Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika mfunzi yetu sisi makomando Kuna mafunzo ya uvumilivu wa mateso.Hivi hao ndio walibinywa mpaka wakaita maji mma!
sera ni msingi ni chama ambacho nakifuatilia toka 1992Sawa hata mamvii alisema kama wewe lkn baadae alirudi
Je na wewe huwez kurud huko ccm baadae??
Maana kilicho kuvutia ni hao komandoo
Sio sera za chadema
Makomandoo wa ukweli wapo kamiligado. Wemependeza na miili inaludi. Wale makwilikwinyo wakiona hivi wanahisi kufakufaView attachment 2157070
Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi , leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe , aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame
Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja , pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini .
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii .
.
luteni urio ndio alifanya hivyo sio hawa wajuba.Hivi hao ndio walibinywa mpaka wakaita maji mma!
Mayele ng'ombe ,Adamoo moo tusubiri season ya piliView attachment 2157070
Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi , leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe , aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame
Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja , pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini .
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii .
.
luteni urio ndio alifanya hivyo sio hawa wajuba.Hivi hao ndio walibinywa mpaka wakaita maji mma!
Wewe utakuwa umezaliwa na kukulia kwenye flat za NHC haya mambo huwezi kuyaelewa kamwe. Hiyo kimila ni jambo kubwa sana hao wazee wanajua wanachokifanya.Sasa ng'ombe dume wa nini, wa kuchinja na kula nyama? Hao watoa zawadi hawajui kuwa madume hayazai?
Bwashee kwani mila za kichaga ni universal kiasi kwamba hata mmakonde lazima azielewe? Au unadhani members wa jf wote ni wachaga?Wewe utakuwa umezaliwa na kukulia kwenye flat za NHC haya mambo huwezi kuyaelewa kamwe. Hiyo kimila ni jambo kubwa sana hao wazee wanajua wanachokifanya.
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii .View attachment 2157070
Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi , leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe , aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame
Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja , pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini .
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii .
.
Kukiwa na rais mpya.Mara paap DPP anaonesha nia ya kuendelea na kesi, siku hiyo nitafanya bonge la sherehe
Halaf akaishia wapi kwenye kesi?Ndio huyo huyo mkuu akitokea tu hao mgambo wanaweza kutoka nduki!! Chezea Kingai wewe!!
Pamoja na mateso hawakutaka kutoa ushahidi wa uongo.Hivi hao ndio walibinywa mpaka wakaita maji mma!