Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama leo ndiyo umeweza kutambua kwamba Mbowe ana busara na huwa anaongea point. Basi wewe ni mmojawapo wa watoto waliokaa tumboni mwa mama yako hadi ukaota MENO na MAVUZI!
Wakati nyie wenye upeo mdogo mnapokuwa na mawazo finyu viongozi wenu wanamwomba Mbowe atulize mambo pale yanapokuwa mazito kwa serikali. Huyu ni kiongozi kwa talanta alizopewa na Muumba kejeli zenu ni maneno kama ya kwenye kanga.
View attachment 231972
Wee jamaa vp???
Mbowe alikuwa anaongelea miradi ya ujenzi wa Barabara na sio ujenzi wa maabara, Tanzania nchi pesa na rasilimali kibao namba hii wanafaidi akina Change et al hafu mie mlalahoi ndo nilale njaa kuchangia maabara.. ptuuuuuu
Wakati nyie wenye upeo mdogo mnapokuwa na mawazo finyu viongozi wenu wanamwomba Mbowe atulize mambo pale yanapokuwa mazito kwa serikali. Huyu ni kiongozi kwa talanta alizopewa na Muumba kejeli zenu ni maneno kama ya kwenye kanga.
View attachment 231972
Ni pale alipokuwa kwenye uzinduzi wa ujenzi wa barabara mkoani Kilimanjaro akiwa na Mhe. Magufuli,alisema, suala la maendeleo lisionekene au kuchukuliwa kuwa ni la siasa.
Ni kweli kabisa kuna baadhi ya wanasiasa hasa wasioelimika, wengi wao huzuia miradi mingi ya maendeleo mfano ujenzi wa maabara kwa kuleta siasa ndani ya shughuli za maendeleo!
Heko bwana Mbowe kwa kujitambua kidogo.
Ni pale alipokuwa kwenye uzinduzi wa ujenzi wa barabara mkoani Kilimanjaro akiwa na Mhe. Magufuli,alisema, suala la maendeleo lisionekene au kuchukuliwa kuwa ni la siasa.
Ni kweli kabisa kuna baadhi ya wanasiasa hasa wasioelimika, wengi wao huzuia miradi mingi ya maendeleo mfano ujenzi wa maabara kwa kuleta siasa ndani ya shughuli za maendeleo!
Heko bwana Mbowe kwa kujitambua kidogo.
Tatizo kubwa la Mbowe ni kwamba alikimbia shule,hapo viongozi wanajaribu kumuelimisha ili asiendelee kutumia vibaya nafasi ya KUB.
Tena kwa bahati sana, labda huwa anapiga msuba.!