Hai: Mbowe kaongea kwa hekima kidogo wakati Magufuli akizindua Barabara Kilimanjaro

Kama leo ndiyo umeweza kutambua kwamba Mbowe ana busara na huwa anaongea point. Basi wewe ni mmojawapo wa watoto waliokaa tumboni mwa mama yako hadi ukaota MENO na MAVUZI!

Wengi wenu wana chadema wana akili kama hizi zako. ovyo kabisa!
 

Anatuliza alichokianzisha mwenyewe.
 
Wee jamaa vp???
Mbowe alikuwa anaongelea miradi ya ujenzi wa Barabara na sio ujenzi wa maabara, Tanzania nchi pesa na rasilimali kibao namba hii wanafaidi akina Change et al hafu mie mlalahoi ndo nilale njaa kuchangia maabara.. ptuuuuuu

We kweli mau mau, huna busara.
 
Hvi hamjui kuwa mbowe ni ccm damu?yupo chadema kwa mision maalumu.muda ukifika watanzania mtalielewa hilo.
 
MBOWE NA DKT.MAGUFULI WANENA SIASA PEMBENI TANZANIA KWANZA

Mh.Mbowe na DKT.Magufuli wamekagua barabara ya Kwa sadala-Masama-Machame JCT yenye urefu wa kilomita16. Wakiwa kwenye mkutano Mh.Mbowe ameisifia saerikali na kusema maendeleo hayana chama kauli kama hiyo ilisemwa pia na Dkt. Magufuli Waziri wa Ujenzi.

Aidha, wawili hawa wamedhihilisha kuwa siasa si uadui pale waliposafiri pamoja na kula

[video]https://m.youtube.com/watch?v=yihHDlvuKFY[/video]

View attachment 232016
Wawili hawa walisafiri pamoja kwenye gari la Waziri Magufuli kipindi wakikagua barabara Kwa sadala-Masama-Machame JCT yenye urefu wa kilomita 16.

View attachment 232018
Waliweza kula pamoja.







 
mbona mh mbowe anapingana na Mh lissu aliyezuia ujenzi wa shule na michango.

diff idea one party
 
Naona dawa inaanza kufanya kazi.. Mbona mtaelewa tu..
 

Tatizo kubwa la Mbowe ni kwamba alikimbia shule,hapo viongozi wanajaribu kumuelimisha ili asiendelee kutumia vibaya nafasi ya KUB.
 






Anazidi kukomaa kisiasa na ndo aina ya wanasiasa tunaowataka kwa sasa ,toa hako kababu muachie yeye.
 






Anazidi kukomaa kisiasa na ndo aina ya wanasiasa tunaowataka kwa sasa ,toa hako kababu muachie yeye.
 
Tatizo kubwa la Mbowe ni kwamba alikimbia shule,hapo viongozi wanajaribu kumuelimisha ili asiendelee kutumia vibaya nafasi ya KUB.

Ngeleja kaenda shule lakini ni bora kinyesi kuliko thinking zake..JK na degree yake ya pass ya UD bado vitu vinamshinda ..by the way mbowe pampja na kukimbia shule yuko successfull kuliko hata baba yako
 
Mbowe motoo! ma-CCM yanamuimba kila kukicha! amewajeruhi kupitiliza! hHata joka la makengeza [Chenge] linajua kuwa Mbowe ni jembe na makini balaa, maana ndiye aliyelizindua Bunge lote kuhusu maazimio ya Bunge kuhusu Escrow! Bunge lilishapelekwa gizani kwa Chifu 'mwana-Marundi' na joka la makengeza kuwapumbaza wabunge wote kumkubalia kila kitu hadi yeye mwenyewe kujipendekezea adhabu..huku wabunge wengi wakiitikia tu ndiyooo....'kama alivyosema Chenge awali, tufuate hivyo hivyo...! Mbowe kawaambia 'mmeliwa'! hata mwizi joka la makengeza linaelekeza Bunge adhabu? Ndipo wote wakazinduka, wakagoma! Mbowe ni Neema, ni mpango mwingine kabisa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…