Mbuzingombe
JF-Expert Member
- Apr 14, 2024
- 353
- 828
Mkuu huku sio salama sana, unaweza kukutana na eagle wing muda sio mrefu, ukawaonyeshe huyo mwamba anaeprint mbongo,bora hao kuna jamaa huku ka hack not za ten anajifyatulia tu pesa atakavyo na not zake huwez gundua hy fake hy og mana benk zote zinapenya na ananiambia kabisa broo sijakuja kuteseka dunian nimekuja kula bata huwa nataman nimchome kituon tatz kwa wiki na mm nafyatuliwa tu milion kadhaa twa kula wikeend hy dunia acha tu nyie mnakazana kutafuta hela mwenzenu yupo geto ana print hela kumamake simtaji wacha tule maisha
Wewe kubinywa kende kunasogelea kwa Kasi kwa kutafuta sifa za kipumbavubora hao kuna jamaa huku ka hack not za ten anajifyatulia tu pesa atakavyo na not zake huwez gundua hy fake hy og mana benk zote zinapenya na ananiambia kabisa broo sijakuja kuteseka dunian nimekuja kula bata huwa nataman nimchome kituon tatz kwa wiki na mm nafyatuliwa tu milion kadhaa twa kula wikeend hy dunia acha tu nyie mnakazana kutafuta hela mwenzenu yupo geto ana print hela kumamake simtaji wacha tule maisha
Dogo fala sana...katika kitu hakichekewi ni hicho alichosemaMkuu huku sio salama sana, unaweza kukutana na eagle wing muda sio mrefu, ukawaonyeshe huyo mwamba anaeprint mbongo,
Sasa kama ilikuwa unataninia, ukitoka salama mshukuru Mungu,
ShukraanHali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao
Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA
Kadi za bank
Passwords nk
Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji
Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Si mpaka wamuache salamaMkuu huku sio salama sana, unaweza kukutana na eagle wing muda sio mrefu, ukawaonyeshe huyo mwamba anaeprint mbongo,
Sasa kama ilikuwa unataninia, ukitoka salama mshukuru Mungu,
How mwana techlonogia?Hicho kilichofanyika hapo sio hacking...ni uzembe pia wa muhusika..lakini kama alisajiliwa line na aliyemuibia...inawezekana kabisa kumshika..Tena mapema sana
Hawa wanaotembea na vizibao vya makampuni ya simu wengi wao ni wezi, ushaidi ninao! Nashangaa kwa nini makampuni ya simu yanaaendelea kuwa na hawa watu. Halafu cha ajabu wakishakuibia ukifata taratibu zote za kuripoti katika mamlaka husika bado kampuni ya simu husika haitoi ushiriakiano wa kutosha. Unabaki kujiuliza hawa vijana (wezi) wanajuana na watu wa ndani wa kampuni husika ya simu?Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao
Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA
Kadi za bank
Passwords nk
Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji
Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Hawa Airtel hovyo kabisa, ndo hawana ushirikiaono na wateja walioibiwa!Na hii mitandao ya simu, inauza sana taarifa za faragha,
AIRTEL MKIRUDIA UPUUZI MLIOFANYA MAJUZI, Nitawapeleka mahakamani [emoji53][emoji53]
Wenzetu ni akili kubwaNi kama kwenye lile tambara la Leonardo Di Caprio la catch me if you can..
Baada ya mwamba kukichafua sana Ilibidi serikali imuajiri kusaidia nchi ktk kung'amua hiyo michezo ya wajuba....ila Kwa sisi hapa watakufunga au hata hawatajisumbua kutafuta Kwa uzembe walionao
Bila ujuzi huwezi kufanya hayo mamboHicho kilichofanyika hapo sio hacking...ni uzembe pia wa muhusika..lakini kama alisajiliwa line na aliyemuibia...inawezekana kabisa kumshika..Tena mapema sana
Wenzetu ni akili kubwaNi kama kwenye lile tambara la Leonardo Di Caprio la catch me if you can..
Baada ya mwamba kukichafua sana Ilibidi serikali imuajiri kusaidia nchi ktk kung'amua hiyo michezo ya wajuba....ila Kwa sisi hapa watakufunga au hata hawatajisumbua kutafuta Kwa uzembe walionao
Bila ujuzi huwezi kufanya hayo mamboHicho kilichofanyika hapo sio hacking...ni uzembe pia wa muhusika..lakini kama alisajiliwa line na aliyemuibia...inawezekana kabisa kumshika..Tena mapema sana
❤❤❤Shukraan
Mkuu Mshana Jr , sidhani hata kama hii ina sifa ya kuitwa ku-hack na hao matapeli wana sifa ya kuitwa hackers au wataalam wa IT. Huyu mama kapigwa kiboya sana. Anyways, serikali kuruhusu usajili wa simu wa mitaani nao ni upumbavu mwingine wa dhahiri. Eti unakuta machinga mtaani wanachukuwa fingerprints za raia zikiandamana na data sensitive kibao. Hii inawezekana Bongo tu.Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao
Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA
Kadi za bank
Passwords nk
Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji
Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Acheni kutumia neno hackers kwenye vitu vya kijingaHali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao
Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA
Kadi za bank
Passwords nk
Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji
Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
kwan jf inatumika tanzania tu mi niko rwanda labda ongeen na wahusika wa huku waje wanishikeMkuu huku sio salama sana, unaweza kukutana na eagle wing muda sio mrefu, ukawaonyeshe huyo mwamba anaeprint mbongo,
Sasa kama ilikuwa unataninia, ukitoka salama mshukuru Mungu,
Huku unatakiwa kuwa makini, unaweza kujichumia janga ukapotea, au ukasumbua familia kukuuguza,Dogo fala sana...katika kitu hakichekewi ni hicho alichosema
Ni ushauri tu Mkuu, kujiepusha na majanga yasiyo ya lazima,kwan jf inatumika tanzania tu mi niko rwanda labda ongeen na wahusika wa huku waje wanishike
Mtani, hili jambo limeachwa tu dada zetu na mama zetu wastaafu wanalizwa kila uchao. Anatoa kadi na password, wengine wanambiwa lete simu nikuunganishe na mange kimambi app, anaweka email na password na yeye anabaki nayo.Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao
Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA
Kadi za bank
Passwords nk
Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji
Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Nina uhakika kwa nondo zinazotolewa humu, lazima kuna Tai wa kutosha humu, masaa yote,Si mpaka wamuache salama
We muache abwabwaje ndo ataelewa kuna wengine hawalalagi na wengine wanalalaga na wapo kama hawapo