Zikiwa digital si mtu atakatwa mkono ili kupata finger prints?Kwani Kura za Tanzania Ni analog aje,
Si. Bure WIZI upo wazi.
Next election everything ziwe digital kama IEBC kupunguza WIZI na servers ziwe open for public.
Zikiwa digital si mtu atakatwa mkono ili kupata finger prints?
Nyie mlimuua kabisa IT wa Electoral commission.Hivi mumefungulia mitandao au bado watu wanatumia VPN, hadi hapo mumeshakomba kila kitu waachieni watu warejee maisha yao ya kawaida.
Kwa Tanzania hata upinzani ukipiga makelele hamna kikubwa wanachoweza kufanya, huwa mpo mpo ilmradi siku zisonge. Hivyo hapakua na umuhimu wa kutumia nguvu nyingii kiasi hicho.
Kama wazazi wako walivyoWewe ni pumbavu sana.
Andamana Mama... Si UnajiaminiHii ni njia ya kutia wananchi hofu. Ngoja Sirro na boss wake wawe na kesi ya kujibu ICC kwa mauwaji katika uchaguzi 2020 ndiyo wataelewa.
Upinzani sio kupiga kelele tu, kwani wanashindania nani mwenye porojo na vitendawili kushinda mwingine? Karibu 50% hawajapiga kura. Ndio wale wanaosema hata tupige au tusipige hatuwezi kushinda! Sasa kwa mentality kama hii huo upinzani utashinda lini? Na kwa nini wanaingia kwenye ushindani kama wanajua hawashindi?Hivi mumefungulia mitandao au bado watu wanatumia VPN, hadi hapo mumeshakomba kila kitu waachieni watu warejee maisha yao ya kawaida.
Kwa Tanzania hata upinzani ukipiga makelele hamna kikubwa wanachoweza kufanya, huwa mpo mpo ilmradi siku zisonge. Hivyo hapakua na umuhimu wa kutumia nguvu nyingii kiasi hicho.
Kelele zote izo, utakuja kusikia UHURU akimpongeza. Ndio utaelewa unaongozwa na naniWabongo huu ni ujinga. Demokrasia imekufa rasmi Tanzania. Tanzania is going backwards. Watalia na kusaga meno siku za usoni. Ile heshima kidogo niliyokuwa nayo kwao imeisha. Hio nchi inaelekea kubaya. Hakuna jinsi upinzani unaweza kukosa japo kiti kimoja bungeni. Hio haiwezekani hata kidogo. Majirani zetu mnaelekea kubaya. Tunawaonya mapema tu msije mkasema hamkuambiwa.
Watz wanaipenda sana ccm ndio maana wapo majumbani wanafurahia ushindi wa ccm kwa amani. Kinyume na hapo wangekuwa mabarabarani wanaandamana.Wabongo huu ni ujinga. Demokrasia imekufa rasmi Tanzania. Tanzania is going backwards. Watalia na kusaga meno siku za usoni. Ile heshima kidogo niliyokuwa nayo kwao imeisha. Hio nchi inaelekea kubaya. Hakuna jinsi upinzani unaweza kukosa japo kiti kimoja bungeni. Hio haiwezekani hata kidogo. Majirani zetu mnaelekea kubaya. Tunawaonya mapema tu msije mkasema hamkuambiwa.
Wewe unaongea ukiwa USA ukienjoy maisha halafu unatetea huu upupu uliofanyika? Hata huna haya?Nyie mlimuua kabisa IT wa Electoral commission.
Tunasubiri pongezi toka kwa Uhuru.
Eti tu naelekea kubaya, as if heshima yako ndogo ilikuwa na manufaa, hizo dua zenu za kuku hazimfikii mwewe.Wabongo huu ni ujinga. Demokrasia imekufa rasmi Tanzania. Tanzania is going backwards. Watalia na kusaga meno siku za usoni. Ile heshima kidogo niliyokuwa nayo kwao imeisha. Hio nchi inaelekea kubaya. Hakuna jinsi upinzani unaweza kukosa japo kiti kimoja bungeni. Hio haiwezekani hata kidogo. Majirani zetu mnaelekea kubaya. Tunawaonya mapema tu msije mkasema hamkuambiwa.
Chama chake CCM BNtajie mbunge wa mtwara vijijini na chama chake... Acha ujinga
Kafie mbele wewe mbwiga, huna kitu huwezi tufundisha chochote. Uchaguzi umefanyika bongo, mind your kunyanlander business. Bure kabisa ni BBIBongolala katika ubora wako. Hizi akili zenu mgando zinatutia aibu sana sisi watu wa Afrika Mashariki. Hongereni sana kwa kushinda. Bure kabisa.