Hii ni njia ya kutia wananchi hofu. Ngoja Sirro na boss wake wawe na kesi ya kujibu ICC kwa mauwaji katika uchaguzi 2020 ndiyo wataelewa.Andamana...... TUGAWANYE miguu na Kiuno
Tushapewa ORDER... Tuna hamuuu mno
Mungu si ndio ameruhusu haya Sasa yeye Tena alaani watu [emoji23][emoji23][emoji23]Malipo ya dhuluma ni laana na kifo
Laana ya mungu iwapate wote walioshinda kwa dhulma na wizi
Baraka za mungu ziambatane na walioshinda kihalali na walio tayari kuwatumikia wananchi
Bongolala katika ubora wako. Hizi akili zenu mgando zinatutia aibu sana sisi watu wa Afrika Mashariki. Hongereni sana kwa kushinda. Bure kabisa.Mtaandika sana Mtaumia sana
Mlitegemea Magufuli kiboko yenu atashindwa Poleni sana
Watanzania Tumemuelewa Magufuli
Hatuna muda na Vimaneno vyenu Uchwara
Hivi bado kuna watu wanaogopaga icc[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni njia ya kutia wananchi hofu. Ngoja Sirro na boss wake wawe na kesi ya kujibu ICC kwa mauwaji katika uchaguzi 2020 ndiyo wataelewa.
Wewe ni pumbavu sana.Andamana...... TUGAWANYE miguu na Kiuno
Tushapewa ORDER... Tuna hamuuu mno
Mlihisi multiple accounts za JF na tweeter ndo zingepiga kura? the majority tulikuwa tukiwachora tu mkijitekenya na kucheka wenyewe, tulieni dawa iwaingie.Malipo ya dhuluma ni laana na kifo
Laana ya mungu iwapate wote walioshinda kwa dhulma na wizi
Baraka za mungu ziambatane na walioshinda kihalali na walio tayari kuwatumikia wananchi
Ameshinda au ameshindishwa?
sawa tunasubiri sasa tanzania iwe kama ulaya, wananchi wawe MATAJIRI KUPINDUKIA, fedha bwerere, mishahara ipande maradufu, flyovers juu na chiniMlihisi multiple accounts za JF na tweeter ndo zingepiga kura? the majority tulikuwa tukiwachora tu mkijitekenya na kucheka wenyewe, tulieni dawa iwaingie.
hata unapofanya ngono na malaya utasema mungu amekuruhusu? unapofanya unafanya kwa utashi wako binafsi yeye atakudaka kwenye matatizo utakayojipatia kwa kufanya ngono na malaya, ndivyo ilivyo kwa uchaguzi huu, walioiba kura na kufanya dhulma wamefanya kwa utashi wao kua hakuna Mungu, lakini malipo ya dhulma ni KIFOMungu si ndio ameruhusu haya Sasa yeye Tena alaani watu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu yangu, kumbuka msemo wetu wa Kiswahili kwamba "Mtu mzima akivuliwa nguo, huchutama"!! Bora unge-twist hoja yake lakini kutaja habari ya kambunge kamoja huko Mtwara.Ntajie mbunge wa mtwara vijijini na chama chake... Acha ujinga
huyo huyo, kwani Mungu anachagua kua kwa sababu ulimkimbilia kumuomba korona itoke nchini kwako, kwamba atakuacha ukifanya dhulma, kuvunja amti yake ya USIIBE, USIMSHUHUDIE JIRANI YAKO UONGO( KUIBA KURA NA KUWASHUHUDIA WATANZANIA UONGO KUA MMESHINDA KIHALALI)Mungu aliyetulinda na Corona ndiye huyu huyu atakayewalaani waliomkimbilia kuomba msaada wa kuondoshewa janga la Covid?
Leo tuchambueni tu, haki yenu!!!Wabongo huu ni ujinga. Demokrasia imekufa rasmi Tanzania. Tanzania is going backwards. Watalia na kusaga meno siku za usoni. Ile heshima kidogo niliyokuwa nayo kwao imeisha. Hio nchi inaelekea kubaya. Hakuna jinsi upinzani unaweza kukosa japo kiti kimoja bungeni. Hio haiwezekani hata kidogo. Majirani zetu mnaelekea kubaya. Tunawaonya mapema tu msije mkasema hamkuambiwa.
Kule Hawa Ghasia wamemdelete maana hajawahi kuomba msamaha kwenye issue ya korosho.Ameshinda au ameshindishwa?
Big point.Kutawala watanzania ni sawa na kutawala maiti. Ccm imewaibia maiti halafu inafanya sherehe..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]