikikumbuka nilivyopigwa danadana na refund yangu toka ATCL, mpaka nimeamua kuacha tu.. Ila nikikumbuka 385,000 yangu naumia sana. Airtel na Vodacom basi tu.. Lakini kuna dhuluma kubwa sana tunafanyiwa. .
 
Hakuna haja ya mobile wakala anymore

Tueafuate maofisini
 
Wazee wa Cyber wao wanadeal na chadema tu
 
Na hii mitandao ya simu, inauza sana taarifa za faragha,

AIRTEL MKIRUDIA UPUUZI MLIOFANYA MAJUZI, Nitawapeleka mahakamani πŸ˜•πŸ˜•
Mwizi katumia kuiba pesa kutumia simu yake ambayo imesajiriwa kwa nida ambayo inatoa utambulisho wa mhusika mahali alipo na shule aliyosomea na kazi anayofanya na ndugu zake walipo.

Bado Polisi na Mitandao wanasua sua wanakwambia tu Pole.

Hii nchi bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…