NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Mbowe ni mchaga mjanja sana.afunguki mazima anaenda kwa step ili asiharibu moja kwa moja.ili mambo yakichacha apate mlango wa kutokea,apate hata ukuu wa mkoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana ka video walikoweka hao mburura, hakaonyeshi sura ya Rais.Hii video ilikua kipindi cha Kikwete kivipi mnaitumia kwa Magufuli?
Wakisimamia ukweli waache upotoshaji hata asilimia 90 watafikisha tu.Nina mashaka Kama wapinzani wote kwa ujumla wao watapata hata 20% katika uchaguzi huu
Hii umekariri.Hata wakoloni muingereza na mjerumani walijenga miundo mbinu ila tuliwakataa utawala wao usiokuwa na haki.
CCM imeishiwa na pumzi #tukaizikeni CCM 2020
Kumbe anazuga tuu aiseeMbowe na Magufuli ni maswaiba ila kuna mlugaluga mmoja kutoka singida mashariki anajifanya mwanaharakati kumbe Mbowe anamng'ong'a tu
Mueleze huyo, haelewi etiHii umekariri.
Njoo na hoja yako
Ndio wajifunze. Inasikitisha sanaWakisimamia ukweli waache upotoshaji hata asilimia 90 watafikisha tu.
Jamaa mjanja sanaMbowe ni mchaga mjanja sana.afunguki mazima anaenda kwa step ili asiharibu moja kwa moja.ili mambo yakichacha apate mlango wa kutokea,apate hata ukuu wa mkoa.
Miundombinu ya kikoloni ni tofauti Sana na Sasa.Hata wakoloni muingereza na mjerumani walijenga miundo mbinu ila tuliwakataa utawala wao usiokuwa na haki.
CCM imeishiwa na pumzi #tukaizikeni CCM 2020
Hapo cheamani alikuwa anasifia maandazi au miundombinu?Video ya enzi za Kikwete hii. Lumumba mumebanwa Sana na Lisu.
Kujenga hoja kuhusu miundombinu ambayo mnaipigia keleleHii video ilikua kipindi cha Kikwete kivipi mnaitumia kwa Magufuli?
Kuna mpinzani kapinga miundombinu? Wanachosema ni kuwa nguvu kubwa imewekezwa huko na mambo mengine yamesahaulika mfano Kilimo,Ajira kwa vijana,kufufua viwanda n.kKujenga hoja kuhusu miundombinu ambayo mnaipigia kelele